Jaribu kupata mtoto

🤣🤣
 
Sema kuzaana ni kama upatu ,mtu anayeishi kwa tabu anazaa mwingine ili aje kuishi kwa tabu.

Mtoto akiwa mkubwa anaambiwa sasa unatakiwa kujitegemea ,hapa hana la kufanya kashaingia mkenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…