Hata Mimi kitambo tu hata kabla hajaingia kwenye CCM ,Ilikuwa channel Ten, alialikwa na Msigwa ,aisee Msigwa alitaka kukimbia
Pole pole ni Nyoko kwenye Kupanga na kupangua hoja ,anajua nini aongee na nini asiongee
Huyo Mbwa hafai kabisa , ni kati ya watu wachache niliowashuhudia wanaojua kujenga na kupanga hoja tena kwa unyenyekevu
Lisu anajua kupanga hoja na kupangua ,shida hana unyenyekevu
Polepole nashangaaga wanasema eti hajavaa viatu vya nape
Polepole ni namba nyingine kabisa ile, Angalia jinsi alivyokuja kupangua hoja ya Trillion 1.5 kwa ufasaha
Nape hawezi kile kitu .
Nape alikuwa bingwa wa siasa za majitaka, Nape ndio alidai lowassa kainunua Chadema Billion 5