Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Raia wakiona pingu kwao inatasha kuwatambua watekaji kama ni polisi, kumbe pingu hata bunduki zipo za kukodi.

Hata huyo bonge atakuwa anawafahamu watekaji, ila jamii ya kiluvya nayo duu, utulivu ni F, yaani mtu anapiga kelele, majirani nisaidieni wanaenda kuniua hawamsaidii tena watekaji baada ya jaribio kushindikana wanaahidi kurudi lakini jamii ya kiluvya iko kimyaaa😤
 
Mkuu

Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.

Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Kumbe watu wanawajua WATU.
 
Picha zinaonekana vzuri kabisa. Ingekuwa halali yao kutangulizwa akhera hata usiku haujaingi
Umeshaambiwa;
Yule anaitwa Fike Wilson, a former Tanzania Kick Boxing Champion alitaka kumteka Deo Bonge.
Those two men who attempted to abduct the guy, their faces are clearly seen, and therefore it is easy to trace them after a wide publication of their faces on social
 
Maswali ya upande wa pili nayo muhimu
Ni shughuli/mawasiliano zi/yapi afanyazo/yo Ndugu Tarimo ambazo/yo zi/yana ukakasi katika jamii?
Plate number ya gari ?
Mtaani siku hizi watu hawatoi msaada kabsaa.
 
NAKAZIA "yako maswali mengi polisi lazima wajibu maana sehemu ya kuanzia ipo na wafanye haraka sana"
 
Ahoo kwani kabla ya 2023 utekaji haukuwepo acha kutumia rejea kengefu hoja ni ukiuwani wa Utawala wa sheria
 
Uroho wa Madaraka ili kumiliki bandari utatuletea shida kubwa mbeleni
 
TISS hawawezi kumkamata mtu kizembe namna ile,dar sasa hivi kuna wale polisi jamii(shirikishi),mitaani wanasaidia kimtindo kuzima uhalifu,ila baadhi yao mambo wanayofanya wanalichafua jeshi la polisi
Are you sure?

Mkwere alirahisisha ajira ndo tukawapata akina Mafwere ambao wakahamishiwa polisi kwa ajili ya utekelezaji
 
Kila nikiangalia hii Video naijiwa na Hisia mbaya za Viongozi wetu. Imani imenitoka nawaombea baya lolote liwapate. Am real disappointed, at the end tungeambiwa KIFO NI KIFO TUUU!
Kiongozi wako yupi na kafanya nini?

Msisisikilize upande mmoja tu, biashara ipi ya kwenda kufanyia bar?

Picha si ziko na polisi wamesema watawashika tu? Tusubiri. Na Deo mwenyewe afunguke, biashara ipi ya bar?
 
We ni mpuuzi, ndivyo mlivyo nyie watu wa jihad.
Wewe usiye mpuuzi, Deo
We ni mpuuzi, ndivyo mlivyo nyie watu wa jihad.
kishajulikana, na alioshindana nao mmoja kishajulikana, au hujaupigtia uzi vizuri. Nenda kalipize, haki itendeke.

Unaogopa nini na kujifanya unahjuwa kuliko polisi? Kuwa 'vigilante' tu. Hata sifahamu kama unaijuwa maana yake.
 
Duh kama ndy tiss ndy hao basi hamna kitu watu wa ovyo kabisa
Ona wanavyo operate kama walevi wanaogombea wanawake

Ova
Ndo maana wamewekewa kinga dhidi ya jinai.

Hawaogopi wala kustushwa na kelele zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…