Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!

Ni mkataba,ushahidi huu hapa👇
Your browser is not able to display this video.

Na nyie waandishi wa habari mmetumika kama toilet paper pia,namba za simu kwa ajili ya miamala zinahitajika👇
Your browser is not able to display this video.
 
Asante mwanasheria . Hii point ya State sovereign umeielezea vizuri.
 
Leo, na kwa mara ya kwanda nimekusoma mwanzo mwisho.

Paskali wewe ni Gwiji tena mzalendo wa kweli. Sasa sijui ndo zile saa ambazo wakati mwingine zinasema sahihi.

Otherwise umeeleweka mno
 
Watu wamesoma kichwa Cha habari hawajasoma content wanaanza kushusha kejeli kwa Mleta mada.

Huu uvivu wa kusoma na ugumu wa kuelewa utatu cost siku zote!
Hahaa bora umeona hilo. Tatizo ni kwakuwa Paskali huwa anakuwa na mada nyingi za kujikomba, hivyo watu wakiangalia kichwa cha habari hawana muda tena wa kusoma yaliyo ndani. Ila kwenye uzi huu kaongea ya msingi tofauti na wanavyomponda.
 
Dubai sio nchi, ndio point ya Mayalla. Hizo zingine Ni nchi.
 

Wewe ndio huelewi. Kasome ibara ya 2 ya Montevideo Convention inasemaje kuhusu Federation kwenye sheria za kimataifa, Nani anatambulika Kama legal person. Hayo mambo ya monaech ni internal sio external maana ile sio sovereign state, sovereignty ipo chini ya UAE.
 
Watanzania ni watu wa kulalamika mitandaoni Lakini hata siku moja hawawezi kuchukua hatua. Mtu aliyeguswa sana aende mahakamani akazuie mkataba usisainiwe. Nyingine zote kelele za mwenye nyumba tu ambazo hazimzuii mpangaji kulala usingizi.

Mkuu mkataba ulishasainiwa mwaka Jana Dodoma . So wamepeleka bungeni baada ya mkataba kusambaa mitandaoni hivyo wamepeleka kuzuia kelele za wananchi.
 
Pale uwanja wa ndege kuna Swiss Port na kuna NAS hao wote wawili ni makampuni ya kigeni.

Nani ameshajiuliza iwapo wanatufanyia utapeli wowote?. Je uwanja wa ndege sio nyeti kwa Taifa letu?.

TICTS wamekaa pale miaka 22 bandarini, walishindwa vipi kutuhujumu?. Usalama wa Taifa upo makini sana katika haya masuala.

Hiyo kampuni ipo Uingereza Marekani na katika nchi nyingine 34 duniani, huko kote wameshindwa kuona uhalali wa sehemu ya UAE kufanya biashara na mataifa mengine?.
 
Dubai sio nchi, ndio point ya Mayalla. Hizo zingine Ni nchi.
He’s trying to say that it’s a Monarchy but has failed to explain how it being a monarchy could affect the execution of this particular contract. However if you understand BIT you will notice that this agreement protects Dubai more than Tanganyika because they will have private investors who will do the business for them and they will be protected by BIT ‘S of their respective countries.My take is this could be a good thing if Dubai decides to be merciful
 
Siasa zile zile za vijiweni. Ufanisi wa bandari ikiwa na uwekezaji wa DP World huwezi kuulinganisha na huu tuliouzoea miaka yote.

Digital Port huwezi kuilinganisha na Port ya kizamani.
 
Serekali imekurupuka lazima tukubali. Haraka haraka ya 10% percent. But kimsingi kama serekali ilikuwa na nia dhabit haikupaswa kukurupuka kwanza ingeunda jopo la wanasheria waende wakachunguze chanzo cha migogoro ya DP World kwenye hizo nchi nyingine. Tungepata hiyo report ndio tuje tujihami nazo kwenye makubalioano huku kwetu. We really don't think at all, and that is a big time stupiditly!
 
Very true mkuu.
 
Acheni kutetea wizi. Kwanini DP World.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…