Swali linakuja kwanini unaichukua Aya ya 3 mpaka uiruke na kwanini unabagua aya..
Unataka Niamini maneno ya Yesu alipowaambia Walimu na Mafarisayo..
Kuwa wanachuja Mbu na Kumeza Ngamia????
Yaani wanachukua baadhi ya Mafundisho na mengine kuyaacha (Yale yasiyoyapenda?)
Namimi Nakuuliza EWE Mtibeli KWANINI UNACHUJA MBU N KUMEZA NGAMIA???
Mathayo 23:23-25
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa na bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani, adili, na rehema, na imani; hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.
Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia.
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi.