Japan yaitangaza Tanzania kuwa Kitovu cha Uwekezaji, viwanda. Honda kujengwa nchini

Kwakwel inasikitisha kuona viongoz wetu ni watu wasio na vision juu ya taifa letu.serikal ya ccm imekubal nchi yetu kuwa soko kwa mataifa yaliyoendelea.sasa eb angalia wajapan wanakuja kuleta viwanda vyao hapahapa,ikiwa na tafsir kwamba cc tuwe ngaz ya kuwafikia wateja wao wote wa A/mash. Na zaid sana ni kuua vijiviwanda vidogo tulivyonavyo kwan vitamezwa na hii multinational corporations. Serikal imeshindwa kuweka mikakat kwamb ifike mahal tz iwe na industrial base ya kutosha tena iwe completely ya kizalendo.wameua kiwanda chetu cha nyumbu kibaha na kuongeza juhud kununua magar ya luxury from japan...whats the fu***k is this?????inasikitisha kwa kwel kuona taifa lina viongoz mbulula
 
Kiwanda cha HONDA!!!!! Watanganyika ni kweli kwamba tumesahau ndoto ya Mwl. Nyerere ya kuwa na uwezo wa kutengeneza magari yetu wenyewe (Nyumbu!!) Sualahili lingekuwa na maana kwetu kama tunge pigania maliasili yetu ya mchuchuma na liganga ambayo tumeamua kuwapa wajomba zetu wa maendeleo. Mbona tunalidhalilisha taifa letu kwenye mambo ambayo tulikuwa na vision nayo mpaka tukapeleka watoto wetu nje kusomea mambo hayo! Tatizotulilo nalo ni kushindwa kuwa na mwendelezo wa masuala ya msingi kwa uchumi wa taifa letu na tumeruhusu kila ajaye kuja na ngojela zake ili aonekane naye ametende kumbe kulikuwa na mipango mkakati tangu kitambo iliyo kosa mwendelezaji na uboreshaji ili kufikia lengo. Tuachane na fikra za huwezi endelea mpaka wawekezaji acha waje lakini watukute tumeisha piga hatua fulani ili tuwe na sauti katika uchumi wetu. Kutembelewa na viongozi wakubwa duniani isiwe ni sifa bali tujiulize wao wamepata nini kwenye ziara hizi, napenda kutabiri matatizo makubwa katika taifa letu yataanzia kwenye rasilimali tusipo wadhibiti viongozi wetu kwenye kasi hii ya uwekezaji. Tukumbuke Mkapa kwenye ng'we yake ya mwisho ya utawala na uwekezaji usio na tija (rejea mwacheni mzee akapumzike) na utitili wa mikataba isiyo wazi kwenye ng'we hii ya mwisho ya utawala huu. TUPONGEZANE ILA TUKUBALI KUKOSOANA NA KUELIMISHANA KWANI NCHI HII NI YETU SOTE
 
mi nadhani tukatae misaada and see how we can handle our selves maana so far tuna madeni ya nje dola milioni elfu 11 and sumthin.. why dont we trade our mineral with several investments.. we to start to think forward sasa.. serkali iruhusu wananchi kutoa mawazo yao of how we can move forward as a country kiuchumi maana hali si hali kwa kweli.. na inasikitisha kwamba wakati wa mkapa walijitahidi na nchi waliichukua ikiwa taaban leo hii ambapo tunakusanya kodi nyingi zaidi lakini maisha yamekua magumu kweli.. inflation at 20% now..WHERE ARE WE HEADING ! we have to start rethinkin of the future of our sons and daughters.. so far its not looking good at all.
 
vitaanza lini kazi tusije furahia ikaja kuwa kama ile ya General Tyre ya Arusha.
 
Wakati nikipongeza hatua hii,lakini tukumbuke kuwa pikipiki ni technolijia ya chini sana,na kwa kufahamu uundwaji wake kutajengwa kiwanda cha ku-assemble hizi pikipiki.kitu ambacho wachina wanafanya KKoo muda mrefu tu.

Kama tungefanikiwa kuwashawishi wajapani waweke Auto assembly plant hapo ningempa maksi JK,kwani hii ingetufanya tuachane na biashara ya Magari used.na wajapani hawawezi kukubali makapi YAO wakose pa kuyatupa.

Ushauri kwa serikali.waombe wachina waje kujenga assembly plants za Magari hapa Tanzania kwa ajili ya masoko ya Afrika.in 5 years Toyota watajenga kiwanda.hiki cha Honda tuwashukuru toyo na SanLG kwani ndio sababu hasa ya hawa jamaa kuja.

Kingine si vibaya tukaomba viwanda kwa ajili ya primary resources,na sio secondary ones.kwa mfano,kiwanda na kutengeneza circuit za redio na television Kina maana kubwa kwetu kuliko kiwanda cha redio,kwa maana hii tuombe cluster ya viwanda na sio standalone units ambazo zinatumika Kama political gestures with little meaning.

Imagine dangote angeleta kiwanda cha matofali.
 


Nilikuwa nafuatilia michango mingi kuhusiana na habari hii. Angalau wewe ndio umefanya uchambuzi wenye tija. Wengine ni lawama, matusi, kebehi, mizaha. Watanzania inatupasa tubadilike sana katika kutazama mambo la sivyo tutasukumemwa pembeni ya mkondo wa maendeleo ya katika zama hizi.
 
