Japo Urusi ni hatari akisaidiwa na Korea Kaskazini, China na Iran, ila kwa Kikosi cha Marekani kilichotua mpakani bado Marekani ni Mbabe wa dunia

Japo Urusi ni hatari akisaidiwa na Korea Kaskazini, China na Iran, ila kwa Kikosi cha Marekani kilichotua mpakani bado Marekani ni Mbabe wa dunia

Biden kashachomoa hataki vita tena kaingia mitini amajificha kwenye vikwazo sasa hivi vita kataki tena
Kwani vikwazo unafikiri siyo vita? ni sehemu ya vita ya kiuchumi, nayo ni mbaya mno. Ndo ile inaitwa "mwombee njaa adui yako".

Mkwawa anajua kile Wajerumani walimfanyia kuhusiana na maghala yake ya chakula. Vita vya uchumi (njaa) ni vibaya mno.
 
Wapo Waafrika wengi Hungary na Nchi za huko falsafa ya mtu kushindwa kwake na kukimbilia sehemu tofauti haipo kama unavyodhania maana Wahindi Tanzania ni Nchi yao katika mafanikio ila Watanzania wengine wanaamini katika kwenda mbele zaidi...
Hao waafrika wengi walio huko hali zao za kimaisha huwezi compare na waafrika walio western europe/US/Canada/Australia huo ndiyo ukweli. Na hata hao unaosema wapo Hungary wengi huko ni sehemu ya kupita tu then wanaenda nchi zenye maisha bora zaidi. Hao Eastern europeans kutwa nao wengi tu wanapambana waondoke huko waende nchi za Western maana hali ya maisha ya western ni nzuri zaidi huwezi compare na nchi za eastern. Huyo russia mwenyewe pamoja na mbwembwe zake kiuchumi hata top ten hayupo interms of GDP. Hata hao indians si wamejazana UK, US na canada why wasiende huko Russia na eastern ukweli ni kuwa huko eastern maisha magumu fursa kwa wahamiaji wazee wa kupiga box ni chache fursa zipo western.
 
Vikosi gani na biden kasema sasa hivi hapeleki vikosi vyake huko na hana huo mpango. Jamaa mpuuzi sana muoga muoga ndo tatizo la kuongozwa na wazee wa 19c.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.

Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.

Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.

Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.
Kila mtu kipindi hiki ni mchambuzi wa maswala ya kimataifa
 
Wamarekani wa Tandale mpo very disappointed kuona USA amebaki kubweka tu kama mbwakoko. Mliaminishwa USA ndio mbabe pekee kwenye hii dunia. Mtapata taabu sana maana hakuna cha USA wala NATO watakaotia mguu kwenye huo musiki wa Russia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Hujui pia urusi ina wayahudi wa kutosha wengine ni ma oligarch kule.........wakina abramovic wa urusi wapo wengi sana hapo Israel na ndio maana kule syria urusi kuna baadhi ya maeneo alikua akikaushia israel wakipiga
Atajulia wapi huyo [emoji16]
 
Norh korea na Iran kaogopa kuingiza mguu, ndio awaweza Russia? Aliweza kuingia Iraq kwa mbwembwe baada ya kumchunguza na kuona hakuna kitu
Pia silaha za Iraq nyingi zilikuwa ni made in USA so ilikuwa ni rahisi kwa USA kuweza kuzi hack na kuharibu mifumo yote ya silaha Vita hizo
 
Wapo Waafrika wengi Hungary na Nchi za huko falsafa ya mtu kushindwa kwake na kukimbilia sehemu tofauti haipo kama unavyodhania maana Wahindi Tanzania ni Nchi yao katika mafanikio ila Watanzania wengine wanaamini katika kwenda mbele zaidi...
[emoji457][emoji457][emoji375] Akili mtu wangu
 
Kichapo kina endelea Kwa vijan wa putin
IMG_20220225_092829.jpg
 
Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.

Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.

Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.

Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.
Mbona hawajamsambaratisha mparestina kama wana hizo telnolojia hao wa Israel wako
 
Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.

Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.

Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.

Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.
Katika ugomvi wa Russia hata siku moja huwezi kumuona Israel anatia mguu hata kuinua tu mdomo maana hata yy mashambulizi anayofanya Syria huwa ni makubaliano na Russian sio km wanashindwa kumtungua
 
Mkuu mbona mimi n
Hao waafrika wengi walio huko hali zao za kimaisha huwezi compare na waafrika walio western europe/US/Canada/Australia huo ndiyo ukweli. Na hata hao unaosema wapo Hungary wengi huko ni sehemu ya kupita tu then wanaenda nchi zenye maisha bora zaidi. Hao Eastern europeans kutwa nao wengi tu wanapambana waondoke huko waende nchi za Western maana hali ya maisha ya western ni nzuri zaidi huwezi compare na nchi za eastern. Huyo russia mwenyewe pamoja na mbwembwe zake kiuchumi hata top ten hayupo interms of GDP. Hata hao indians si wamejazana UK, US na canada why wasiende huko Russia na eastern ukweli ni kuwa huko eastern maisha magumu fursa kwa wahamiaji wazee wa kupiga box ni chache fursa zipo western.
Umetoka nje ya mada yangu hoja ni kwamba wahindi wanakimbilia Tanzania ambapo wengi wanaamini hakuna fursa...
 
Back
Top Bottom