Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Jinsi picha toka ndani ya bar, mpaka nje. Na zile kelele, na jina la aliyetaka kutekwa, naonakama mchezo wa kuigiza.

Watu wanajuwa kupika majungu.

Mradi tukio liko polisi, tusubiri uchunguzi wao.
 
Kwani huyo bonge ni mwanaharakati? bila kuingiza siasa kwanza tujiulize Bonge ni nani anafanya nini? ili tuunganishe dots.....
Awe mwanaharakati asiwe mwanaharakati, hilo jambo la kumkamata mtu kwa style hio kinyume na sheria still ni kosa.

Bad enough watz aiseee waoga sana na hawajui sheria. Yani mtu anasema tu ye ni askari, hana ID hata kithibitisho chochote kile, then walinzi wa hotel na management ya hotel wanamuacha tu bila kumsaidia mteja wao? aiseee[emoji20] nimesikitika sana.

kuna haja watu wajue sheria asee, iwe ni somo tangu primary hadi form 4
 
Mmoja ya watu wanao piga simu moja tu kwa majaji ni huyo ROSTAM AZIZI...Swali sasa kama ni hivyo mbona anaonekana naye ana lalamika ? Tumieni akili simu moja ya ROSTAM AZIZI kwa majaji si kitu mbele ya simu moja ya Rais kwa majaji sasa kimbembe ni pale Rais anapokuwa siyo kibaraka wa kina ROSTAM AZIZI ndipo hapo simu ya ROSTAM inapigwa chini na ya Rais inapokelewa na maagizo yanafuatwa ....magufuli aliwai kusema wazi kuwa gesi yetu tumesha ibiwa sasa unajua ROSTAM AZIZI ni nani kwenye mambo ya gesi ? Kitu alicho kifanya jpm ili kuwa komesha wenye kumiliki gesi ni kujenga bwawa la umeme ili ashushe bei ya umeme kwa nusu hivyo mafisadi wa gesi wangelazimika kushusha sana bei ya gesi pia ....ndiyo maana serikali dhalimu ya samia inayo milikiwa na rais feki kina rostam azizi wamekataa kata kata kushusha bei ya umeme licha ya bwawa kukamilika.
rostam huyu ambae ni King Maker?

Nakushauri muulize Mbowe kuhusu Rostam, wanafahamiana vizuri sana, kupita maelezo.
 
Hawa wasenge wanaochukua picha na kumuangalia tu mtu anachukuliwa kisenge kumamae zao , Watanzania ni mbwa
Bora huyo aliyeweza kuchuku picha anaufahamu kuhusu watu wasiojulikana alihakikisha wanajukikana, kumbuka walikuwa na pingu
 
Mwananchi wanaogopa masikin maana jana tu ndo kwanza wametoka kifungon
 
Mmoja ya watu wanao piga simu moja tu kwa majaji ni huyo ROSTAM AZIZI...Swali sasa kama ni hivyo mbona anaonekana naye ana lalamika ? Tumieni akili simu moja ya ROSTAM AZIZI kwa majaji si kitu mbele ya simu moja ya Rais kwa majaji sasa kimbembe ni pale Rais anapokuwa siyo kibaraka wa kina ROSTAM AZIZI ndipo hapo simu ya ROSTAM inapigwa chini na ya Rais inapokelewa na maagizo yanafuatwa ....magufuli aliwai kusema wazi kuwa gesi yetu tumesha ibiwa sasa unajua ROSTAM AZIZI ni nani kwenye mambo ya gesi ? Kitu alicho kifanya jpm ili kuwa komesha wenye kumiliki gesi ni kujenga bwawa la umeme ili ashushe bei ya umeme kwa nusu hivyo mafisadi wa gesi wangelazimika kushusha sana bei ya gesi pia ....ndiyo maana serikali dhalimu ya samia inayo milikiwa na rais feki kina rostam azizi wamekataa kata kata kushusha bei ya umeme licha ya bwawa kukamilika.
Narudia maswali yangu.
1. ROSTAM ana nguvu kuliko serikali?
2. Je,serikali ina mpa NGUVU ROSTAM?
 
Pumbafffff kabisa wakati wanatunga sheria ya kutekanatekana mlikuwa busy na simba na yanga.Mtatekwa mpanka siku mtakapojotambua pumbafffff.
 
Awe mwanaharakati asiwe mwanaharakati, hilo jambo la kumkamata mtu kwa style hio kinyume na sheria still ni kosa.

