Jaribio la kunidhuru limeshindikana ashukuriwe Mungu

Poleee asee kamanda stroke
 
Mimi huwa siwaamini walokole kwani kila siku watesi wao hutaka kuwaangamiza, ona sasa mlokole huyu amekuja na hadithi ileile.
 
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Pole Sana Mkuu
 
Nilikunywa juise ya Nana's kwenye kitoroli kariakoo tumbo lilianza kureact palepele kwa kupiga ngurumo kama za radi na ziliendelea kwa siku hiyo Hadi kesho yake, nahisi lilikuwa jaribio Kali sana la kuniondoa kabisa
 
Ni kweli, nishakutana na paper clip kwenye kitumbua na mara nyengine tena kwenye kitumbua nakutana na shanga daah!, mwenyeezi mungu ni mkubwa.
Vitumbua huwa vinapikwa uchi na kanga moja so possible
 
So jamaa anataka uhai wake sema Mungu,hakuna mtu yeyeto mwenye kuweza kuua mtu pasipo ruhusa ya Mungu.Lisu case study
 
Hii ni tofauti mkuu, vyupa vinatoka wapi kwenye supu, ingekuwa kinywaji hapo sawa useme labda chupa imevunjika bahati mbaya wakati wa kufungua, hiyo ilikusudiwa.

Ni kuongeza umakini. hali si hali binadamu hawaaminiki tena.
Pole mkuu! Kazi za watu wasiojulikana hizo!
 
Tutaiaminije story yako, ulimdhulumu mhudumu huyo, au unafikiri msukosuko ulitokana na Nini, auhuishi vizuri na watu au, tupe ufafanuzi tafadhali angalao uwafunze na wengine.
 
Ushauri kama anaishi na jamii vibaya abadilike.
 
Pole Sana na ukatoe sadaka kumshukuru Mungu ulivyookoka na hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…