inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hakuwa mkewe?!..mwanzo 16:3,tukuamini wewe au bible?Hajiri hajawahi kuwa Mke wa Ibrahim
Alikuwa kijakazi wa Sarah mkewe Ibrahim.
Aliyemfukuza Hajiri ni Boss wake ambaye ni Sarah.
Hiyo simulizi unaijua vizuri?
Hakuwa mkewe?!..mwanzo 16:3,tukuamini wewe au bible?
Dini ya kiyahudi ilianza lini?Nisome kitu ninachokijua?
Au unadhani stori hii naijadili na wewe kisha naenda ku-google kama wewe.
Ibrahim ni muebrania kwa taifa.
baba wa waebrania ni Eber mjukuu wa Nuhu(Nuhu ni Assyrian)
Dini yake ni Myahudi
Mungu wake ni Yehova.
Huyo ndiye Ibrahim
Kwa hiyo Kondoo alikatwa jando badala ya Ismaili !!?Hakuna yeyote aliyetakiwa kuchinjwa, watafsiri wa Qur'an wamekosea sana tafsiri, sijuwi hilo la kuchinjwa mtoto wamelitowa wapi.
Nijuavyo limetumika neno "dhabih" ambalo kitafsida linamaanisha kukatwa jando.
Biblia nimeisoma nakuisoma kuliko kitabu chochote.
Nimeirudia zaidi ya mara tatu. Ndio kitabu pekee ambacho ninaufahamu nacho kuliko kitabu kingine.
Nikupe nukuu inayoelezea hicho kisa.
Nimekuambia umri wa Ibrahim na Isaka wakati wanaenda mlima Moriah haujatajwa
Kwa maneno yako haya Ni Wazi Ismael alizaaliwa Kaanani ambayo ni Israel ya Leo.Unasema Hakuwa mke ila biblia Inasema alikuwa Mke sasa Tumuamni nani weeewe Au biblia unayoifuata au ulipotoa kisa...?
Bilha na zilpa wana status tofauti na Hajiri na ndo maana Umeona anadiskasiwa kwa mapana..
Nakurudisha tena kusoma Mwanzo 16:3 ambayo huchangii chochote kuihusu..
Mwanzo 16:3
"Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe."
And Sarai Abram's wife took Hagar her maid the Egyptian, after Abram had dwelt ten years in the land of Canaan, and gave her to her husband Abram to be his wife.
Hakuna Kijakazi yoyote Aliwahi kupewa Hii status Kwenye Biblia kama ulimpata Nionyeshe Andiko nijifunze kitu kipya ambaye alikuwa kijakazi halafu akaitwa mke
Nimekujibu kwamba Sheria Za kiyahudi au sheria za kiebrania zimepitia Mapito mengi sana Na zimekuwa zikibadilisha na kutiliwa mkazo...
Sheria za Musa na torah na Sheria za Halakha (Sheria za sasa za kiyahudi) ni tofauti na sheria kipindi cha Ibrahimu na kina Yakobo..
Ni sawa ufananishe Sheria ya Kipindi cha Kinjikitile ngwale na kipindi hiki cha sasa Eti kwa sbabu tu zote ni Tanganyika ....Hapana..
Dini ya kiyahudi ilianza lini?
Nimeuliza Aya gani imewataja hao waebrania,ni suala la kuweka Aya uliyodai ipo ikiwataja hao kuwa ni waebraniaHao watu niliowataja unawajua?
Pitia post #194 kwenye uzi huu huu....utaona ishu ya umri imewekwa sawa kabisa..Wewe ni muislamu hivyo stori hii katika Biblia huijui vizuri
Mi mkristo ila nasoma Quran na Biblia
Leta fungu la Biblia likitaja umri huo unaosema wakati amri ya kuchinja mtoto inatoka
Kwa hiyo nuhu na Ibrahim walikua dini tofauti?!..na nuhu huyo ni nuhu wa safina?Ilianzishwa na Ibrahim
Tofautisha tohara na kuchinja mtotoSawa naomba upitie hizi screenshots hapa chini,... Credit kwa DR Mambo alielezea hii ishu ya umri kwa undani sana........ Nadhani licha ya kwamba unasema Biblia unaifahamu vizuri ila inapaswa pia ufahamu kwamba kuna watu wana kipaji cha kuichambua au tusema wameenda extra miles zaidi yako kwenye kuielewa.... Hopefully tupo pamoja 🤝🏼
kwa mtiririko mzuri wa screenshots hizi pitia post #194 kwenye uzi huu.
View attachment 3021825View attachment 3021826
View attachment 3021824
Tofautisha tohara na kuchinja mtotoPitia post #194 kwenye uzi huu huu....utaona ishu ya umri imewekwa sawa kabisa..
Sawa naomba upitie hizi screenshots hapa chini,... Credit kwa DR Mambo alielezea hii ishu ya umri kwa undani sana........ Nadhani licha ya kwamba unasema Biblia unaifahamu vizuri ila inapaswa pia ufahamu kwamba kuna watu wana kipaji cha kuichambua au tusema wameenda extra miles zaidi yako kwenye kuielewa.... Hopefully tupo pamoja 🤝🏼
View attachment 3021825View attachment 3021826
View attachment 3021824
Umri umezungumzwa wakati wa toharaPitia post #194 kwenye uzi huu huu....utaona ishu ya umri imewekwa sawa kabisa..
Nimeuliza Aya gani imewataja hao waebrania,ni suala la kuweka Aya uliyodai ipo ikiwataja hao kuwa ni waebrania
Quran bana nzuri story ya Yusuf ndo iko in detailHiyo sura zote hazielezi kisa cha Ibrahim kutoa mwanaye kafara.
Hizo Aya zinaeleza stori nyingine ambayo ipo nyuma ha stori ya kafara
Embu nenda sura ya 21 na 22
Ndio utakuta kisa cha jaribio alilopewa Ibrahim la kumtoa mwana wa pekee
Kwa hiyo nuhu na Ibrahim walikua dini tofauti?!..na nuhu huyo ni nuhu wa safina?
Quran bana nzuri story ya Yusuf ndo iko in detail
Hizi zingine mtihani
Wkt Biblia kama movie full details
Mimi najua hao watu wapo kwenye Quran,shida yangu ni wewe kusema kwenye Quran wametajwa Kama waebrania,ndiyo naomba hiyo ayaWapo ndani ya Quran nitakuletea nikipata nafasi.
Ila wanaojua Quran wanaojua watu hao wapo kwenye Quran