Bad enough watz aiseee waoga sana na hawajui sheria. Yani mtu anasema tu ye ni askari, hana ID hata kithibitisho chochote kile, then walinzi wa hotel na management ya hotel wanamuacha tu bila kumsaidia mteja wao? aiseee[emoji20] nimesikitika sana.

kuna haja watu wajue sheria asee, iwe ni somo tangu primary hadi form 4
Kama ni kwenye hotel, (then that is poor management), labda hata hizo picha zinatokana CCTV
 
Mkuu

Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.

Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
 

Attachments

  • 346B6008-23E9-457E-8AA0-A93C1BDD0971.png
    346B6008-23E9-457E-8AA0-A93C1BDD0971.png
    2.3 MB · Views: 3
Narudia maswali yangu.
1. ROSTAM ana nguvu kuliko serikali?
2. Je,serikali ina mpa NGUVU ROSTAM?
Hivi unajua serikali ni nini kwanza? Pia unaelewa nini ninapo sema serikali ipo mikononi mwa Raia feki.bado ujajua tu kuwa nguvu ya ROSTAM ni selikali kwa sasa....kajifunze kitu kinaitwa 👉STATE CAPTURE ndiyo uje nikuelimishe.
 
Nadhani tuna sehemu nzuri ya kuanzia hili lazima lifike mwisho, kwanza siamini kama hawa ni polisi maana kama ni kweli polisi na wako kisheria wasingemuacha najuwa kuna watu wanasema walikuwa wanasema sisi polisi hiyo yoyote anaweza kusema pili toka lini polisi wakatumia gari kama ile lakini yote ni lazima polisi wawakamate hawa jamaa wawe polisi au sio polisi. Bonge yupo ahojiwe hili tukio na kwanini yeye? nini nyuma yake aligombana na mtu au anashuku nini kosa. yako maswali mengi polisi lazima wajibu maana sehemu ya kuanzia ipo na wafanye haraka sana. Kuna haja ya sheria kubadilshwa haraka sana kuwe na taratibu za arrest mtu ziko serikali za mitaa wako wajumbe lazima wahusishwe katika utambulisho.
Kwa hiyo, kama hauamini hao si polisi wewe unaamini hao ni akina nani ?
 
rostam huyu ambae ni King Maker?

Nakushauri muulize Mbowe kuhusu Rostam, wanafahamiana vizuri sana, kupita maelezo.
Upo sahihi kabisa hata kifo cha ben saa8 mbowe na rostam ndiyo wanausika na huo mchezo ...kipindi nchi ipo mikononi mwa JPM genge lote la Raia feki likiongozwa na jasusi wa Israeli bwana ROSTAM AZIZI lilikuwa upande wa chadema ili kuwatumia kumkwamisha na kumchafua JPM na ilo kosa ndiyo sababu ya chadema kufa kifo cha kibudu mioyoni mwa watanzania ...chadema walikubali kutumiwa na maadui wa JPM kina Nape wakidanyanywa kuwa ni marafiki wapenda democracy...vipi baada ya kifo cha jpm ..Nape ameweka uhuru kwenye vyombo vya habari kama chadema na ccm walio mpinga jpm walivyo jinasibu.
 
Nadhani tuna sehemu nzuri ya kuanzia hili lazima lifike mwisho, kwanza siamini kama hawa ni polisi maana kama ni kweli polisi na wako kisheria wasingemuacha najuwa kuna watu wanasema walikuwa wanasema sisi polisi hiyo yoyote anaweza kusema pili toka lini polisi wakatumia gari kama ile lakini yote ni lazima polisi wawakamate hawa jamaa wawe polisi au sio polisi. Bonge yupo ahojiwe hili tukio na kwanini yeye? nini nyuma yake aligombana na mtu au anashuku nini kosa. yako maswali mengi polisi lazima wajibu maana sehemu ya kuanzia ipo na wafanye haraka sana. Kuna haja ya sheria kubadilshwa haraka sana kuwe na taratibu za arrest mtu ziko serikali za mitaa wako wajumbe lazima wahusishwe katika utambulisho.
Hata kwa Zakaria walienda hivyohivyo baada ya kuraa moto wa kikuryaaaa yarivyomaoga yakatajana eti ni usaramaaaa wa taifa.
 
Ni kiwafanya kama tajiri Zakaria tu pyupyu wanajulikana tu ni kina nani... Walivyomkamata akamshoot tu mmoja wao pyupyuu...mara oooh Zakaria ampiga risasi Afisa usalama Mkoa wa Mara. .amelazwa hospital ya Musoma hapo ndio tulipojua kabisa watekaji ni kina Nani..hata polisi waje na maelezo gani..hawawezi kufuta hiyo kitu
Zakaria my blood Boss yule ni mwamba kwelikweli TATA
 
Back
Top Bottom