Uliandika
Biblia kuwa na versions nyingi, haina shida, as long as ujumbe uliokusudiwa umekuwa preserved mimi sioni shida yoyote.
Majibu
Wewe unaweza kuona hamna shida huo ni uamuzi wako lakini shida ipo
Shirika la U.S News & World Report, linanukuu kuwa, kikundi cha wasomi wa kikristo kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa. Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani. Ripoti ya Julai mosi, 1991, p. 57.
Dr. J.K. Elliott, wa kitengo cha Thiolojia na Tafiti za Kidini wa Chuo Kikuu cha Leeds, ameandika makala iliyochapishwa katika jarida la The Times, London (10 Septemba, 1987) yenye kichwa "Kutazama mizizi ya Biblia". Ndani ya makala yake, ameeleza kuwa: "Zaidi ya miswada 5,000 inayojumuisha Agano Jipya lote au sehemu yake iliyo katika lugha ya asili. Miswada hii imepangika katika madaraja ya kuanzia karne ya pili hadi kuvumbuliwa kwa uchapaji. Imekisiwa kuwa hakuna hata watu wawili wanaoafikiana kwa kila kitu.
Mwandishi aliendelea kufafanua kuwa "hakuna hata mswada mmoja wenye matini isiyobadilishwa kutoka katika uasilia wa ukamilifu wake, na kwa hiyo, "hakuna awezae kuchagua mswada wowote miongoni mwa miswada hiyo na kuuamini kwa imani ya pekee eti mswada huo ndio wenye ukiritimba wa kuwa ndio maneno asilia ya watunzi."
Aliendelea kusema zaidi: "Kama mtu ataendelea kupinga na kudai kuwa maandiko asilia yamenusurika pahala fulani kwenye maelfu ya miswada iliyopo, basi mtu huyo atalazimika asome miswada yote hiyo, hatua kwa hatua, ili kukusanya tofauti miongoni mwa miswada hiyo, kisha atathimini, lahaja kwa lahaja, ili ajue ni mswada upi wenye [matini] asilia na upi ndio wa matini ya nafasi ya pili.
Matarajio kama hayo yaliwakatisha tamaa wasomi wengi wa Biblia walioaminia yaliyomo katika matini zilizochapwa za zama za mwanzo, wasomi hao walichukua ushahidi wa miswada waliyoiona kuwa ni bora.
Hata matoleo ya Agano Jipya kwa Kigiriki yaliyochapwa kisasa, vilevile mafafanuzi ya kisasa yametegemea chapa hizo za zama za mwanzo; kwa kawaida hufuata utaratibu huu wa kujenga matini zao kwa kutumia msingi finyu ambao hauonekani kuwa ni wa asili kikamilifu."
Kwa kukuongezea jaribu kuangalia hii documentary kutoka BBC
View: https://youtu.be/DjW-df7qJaM
Utofauti wa mm na wewe, I actually know things instead of kuingia Google and kusearch vitu au kutafuta YouTube videos inaonekana hujui kitu 😅 😅 😅
Ndugu yangu, the bible has many version but it has never been changed, why??
Because we have "Dead sea Scrolls" ambazo zilipatikana 1940s which confirm the original manuscripts from over 2000 years ago, sasa unachojaribu kusema ni kwamba translation ni sawa na kubadilisha which is not, ndio kuna translation nyingi za biblia, mm binafsi natumia King James Version but mind you these other transactions don't remove the core principles, tasfiri haimaniishi ujumbe utabadilika, ndio kuna utofauti kidogo unaweza ukawepo lakini ujumbe mkuu ni uleule.
Also we have the 5700 Greek manuscripts dated from 2nd to the 10th A.D all agreeing to an infinitesimal degree, tuna evidence ya vitu vilivoandikwa humo, je kuna variance(tofauti)?? Ndio, je kuna tofauti ya maana au ya ujumbe?? Hapana, na ukisoma kwa makini utakuja kuona utafuti uliopo is absolutely negligible, mfano manuscript moja imeandika "Jesus was the son of marry" another manuscript ikaandika "Jesus was the son of marry" two times, je kuna tofauti?? Ndio, iko wapi?? Kuna manuscript moja imezidisha maneno na kusema mara mbili, je kuna madhara yoyote ya ujumbe?? No, hakuna it was just emphasised by an overly enthusiastic scribe who wanted to emphasize "Jesus was the Son of Marry" the point is haibadilishi the core meaning.
Sisi ni wakristo hatuna haja ya kudanganya wala kusema uongo kama nyie mnavojidanganya kwamba Quran ni perfect, hapana Quran yenyew imepitia mabadiliko mengi tuu na kuna baadhi ya Islamic scholars washajitokeza na kusema hichi kitu.
So broo we're in the boat, uzuri naijua biblia yangu vizur na ujumbe uliobeba, sio kama quran inayosema shetani anajificha kweny pua za watu asubuhi, mara shetani akisikia adhana ana jamba sijui anarchic ushuzi msikitini ili msi swali vizur, story za kipumbavu kabisa hizo 😅 😅 😅
Na najua kwann hii point ya biblia kuwa na translation nyingi waislamu mnaing'ang'ania sana, kwasababu bila hii point uislamu unakufa, uislamu umejekenga katika dhana kwamba biblia ni neno la mungu lililoshushwa lakini watu wakalibadilisha wakalichakachua likawa corrupted, kwaio dini yenu ime base kweny hio point kwamba biblia imekuwa corrupted so Quran ndo neno la mungu halisi lisilochachuliwa, bila kuipondea biblia kwamba ni corruption hamna point nyingine ya kuitetea quran yenu.
Na hio kitu inanichekeshaga sana, mnasema biblia sijui torati, zaburi na Injili zilishushwa na mungu maana yake ni neno la mungu yaan Allah(surah 3:3-4), si ndio?? Na Allah anasema kweny quran kwamba "Neno lake haliwez kuchakachuliwa"(His words can't be corrupted) surah 18:27
Sasa huoni kama Allah na Muhammad wanaji contradict, Anasema maneno yake hayawez kuchakachuliwa lakini maneno yake ya awali analaumu binadamu kwa kuyachakachua kwaio akaleta maneno mengine(quran)
😅 😅 😅
Don't you think that's confusing??
Unamjua Abdullah Ibn Saad Ibn Abi Sarh??
alikuwa mwandishi mkuu wa Mtume. Baada ya kuona linguistic errors katika revelations(mafunuo) ya Mtume na tabia ya muddy kufanya mabadiliko mara kwa mara kulingana na mapendekezo ya Ibn Abi Sarh, alitoroka kutoka Madina kwenda Месса. Alisema wazi kuwa qur'an ni uzushi na sio kitabu kutoka kwa Mungu yeyote. Kisha Muddy kama kawaida yake akaamuru kuuawa kwake kwa kulipiza kisasi. Ilikuwa ni mauaji ya kwanza ya murtadi katika Uislamu.
Ngoja nikupe scenario moja aliyotoa huyu jamaa;
"the Messenger of Allah invited him so that he could write him the revelation, so when the verse 23:12 ("And certainly did We create man from an extract of clay") was revealed, the Prophet called Ibn Abi al-Sarh, and dictated it to him and when the Prophet reached the end of 23:14 ("...Thus, We formed him into a new creation") Abdullâh said in amazement ("فتبارک اللّٰہ احسن الخالقین So blessed be Allah, the Best of creators!"). The Prophet said:" Write these words too (i.e., فتبارک اللّٰہ احسن الخالقین "So blessed be Allah, the Best of creators!"), as these words have also been revealed to me."
Abdullah Ibn Saad Ibn Abi Sarh - Wikipedia