They say ''This is time for Africa'' But I think they mean Tanzania.....It started with China....America -US now Japan! wake up Tanzania ni wakati wa kupiga deal sasa...strike deal fellows, it is our time!
 

Nyie watu wa Ikulu wacheni kuiaibisha nchi. Huwezi ukasema hayo ni matokeo ya ziara ya JK, hivyo ndivyo WJP wamewaambia au mmeangalia kwa kina kwa nini JPN wameamua kufanya hivyo. Cheap spin.
 
kwa hili naunga mkono hoja 100%,tunaoimba Japan ifanye haraka kuja kuwekeza nchi iwe vijana wetu wapate ajira na uchumi wetu uzidi kukua
 
Pamoja sana Mkuu, ila usishangae sana aina ya michango inayotolewa humu, hii ni reflection ya jamii yetu! watu wamekata tamaa, hawana uelewa mpana wa masuala ya uchumi wa kidunia, hawajui game linalochezwa duniani...elimu inayotolewa kwa watanzania inahitaji maboresho makubwa sana ... all in all JF ni zaidi ya darasa kwa wengi wetu, naamini hata Mkuu wa kaya huwa anapita hapa kupata data za uhakika.... Ni wakati muafaka sasa bila ya kujali itikadi zetu imani zetu tuanzishe the so called National Brain; hawa watakuwa watu mahsusi watakao kuwa wanafikiri na kuchambua kwa niaba ya Taifa, watu hawa wanatakiwa walelewe vizuri sana...kwa wenzetu huwa wanawatumia watu wao kama malobbiest! Hakuna waziri wa kibongo anaeweza kucheza game la hawa majamaa, ndo maana mikataba mingi imefungwa na warembo blondes ...
 



Mkuu inshangaza kuona wana CCM leo hamtaki hata kumheshimu hayati Mwalimu Nyerere. Kumbuka Mwalimu alijua miongoni mwa wasomi wachache wa mwanzo katika ngazi ya dr, na alikuwa mtaalam wa uchumi vile vile. Kaongoza nchi wakati wa kipindi kigumu cha siasa duniani. Vita baridi ilifanya nchi nyingi za Africa kupinduliwa na baadhi ya viongozi kuuwawa. Mapambano ya ukombozi wa nchi zilizo kuwa zikitawaliwa, yalipambamoto. Hivyo maendeleo alio fanikisha hayati Mwalimu ni makubwa katika mazingira magumu. Priorities kubwa kwa wakati wake zilikuwa kumkomboa mwananchi toka kwenye ukandamizaji wa mkabaila na wanyonyaji wa ndani na nnje ya nchi, elimu ili kupata wtaalam, afya ujenzi wa hospitali, maji safi, barabara nk, kusaidia mapambano ya ukombozi wa nchi zilizokuwa zikitawaliwa. Alijua bila ya matayarisho yakutosha huwezi kukurupuka kwenye uchimbaji wa madini na maliasili nyingine, hiyo ingenufaisha mataifa ya nje tu ambayo yangewekeza. Mfano Congo waliishia kupinduana na Patrice Lumumba kuuwawa, maendeleo yao mpaka leo yana sua sua, pamoja kwamba uchimbaji wa mali asili zao ulianza zamani sana.
 



Mkuu inshangaza kuona wana CCM leo hamtaki hata kumheshimu hayati Mwalimu Nyerere. Kumbuka Mwalimu alijua miongoni mwa wasomi wachache wa mwanzo katika ngazi ya dr, na alikuwa mtaalam wa uchumi vile vile. Kaongoza nchi wakati wa kipindi kigumu cha siasa duniani. Vita baridi ilifanya nchi nyingi za Africa kupinduliwa na baadhi ya viongozi kuuwawa. Mapambano ya ukombozi wa nchi zilizo kuwa zikitawaliwa, yalipambamoto. Hivyo maendeleo alio fanikisha hayati Mwalimu ni makubwa katika mazingira magumu. Priorities kubwa kwa wakati wake zilikuwa kumkomboa mwananchi toka kwenye ukandamizaji wa mkabaila na wanyonyaji wa ndani na nnje ya nchi, elimu ili kupata wtaalam, afya ujenzi wa hospitali, maji safi, barabara nk, kusaidia mapambano ya ukombozi wa nchi zilizokuwa zikitawaliwa. Alijua bila ya matayarisho yakutosha huwezi kukurupuka kwenye uchimbaji wa madini na maliasili nyingine, hiyo ingenufaisha mataifa ya nje tu ambayo yangewekeza. Mfano Congo waliishia kupinduana na Patrice Lumumba kuuwawa, maendeleo yao mpaka leo yana sua sua, pamoja kwamba uchimbaji wa mali asili zao ulianza zamani sana.
 
Niseme tu wazi kua maendeleo ni jambo Zuri sn katika hii Dunia! Ila huo uwekezaji ufate haki na uangalie maslahi ya watu wote na atimae taifa na wannanchi wote wapate kunufaika na huo uwekezaji! Mungu ibariki Tanzania
 
Sipati picha hawa rwanda,uganda na kenya wanavyozidi kuchanganyikiwa
 
Tumeshawahi kupita "BARABARA" wakati wa "MIGODI","GAS" na vingine vingi,kwa nini tuamini sasa hivi Tanzania itakuwa DUBAI.
 
Tumeshawahi kupita "BARABARA" hii wakati wa "ALMASI,DHAHABU,GAS" na vingine vingi,kwa nini tuamini sasa hivi Tanzania itakuwa DUBAI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…