Japokuwa watu usema ndoa ni kuvumiliana je unaweza kuvumilia na tabia hii kwa mkeo ?

Japokuwa watu usema ndoa ni kuvumiliana je unaweza kuvumilia na tabia hii kwa mkeo ?

kweli ume- kwisha .....hivi inakuwaje mwanaume unakuwa dhaifu mbele ya mkeo,...?... haiwezekani kabisa,...hai-make sense kabisa,... impossible....📌🔨
 
Kila ukitaka sex, wewe ondoka tu nyumbani nenda kusikojulikana kama masaa manne hivi, rudi oga lala.
Fanya hivyo week tu, halafu jaribu tena kugomba gemu, ukinyimwa endelea na dozi tena week nyingine ( ukiwa kwenye hiyo dozi usiulize chochote wewe ondoka tu).
 
Japo kuwa wanasema ndoa ni kuvumiliana je unaweza kuvumilia na ili
Kuna Tabia ambayo mke wangu anayo ya kutaka kunimiki kisa sex nakunipelekesha kwa kutumia njia ya sex
Nikiomba sex kwake kwa akili yake yeye ndo anaona amepata avantage ya kunitumisha na kunimiliki utasikia nifanyie ivi nenda kanichukulie kitu fulani ukirudi tutafanya mambo inakuwa mengi mpaka unachoka wewe mwenyewe nikikataa kweli sex sipati
Nimejaribu kusema kuhusu tabia hii lakini naona inaendelea
Mpandishe cheo.....awe bi mkubwa aka mke mkubwa
 
Hilo ni tatizo mkuu, kikubwa ashakuona wewe ni mdhaifu wa ngono

Kikubwa anza kubadilika, kuwa strong

Ukimuomba sex akikaza na vituko vyake, wewe komaa usifanye halafu unalala zako kiroho safi

Au akikataa, toka zako angalau masaa mawili kisha rudi home kisha lala zako

Akishajua wewe sio mtumwa wa ngono au kuna mtu anamsaidia unapotoka atarudi nyuma mwenyewe.


NB
USIENDE KUZINI, TOKA HOME KUMUHARIBU KISAIKOLOJIA
 
Unaoa mwanamke aliyetembea na wanaume Zaid ya 20, ndio Mana ndoa nyingi zimekuwa changamoto,
Atakuwa anataka umpelekee kwa mpalange amemiss atokapo weka kidole akitulia ujue tayari!
K ya mkeo uliikuta na km ngapi? Kuna mahala inasoma imetembea km ngapi?!
 
Wanaume wanapungua kwa kasi ya kutisha. Itungwe sheria kudhibiti hii hali else miongo michache ijayo hii specie itatoweka. Sijawahi kuwaza kuna kiumbe kiitwacho mwanaume kinaweza kufanyiwa hivi kwenye mkataba uitwao ndoa!
 
Back
Top Bottom