Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Sasa km ni hao polisi kwanini walimuacha mtuhumiwa hapo na pingu juu..
 
Tatizo limeanzia hapa!!
 

Attachments

  • 772799.jpg
    42.3 KB · Views: 2
Unqmuwekew akuwa wapi? Si kila mtu ni mnyonge
 
Hao jamaa ni TISS
TISS hawawezi kumkamata mtu kizembe namna ile,dar sasa hivi kuna wale polisi jamii(shirikishi),mitaani wanasaidia kimtindo kuzima uhalifu,ila baadhi yao mambo wanayofanya wanalichafua jeshi la polisi
 
Unaongea upumbavu..
 
Binafsi akija kiumbe kunikamata asipotoa maelekezo yaliyokaa vizuri aisee atachagua yeye aondoke yeye akiwa maiti au aondoke mimi nikiwa maiti 😠 😡 hawa washenzi wameona nchi kama ni yao vile!
 
Polisi hawataki kufafanua kwa umma namna ya ukamataji unaofuata sheria kwa makusudi ili kuruhusu utekaji uendelee. Wakosema namna ya ukamataji uliofanywa kwenye hiyo clip si wa polisi basi na utekaji nao utakwisha kabisa. Ila inaonekana kama vile una baraka za polisi
 
Kila nikiangalia hii Video naijiwa na Hisia mbaya za Viongozi wetu. Imani imenitoka nawaombea baya lolote liwapate. Am real disappointed, at the end tungeambiwa KIFO NI KIFO TUUU!
Unadhani Wanu akitekwa na maiti yake ikikutwa Ununio unadhani Sa100 ataongea hii kauli!? Dharau zitaisha chap kwa haraka.
 
Unaongea upumbavu..
Upumbavu wangu wanauelewa wanao wateka kuwa ni akili kubwa sana ..ila nyinyi wapumbavu wa chadema hamuwezi kunielewa ....mimi ni the great genius mkubwa sana ....niliwaambia watu kuwa MUISLAMU HAFAI KUWA KIONGOZI TANZANIA NA MWANAMKE HAFAI KUWA KIONGOZI TANZANIA ...kwa sasa tunaongozwa na sifa zote mbili zisizofaa yaani RAIS MUISLAMU NA MWANAMKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…