Wewe na akili zako unajuaje huyu polisi na huyu sio. Tumia akili kidogo uliyozaliwa. Mimi nikija kwako kukwambia mimi polisi basi utakubali mimi polisi. ujingaaaaaKwa hiyo, kama hauamini hao si polisi wewe unaamini hao ni akina nani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na akili zako unajuaje huyu polisi na huyu sio. Tumia akili kidogo uliyozaliwa. Mimi nikija kwako kukwambia mimi polisi basi utakubali mimi polisi. ujingaaaaaKwa hiyo, kama hauamini hao si polisi wewe unaamini hao ni akina nani ?
Jibu ni hilo ulilosema NGUVU YA ROSTM NI SERIKALI KWA SASA.Hivi unajua serikali ni nini kwanza? Pia unaelewa nini ninapo sema serikali ipo mikononi mwa Raia feki.bado ujajua tu kuwa nguvu ya ROSTAM ni selikali kwa sasa....kajifunze kitu kinaitwa 👉STATE CAPTURE ndiyo uje nikuelimishe.
sIO UOGA ni USHOGA wa watu wa pwaniKaMa polisi inawakana maana yake hao watu ni majambazi hivyo siku nyingine wananchi tumsaidie muhanga kwa nguvu zote.tuache uoga!
TISS imejaa vilaza na vibaka toka UVCCM, vetting ya siku hizi kigezo kikubwa ni ukada wa CCM.Are you sure?
Mkwere alirahisisha ajira ndo tukawapata akina Mafwere ambao wakahamishiwa polisi kwa ajili ya utekelezaji
Hapo wana caution kwamba wanaweza kusaidia wakafatwa wao kibembeMimi nawalaumu raia wote wapo kimya tunaishi kama wanyamapori kwanini hawakuchukua hatua hata ya kuhoji kuwa ni akina nani na vitambulisho vyao akuna mjumbe wala mwenyekiti.
HUYO DEO BONGE NI NANI KWANINI AKAMATWE NA NAMNA ILE NA KUSIWE NA MSAADA WOWOTE. ANAJISHUGHULISHA NA NINI??
Mabeyo katuweza kweli.Kweli huyu Mama uwezo wake ni mdogo sana.
Kwenye hizo picha hapo juu huwezi kuona vizuri ila kuna ingine ni yeye 100%Huyu jamaa ana sura ya ujana kabisa we unasema Fike Wilson? Maana Fike alipokuwa anasumbua sinza sisi tulikuwa shule ya msingi leo mimi nina miaka 40 alaf Fike aonekane mdogo kuliko mimi??
Ndiyo mmoja wapo ya mmiliki wa selikali ....serikali ni kama bunduki tu inaweza kumilikiwa na jambazi au raia mwema.Jibu ni hilo ulilosema NGUVU YA ROSTM NI SERIKALI KWA SASA.
Kwa jibu lko hili SIONI KOSA LA ROSTM kwani yeye KAPEWA KANDARASI YA KUIENDESHA NA KUIRATIBU SERIKALI NA SERIKALI.
Hivyo SERIKALI ndiyo INA MAKOSA KWA KUMPA KANDARASI ROSTAM.
Naam and I repeat Watanzania tuna Utaifa ambao sehemu nyingi hawana..., kinachoharibu and I repeat ni Viongozi, Walamba Asali, Wanasiasa ambao hawaeleweki wala hawajali lolote zaidi ya matumbo yao (on both sides)..., lakini the average joe's huko kitaa wana solidarity ambayo ilipatikana kwa shida sana tena sana ila the current crop wamekuwa wajirabu kuharibu....Huyu Logikos anasema tunapendana na tuna undugu sana!
Tatizo siyo kumsaidia tu,ok naingilia ugomvi nazuia wasimkamate halafu mimiSiwalaumu polisi nawalaumu hao kukumaji wanaume wa dar waliokuwa wanashangaa na kushindwa kumsaidia mwenzao,oumbavu kabisa
Kama ni Fike Wilisoni ni mtu wa mbeya nyumbani kwake kalibu na Sokomatola na Familia yake naijuia vizuri tu,ana kaka yake anaitwa Ngwisa kidogo miaka ya nyuma alikuwa kachanganyikiwa,naamini kwa haya majina ni mnyakyusa kazi kwenu polisi,kama hamkuwatuma tumeanza kuwapa mwangaPicha zinaonekana vzuri kabisa. Ingekuwa halali yao kutangulizwa akhera hata usiku haujaingia.
FIKE hawezi kuwa na sura ya ujana hivi wewe yule jamaa now ana 50+ alisumbua sana miaka ya 90 na early 2000 hawezi kuwa kijana badoKwenye hizo picha hapo juu huwezi kuona vizuri ila kuna ingine ni yeye 100%
Watu wamteke mkewe na kumtoboa macho yote na kumkata ulimi kisha wakamtupe jirani ya nymbani kwake.
Wale wa Ali Kibao walikuwa well trained,hawa ni wachovu tu mimi ningekuwepo ningenunua huo ugomviMtoa msaada ndie anae umia..hofu ni jamaa wakiwa na 🔫 chukulia mfano tukio la mzee Ali kibao..yaan ungejiingiza TU KUSAIDIA ni kujitoa kafara.
NB.
Ni Bora ufe ukitetea haki kuliko kukaa kimya huku uovu ukitendeka.
Uko sahihi,fike nimemjua 1998 miaka 26 imepota na alikuwahakosi 25FIKE hawezi kuwa na sura ya ujana hivi wewe yule jamaa now ana 50+ alisumbua sana miaka ya 90 na early 2000 hawezi kuwa kijana bado
Hakuna fike hapo fike sasa ni mtu mzima sanaTatizo siyo kumsaidia tu,ok naingilia ugomvi nazuia wasimkamate halafu mimi
Kama ni Fike Wilisoni ni mtu wa mbeya nyumbani kwake kalibu na Sokomatola na Familia yake naijuia vizuri tu,ana kaka yake anaitwa Ngwisa kidogo miaka ya nyuma alikuwa kachanganyikiwa,naamini kwa haya majina ni mnyakyusa kazi kwenu polisi,kama hamkuwatuma tumeanza kuwapa mwanga
yupi aliyevaa kapelo au dogo whiteMkuu
Huyo Fike Wilson alishawahi kuwa bingwa wa Kickboxing Tanzania enzi hizo, baadaye akahamia kwenye masumbwi (boxing) kabla hajafungua gym pale Sinza na Kinondoni...ndio huyo hapo kwenye mlango wa gari.
Upelekezi unapaswa kuanzia kwake.
Sijui kama Tiss unaweza kuingia hata ukubwani huyo jamaa Fike Willsoni tunamjua alikuwa muhuni fulani kule mbeya miaka ya 1996 baadaye akahamia DarWewe umesema
Inawezekana kweli nakuunga mkonoHakuna fike hapo fike sasa ni mtu mzima sana
Je Watateka na kuua wangapi?Hiyo sheria ya usalama wa taifa hili ndio lilikuwa lengo lake, na serekali inajua na imebariki matendo haya. Ni sheria iliyotungwa kwa nia ovu.