Kikubwa mmeshaachana naomba tuendelee na usajili mpya. Niko safu ya mbele naomba ombi langu ulizingatie mrembo tuweze kufungua mwaka mpya vizuri🥰Achaneni na huu uzushi basi, sijawahi kulazimisha ndoa, katu!
Kwamba nilitaka ndoa ndipo tukaachana? Nonsense.
Sababu zilizotufanya tuachane ni nyingi na hii sio moja wapo.
Asanteni.
Aisee...! Hii imeendaaMkuu tusaidiane kushangaa kwenye hili... Mm sikujua km kweli hapa jf watu Wana date na kunyanduana kiukweli ukweli
Hakika nimeamini!Hadi kanisani watu wanamung'unya🤣Wana msemo wao "Ubuyu hauna Chama"
Hahahahaha kizazi cha hovyoHakika nimeamini!Hadi kanisani watu wanamung'unya🤣
Ngoja nimalize IbadaWanaume wamekuwa tatizo mtumishi,inabidi tuliweke kwenye maombi....ngoja nifungue
Usikute mwendesha misa nae yuko jamii forum anafatilia huu mtanange [emoji38][emoji38][emoji38]Ngoja nimalize Ibada
Mama hapa Kwa baba angu Mastai kutoka hatuna muda maalumu[emoji28]
Nimecheka Kwa sautiMaisha ya upweke kivipi ww 😂 wanawake wako very smart. Mwanamke hana confidence ya kuacha mtu kama hajapata pa kuji banza haswa hawa wamatumbi wenzetu. Ukiona demu anakuacha kwa mbwembwe jua kashapata pa kujishikiza.
Mndewa Huwa nakuelewaga sana !nahisi makande yako unaongezaga mayonnaise na mango pickle 😁Malengo tu yakitofautiana inatosha kwa uamuzi wa mwanamke kukukacha. Wala ishu sio pesa ni focus tu. Mwanamke ikifikia mahali anataka ndoa akaona humpi akijitokeza mwenzio tu unaachwa Nanja😂
No sie hatuna MisaUsikute mwendesha misa nae yuko jamii forum anafatilia huu mtanange [emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mama,,peleka injili mbele...nakusubiri mi Leo sijaenda church Wala Nini nafutilia ibada onlineNgoja nimalize Ibada
Mama hapa Kwa baba angu Mastai kutoka hatuna muda maalumu😅
Mwache dada wawatuKwa hiho,sista wetu katumika sana?!
MnoooHahahahaha kizazi cha hovyo
Mbona umeumia sana kuliko hata mleta mada jukwaani, wengine tulijua kama kashaachwa tukakaa kimya, lakini kwasababu kalileta jukwaani mwenyewe acha watu wajadili, asingetaka yazungumzwe humu angekaa nayo moyoni mwake. hatushangai mwanamke kutaka kuolewa, tunashangaa mwanamke kulazimisha ndoa, ndio maana kaachwa, kwasababu mwanamke halazimishi ndoa Kwa Mila za kiafrika.Wanaume wa siku hizi wambea sana nyie,kama sio kitu Cha kuficha mbona kimekuwa kama kitu Cha kushangaza?mnachoshangaa mwanamke kutaka kuolewa ni kipi?
Khaaaa...sio kwa uvivu aiseee IBADA online? Mama [emoji1][emoji1][emoji1] weka nmba yako niku boost na January.Sawa mama,,peleka injili mbele...nakusubiri mi Leo sijaenda church Wala Nini nafutilia ibada online
🤣🤣🤣Hapo kwanza nchekeMuache Joannah wangu anahasira na mimi. Sababu naijua
Uje chimbo tupeane baraka basi mrembo, mwaka mpya huu 😂Mndewa Huwa nakuelewaga sana !nahisi makande yako unaongezaga mayonnaise na mango pickle 😁
🤣🤣🤣🤣Yeah it's a digital life jirani.....nakuja pm kukupa number chap kwa harakaKhaaaa...sio kwa uvivu aiseee IBADA online? Mama [emoji1][emoji1][emoji1] weka nmba yako niku boost na January.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niandalie Cinzano na ng'ombe choma najindaa kabla ya saa Tano nishatia timu hapo chimbo!Uje chimbo tupeane baraka basi mrembo, mwaka mpya huu 😂