Japo Urusi ni hatari akisaidiwa na Korea Kaskazini, China na Iran, ila kwa Kikosi cha Marekani kilichotua mpakani bado Marekani ni Mbabe wa dunia

Wewe jamaa mtu wa fix sana ๐Ÿ˜„ Yaani unachofanya ni kuchanganya ukweli na uongo tu, basi umemaliza
 
duh ushawai ona waisrael wanawashambulia wapalestina bila wap kushambuliwa kwanza ? mara zote wapalestina huanza kushambulia so waisrael hujibu tu mapigo wala hawana ajenda ya kuwasambaratisha
Kaiangalie mipaka ya ISRAEL ya mwaka 1945 wakati walipotoka kuchinjwa kinafiq kule GERMAN nasasa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mrusi akisaidiwa na korea iran na china?..
Lini wamewahi msaidia mrusi?una akili kweli wewe?
 
Unaongelea ule msafara wa kilometa 60?Warusi watalaani sana siku zote mtu aliyetengeneza Javelins . Javelins zimewavua nguo Warusi Hadi boxer ,Na kutuchama hawataki๐Ÿค”
Hivi vikosi viliishia wapi?
Jackal Tsh
 
Unaongelea ule msafara wa kilometa 60?Warusi watalaani sana siku zote mtu aliyetengeneza Javelins . Javelins zimewavua nguo Warusi Hadi boxer ,Na kutuchama hawataki๐Ÿค”
Hivi mbona tujavelin Ni tudude tudogo mno twa kupakata began?
Inakuwaje tunasambaratisha kifaru cha Tsh. Billion 9? Bei ya royo tuwa kabisa
 
Walisema kwa maneno lakini vitendo vyao viko dhahiri.
Unavyozungumza ni kama Russia anampiga Mmarekani na NATO kwa wakati mmoja, kumbe ni vita ambavyo NATO na US walisema tokea awali kuwa hawatashiriki uwanja wa vita.
 
Vita siyo kama sinema za Rambo, wamarekani hawana history ya kushinda vita yoyote. Ndiyo maana wanapigana kiuchumi kwanza, strategically kumzoofisha Russia then waangalie option ya military intervention
Uko sawa kabisa,
Ila nikuambie kitu,
Bora Urusi yenye uchumi imara inaweza hata kukaa mezani na kumaliza vita.

Ila Urusi iliyodhoofika kiuchumi ni hatari zaidi kijeshi.

Kwanza itapigana kwa nguvu zote kwa sababu itakua Haina Cha kupoteza.

Pili itapigana kwa nguvu na ghadhbu na kukomoa ili nayo iwashushe na wao kiuchumi ili wakose wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