Naona chawa umetoka maana watu walikuwa wanaandika post zako lakini Jf wanafuta.Siku za mbele zenyewe ndio hizi zimeanza... subiri jina kwenye cabinet...
P
Hahhaaaaa! Mkuu, mimi nimekwishakuwa Muumini wa UNABII wako kwa takriban miaka mitatu sasa.Siku za mbele zenyewe ndio hizi zimeanza... subiri jina kwenye cabinet...
P
Jibu swali. Cheo chake na ubunge kipi kikubwa?Sijui una akili gani huyo kateuliwa kua mbunge then waziri kamili, polepole kwenye chama kafanya kazi kubwa sana na anaenda serikalini kutekeleza majukumu mengine, kwa akili yako mjumbe wa sekretariet ya ccm unamuona mtu mdogo?
Naunga mkono jamaa ni Strategist mzuri mno yani hakuna kama polepole anavyo-manage utasema yeye ndo mwenyekiti wa chama.Huwa namuelewa sana Polepole , Jamaa anajua sana kupanga hoja na kuzipangua
Anajua mikakati yote ,
Nape alikuwa anajua matusi ,
Unahitaji kina nape 10 umpate polepole mmoja
Nenda google bwana, usitusumbue bure huku. Sawa dogo?Jibu swali. Cheo chake na ubunge kipi kikubwa?
Naunga mkono hoja.Paskali uko sahihi sana na kweli huyo Polepole ana nguvu sana ndani ya CCM. Sababu hasa ya Polepole kuwa na nguvu ndani ya CCM
1. Polepole ni mtu aliyesoma mambo ya ccm na kuyakariri vyema hasa sheria na miongozo ya chama.
2. Polepole hakuwa sehemu ya wanachama wezi kwani hakuwa kuwa kwenye sehemu ya ulaji ndani ya chama au serikali kabla ya Magufuli, hivyo kuwa katika kundi la wanaccm wachache wasio na kashfa.
Kwa sababu hizi hapo juu, Polepole ndio msiri na mshauri mkubwa wa CCM kuliko mwanaCCM yoyote. Hapo ndio nguvu zote za Polepole zilipo.
Naunga mkono hoja.Kuna siku nilimsikia clouds kama wiki na nusu iliyopita,nikajiridhisha huyu mtu ana kitu kizito kichwani.
Namna alivyokuwa anaulizwa maswali na kujibu,namna anavyopangilia majibu na kuweka akiba ya maneno,nikajisemea hata labda alijua anakwenda kuulizwa kitu gani kabla hajatoka kwake asubuhi.
Tumezoea kumuita chakubanga,kwa maana ya mpiga domo kwa kazi hiyo,ila kosa kubwa tunalofanya kama watu wa upande B,ni kumchukulia kwa urahisi rahisi tu,mtu kama pole pole.
Naunga mkono hoja, this time JPM anakwenda kuunda baraza zuri.Yes, Polepole ni very powerful. Anaweza kuongea na yeyote dakika yoyote. Lakini pia yuko vizuri upstairs
naunga mkono hoja!."CCM ndio chama tawala na kwa Tanzania, tukubali tukatae, CCM ni chama dola.
Tunapoelekea uchaguzi Mkuu wa rais na wabunge October 25, mgombea akiishapitishwa kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM, then huyo ndio tayari ni mshindi, zoezi la uchaguzi ni kukamilisha tuu taratibu za uchaguzi ili tuu kuhalalisha."
Naunga mkono hoja na wenye macho hili wameliona.Long time ago mimi nilipomuona pole pole na kumsikiliza nilijua he is not an ordinary person!
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Tatizo umri pale tbc kile kitengo kinamtoshaAwamu hii Mayalla usipolambishwa hata u DC nitaandamana kufa na kupona
Naunga mkono hoja.Uko sahihi kwa asilimia 200
Polepole ni strategist yaani anafahamu kupanga mikakati kitaalam.
Pili, Polepole ni coordinator mzuri tu anafahamu namna ya kuunganisha mpango, sera na mikakati.
Tatu, Polepole ni good communicator yaani anafahamu ni vipi azungumze na hadhira kulingana na aina ya hadhira hiyo.
Hivi vitu baadhi alikuwa navyo Nape Nnauye lakini akavurugwa kidogo kutokana na kukosa experience yaani uzoefu.
Naomba niishie hapo.
Haitoshi...Tatizo umri pale tbc kile kitengo kinamtosha
TRUE.Jamaa yupo vzr sana
True.Polepole yupo kama jina lake. ''The guy is humble.''
Naunga mkono hoja.Hata Mimi kitambo tu hata kabla hajaingia kwenye CCM ,Ilikuwa channel Ten, alialikwa na Msigwa ,aisee Msigwa alitaka kukimbia
Pole pole ni Nyoko kwenye Kupanga na kupangua hoja ,anajua nini aongee na nini asiongee
Huyo Mbwa hafai kabisa , ni kati ya watu wachache niliowashuhudia wanaojua kujenga na kupanga hoja tena kwa unyenyekevu
Lisu anajua kupanga hoja na kupangua ,shida hana unyenyekevu
Polepole nashangaaga wanasema eti hajavaa viatu vya nape
Polepole ni namba nyingine kabisa ile, Angalia jinsi alivyokuja kupangua hoja ya Trillion 1.5 kwa ufasaha
Nape hawezi kile kitu .
Nape alikuwa bingwa wa siasa za majitaka, Nape ndio alidai lowassa kainunua Chadema Billion 5