Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!

Siku za mbele zenyewe ndio hizi zimeanza... subiri jina kwenye cabinet...
P
Hahhaaaaa! Mkuu, mimi nimekwishakuwa Muumini wa UNABII wako kwa takriban miaka mitatu sasa.

Hao wengine achana nao. Nabii hakubaliki kwao, ila, sie tushakuelewa kitambo

OMBI; NAKUSIHI SANA UMTABIRIE MEMA BWANA TuntemekeSanga

Yuko chini ya Miguu yako. Na Mungu akubariki sana. [emoji41][emoji41]
 
Huwa namuelewa sana Polepole , Jamaa anajua sana kupanga hoja na kuzipangua

Anajua mikakati yote ,

Nape alikuwa anajua matusi ,

Unahitaji kina nape 10 umpate polepole mmoja
Naunga mkono jamaa ni Strategist mzuri mno yani hakuna kama polepole anavyo-manage utasema yeye ndo mwenyekiti wa chama.
nimeanza kumfatilia 2014 kuna hoja fulani alizipangaga zilinivutiaga sana nikajisemea katika watu wenye akili iliyotulia huyu jamaa.
 
Itapendeza sana akiwa WAZIRI wa Habari, michezo na utamaduni, namuombea Mungu afanikiwe kwani anaweza na anastahili sana kupewa dhamana ya uwaziri, namkubali huyo ni "JEMBE ULAYA"
 
Uongeaji wake unafanana na wa ule wa Baba wa Taifa.
Lolote lawezekana 2025-2035 kama Rais au Waziri Mkuu.
Kwa sasa anafaa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa.
 
Naunga mkono hoja.
P
 
Naunga mkono hoja.
P
 
naunga mkono hoja!.
P
 
Naunga mkono hoja.
P
 
Pascal Mayalla hata usipoteuliwa kwenye hii serikali mpaka unaingia kaburini kupumzika fahamu kwamba Mungu alikupa kitu extra sana ambacho watu wengi hawana na wengine walitamani kuwa nacho.

si kila alieletwa duniani alipaswa kuwa mchungaji au padri wapo ambao hawana hizo title lakini ni zaidi ya mapadri na wachungaji,na si kila muandishi aina yako lazima apewe uongozi unaweza ukabaki hapo hapo na ukawa zaidi ya hizo nafasi watu wanadhani unazitafuta.

hakuna jambo jema na zuri chini ya jua kama kutumia kipaji na uwezo Mungu aliokupa kwa jamii iliyokuzunguka,pascal wewe ni zaidi ya unavyojiona yawezekana watayasema haya ukishatuaga ukiwa umelala pale kwenye nyumba yako ya milele,lakini mimi nakwambia angali u hai pascal you're blessed endelea hapo hapo.Hamna jipya chini ya jua kama ni uongozi ulionao wakuwa baba tu unakutosha mengine achia wananchi,simamia unachokiamini.
 
Naunga mkono hoja.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…