STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Everyone is afraid of giving us guarantees to join NATO, and the truth is, no one wants us in the alliance
Ukrainian President
Ukrainian President
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu. Tuchambue unavyokazwa au?Kila mtu kipindi hiki ni mchambuzi wa maswala ya kimataifa
Nikajua una uelewa kumbe ni debe tupu. Hapo mwishoni umeharisha kabisa.Russia ndo kawapa teknolojia nyingi za silaha hao watu kuliko nchi yoyote.
Hao bado wanamtegemea Russia kwenye teknolojia ya silaha.
Back to Israel.. Ukraine, Poland na Urusi zina Jews weng mno. Na kiasi kikubwa dvt ya silaha za Russia pia hawa jamaaa wako nyuma yao.
Hushangai kwann USA na RUSSIA hawana kauli mbele ya Israel ?
Hushangai hawa jamaa wako tayari kupigana na yyte kisa Israel ?
Hujiuliz kwanini Israel bado anafanya mashambulizi Syria na Russia hafanyi chochote.
Incase ya vita kati ya RUSSIA NA USA jua ndo mwisho wa dunia
Kwanza swali je unamjua myahudi? Maana sijui hapo kwenye kabila la uyahudi na utaifa wa Israel unaingiaje au wayahudi wote ni waisrael na waisrael wote ni wayahudi¿??!Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.
Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.
Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.
Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.
Abramovich alishabadili uraia siku nyingi, kwa sasa ni raia wa Israel, inasemekana kuna sehemu walipishana na Putin.Ha ha ha ha [emoji1787][emoji1787]
Achana kabisa na warusi [emoji1787]
Nakukumbusha ndani ya Urusi Kuna kizazi kikubwa mno cha wayahudi na wameamua kuuchagua upande wa Putin..... mathalani akina tajiri Abramovich...
Mkuu Putin si mtu mjinga.....
Kabla ya vita kuanza, US na NATO waliweka wazi msimamo wao kuwa hawataingia uwanja wa vita ila watatoa support kwa Ukraine. Ni kipi walichofanya cha tofauti?Biden kashachomoa hataki vita tena kaingia mitini amajificha kwenye vikwazo sasa hivi vita kataki tena
Unavyozungumza ni kama Russia anampiga Mmarekani na NATO kwa wakati mmoja, kumbe ni vita ambavyo NATO na US walisema tokea awali kuwa hawatashiriki uwanja wa vita.Wamarekani wa Tandale mpo very disappointed kuona USA amebaki kubweka tu kama mbwakoko. Mliaminishwa USA ndio mbabe pekee kwenye hii dunia. Mtapata taabu sana maana hakuna cha USA wala NATO watakaotia mguu kwenye huo musiki wa Russia
Weeh zuchu unachofikiria hakuna Russian-Jewish...unachojua wapo Usa-jewish tuu..basi wapo Russian-Jewish na hawaipendi USA..Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.
Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.
Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.
Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.
Hajui kitu huyu Zuchu tuu mie nakwambia...Russia ndo kawapa teknolojia nyingi za silaha hao watu kuliko nchi yoyote.
Hao bado wanamtegemea Russia kwenye teknolojia ya silaha.
Back to Israel.. Ukraine, Poland na Urusi zina Jews weng mno. Na kiasi kikubwa dvt ya silaha za Russia pia hawa jamaaa wako nyuma yao.
Hushangai kwann USA na RUSSIA hawana kauli mbele ya Israel ?
Hushangai hawa jamaa wako tayari kupigana na yyte kisa Israel ?
Hujiuliz kwanini Israel bado anafanya mashambulizi Syria na Russia hafanyi chochote.
Incase ya vita kati ya RUSSIA NA USA jua ndo mwisho wa dunia
Kuna Wayahudi Waashkenazi 160,000 nchini kote Urusi na walio "loyal" kwa Kremlin......miongoni mwao ni raia wazito kufikia kuwa OLIGARCHS.......Abramovich alishabadili uraia siku nyingi, kwa sasa ni raia wa Israel, inasemekana kuna sehemu walipishana na Putin.
🤣🤣Weeh zuchu unachofikiria hakuna Russian-Jewish...unachojua wapo Usa-jewish tuu..basi wapo Russian-Jewish na hawaipendi USA..
Week hii naona huna maneno mengi [emoji23]Vita sio nzuri
Deutschland [Germany] na washirika wake ndio nchi pekee ziliyopigana na mrusi kipindi hicho.Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.
Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.
Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.
Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.
Unafahamu ki asili Ukraine ina vibasaba vya Israel???Kuna Silaha mpya, za aina yake na za Kisayansi kama si za Kiteknolojia zaidi naziona kwa Kikosi cha Marekani na najua zitakuja Kufika na hata kutumika Tanzania labda mwaka wa 5000.
Namheshimu mno Mrusi ila kwa hiki Kiburi ambacho anapewa na Kujazwa na Washirika wake Wakuu Korea Kaskazini na Iran huku kwa mbali ( tena kwa Kujificha ) India na China wakimsaidia nawaonea Huruma Warusi ( Russia ) kwani watakumbana na Kipigo ambacho kamwe hawakukitegemea.
Wakati Mrusi ( Russia ) akiwategemea hao Washirika wake tajwa kumpa Kiburi chote hiki Kudadadeki Mmarekani ( Marekani ) inamtegemea Mwamba Mmoja tu wa dunia ambaye hata Wakorofi wa nchi za Kiarabu wanamjua na wanamuogopa ambaye ni Myahudi ( Israel ) Mwenyewe.
Marekani wana Akili na Mikakati mno. Urusi ( Russia ) wanaenda Kukutana na Teknolojia mpya ya Kivita iliyotengezewa na Myahudi ( Israel ) ambfapo huenda Wakafa vibaya kama Sisimizi au Mende.