kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,742
Kwa nini iwe ni CCM na isiwe CHADEMA ama vyengine?!!!Wanaccm wenzako wanakufanyia umafiaa...ila nakumbuka kule jukwaa la siasa ulishadadia sanaa Lisu kupigwa risasi....nafikir umepata funzo kwny maisha ya sasa
Watakuwa wamezungukanaa..ndo zao ccm..rejea yaliyomkuta katbu mkuu baraKwa nini iwe ni CCM na isiwe CHADEMA ama vyengine?!!!
Hicho kifungua kinywa chenye vipande vya chupa bado nimebaki mdomo wazi sijajua ni aina gani uliagiza au ni mtori,au ni bia (kama ni bia kumbuka ndio ulikuwa unaenda ibadani)hapa kuna kitu mungu alitaka kukuonyesha labda.Wakuu,
Bado sijarejea rasmi hapa jamvini ila nipende tu kuwataarifu kuwa nipo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku.
Siku kadhaa zilizopita ndipo nilipokutana na msukosuko wa aina yake.
Ilikua siku ya jumapili nikiwa najiandaa kwenda ibadani, nikaona nipitie kwenye moja ya mgahawa maarufu hapa mjini ambao kwa kweli pale mimi huwa ni regular customer na huwa nina wahudumu wawili ambao hao ndio tumezoeana sana.
Sasa siku hiyo ya tukio akanipokea mhudumu kama kawaida yake kwa tabasamu pana na salamu.
Nikaagiza kifungua kinywa.
Wakati natafuna nimeze lahaula nasikia vitu vikivunjikia mdomoni, nikaona niteme looh natoa mdomoni vipande vya chupa na ili kuhakiki kama kile kilikuwa chupa nikaona nikiminye nikaishia kukatwa mkono wangu.
Kuangalia ndani ya chakula looh, vyupa vimejaa.
Tangu siku hiyo ya tukio nikiwa mjini nakunywa maji tu. Mambo mengine yote nyumbani.
Wakuu kuweni makini sana na mii mgahawa na hakikisheni hamuwi wateja wa kudumu mahali.
Asanteni. Weekend njema.
Mimi huyo juzi,, nilivamiwa usiku View attachment 1969354
Pole mkuu , Lengo lao nini.?
View attachment 1970157
Mkuu lengo Lao walikuwa wanataka hela walijua labda mimi tajiri kumbe masikini nina shida kibao ila shida zangu nazificha
Dah aisee pole sana. Vipi wamekamatwa? Ni wapi?Walivamia usiku wa saa nane juzi,, walivunja geti na mlango na kuanza kunishambulia kwa mapanga,,,
View attachment 1969478
Huyo mpikaji ni mchawi anataka kukuroga.Ni kweli, nishakutana na paper clip kwenye kitumbua na mara nyengine tena kwenye kitumbua nakutana na shanga daah!, mwenyeezi mungu ni mkubwa.
Hajasema alienda bar!Kikubwa ni kuepuka kwenda bar hiyo hiyo mara nyingi
Kazungumzia wahudumu...Hajasema alienda bar!
Bar hakuna matukio ya kijinga kama hili.
Mkuu mimi life style yangu ambayo ninayoishi mtaani wengi wanajua labda nina kipato kikubwa lkn siri naijua mwenyewe ila karibia wote nishawajua na hatua nyingine zitafuataHao ni vijan/vibaka wa mtaani ambao wanaish kimazanio
Wanafanya attack bila kuw na uhalisia wa kujua fedha ipo