Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kilicho kufanya unuite Tayana-wog ni kipi😂😀.Mi napiga vita umbea,we Tena unaniambia umbea umenijaa jamani🤣
Sure!Ndio hivo mkuu, Serikali inayo bado majibu yakujibu lakini ndio hivyo Mungu alimpenda zaidi.
Mtibeli hapa umekosea. Hukupaswa kuzungumia mahusiano ya watu namna hii.
Na unanonekana upo upande wa huyo jasusi ili iweje sasa? Nia yako Nifa apigwe mawe hapa..
Umefeli big time kuingilia yasiyo kuhusu.
Habari kama hii sio level zako kabisa.
Adhabu Kali Sana hiyo!Unatengwa. Kila ukifika walipo wanaume wakikuona wanaondoka. Kama ni kijiweni ukifika wao wanaondoka. Maana wanaona unakuwa na tabia za kike. Huwezi anzisha mada kuzungumzia mahusiano ya watu. Impossible na wanaweza kukuvalisha skirt
Vijana watamshughulikia. Nitawakabidhi vijana wampeleke tohara. Afundishwe uanaume.Nimeona juhudi zako,akikaidi ni vile ni mbishi wa kuzaliwa
🤣🤣🤣🤣Jandoni au sio?Vijana watamshughulikia. Nitawakabidhi vijana wampeleke tohara. Afundishwe uanaume.
Jmn huu Uzi upi tena?Kilicho kufanya unuite Tayana-wog ni kipi😂😀.
👉Unge kuwa mtaa wangu, ninge kua naku ita Kisha nakukoa makwenzi tu😀😂
Yes. Ndo wanaume walikuwa wanafundishwa kwanza ku stay away from others' business. Pia wawe na kifua. Hata wakiambiwa kitu wakae nacho moyoni. Pia wajue kuwa si hulka ya wanaume kuzungumzia mahusiano ya mtu mwingine.🤣🤣🤣🤣Jandoni au sio?
Umbea tu unakusumbua,huna kingine na wewe.Mbona umeumia sana kuliko hata mleta mada jukwaani, wengine tulijua kama kashaachwa tukakaa kimya, lakini kwasababu kalileta jukwaani mwenyewe acha watu wajadili, asingetaka yazungumzwe humu angekaa nayo moyoni mwake. hatushangai mwanamke kutaka kuolewa, tunashangaa mwanamke kulazimisha ndoa, ndio maana kaachwa, kwasababu mwanamke halazimishi ndoa Kwa Mila za kiafrika.
Aisee basi ni muhimu jando lirudishwe Kwa mustakabali wa Taifa changa na TanzaniaYes. Ndo wanaume walikuwa wanafundishwa kwanza ku stay away from others' business. Pia wawe na kifua. Hata wakiambiwa kitu wakae nacho moyoni. Pia wajue kuwa si hulka ya wanaume kuzungumzia mahusiano ya mtu mwingine.
Bora umemuambia amezidi siku hiziRobert Heriel Mtibeli
Umeanza kushuka viwango
Una maneno mengi sana siku hizi
Umeanza habari za umbea
Wakulane wengine upeleleze wewe,
Nashauri usirudia kitu hiki kaa kwa kutulia Mpare
Bora umseme Ni kama amefurahi utadhani walikuwa wanamshea huyo jasusi.....poor mindMiaka HII WANAUME TUMEBAKI WACHACHE SANA. YAANI MTU KABISA UNAKUJA ANZISHIA UZI UHUSIANO WA MTU MWINGINE, ARE YOU NORMAL? NI AIBU HATA KUZUNGUNZIA. LENGO NINI? UONEKANE UPO KARIBU NA MTALAKA? THEN? WANAUME WAZAMANI ILIKUWA HUWEZI JADILI MAHUSIANO YA MTU MWINGINE. ULIKUWA MWIKO KABISA.
Kama kaamua kumwaga manyanga kwa sababu ya kutaka ndoa basi ni mwanamke bora kabisa! Mnatakiwa kujua kuwa si kila mwanaume atakwambia atakuoa au ataonesha malengo ya kukuoa maana kila kitu unampa sasa aseme nini na ukupeleke wapi kama hujitambui na kama hata kuulizia tuu una malengo gani nami uwezi zaidi ya kwenda kama nguruwe tuu miaka ina kata tuu…..Mbona umeumia sana kuliko hata mleta mada jukwaani, wengine tulijua kama kashaachwa tukakaa kimya, lakini kwasababu kalileta jukwaani mwenyewe acha watu wajadili, asingetaka yazungumzwe humu angekaa nayo moyoni mwake. hatushangai mwanamke kutaka kuolewa, tunashangaa mwanamke kulazimisha ndoa, ndio maana kaachwa, kwasababu mwanamke halazimishi ndoa Kwa Mila za kiafrika.
Kwanza Mimi sio mwanamke hilo liondoe kichwani kwenye perception ya andishi wa commet yako. Ntarudi baadae kuendelea kujibu comment Yako.Kama kaamua kumwaga manyanga kwa sababu ya kutaka ndoa basi ni mwanamke bora kabisa! Mnatakiwa kujua kuwa si kila mwanaume atakwambia atakuoa au ataonesha malengo ya kukuoa maana kila kitu unampa sasa aseme nini na ukupeleke wapi kama hujitambui na kama hata kuulizia tuu una malengo gani nami uwezi zaidi ya kwenda kama nguruwe tuu miaka ina kata tuu…..
Ukweli kwa mwanamke smart na mwenye malengo hawezi kubali kupotezewa muda na aendelee kusubiri kwa kuogopa ataonekana anataka ndoa au lah..na kwa akili hizi ndio maana wanawake wengi mnakaa geto na mwanaume miaka mitano na upo tuu kama ling’ombe au nguruwe su mfugo wowote usio na mbele au nyuma!
Mwanamke ndiye anayeamua ndoa mara nyingi na atafanya kwa vitendo na kama anajielewa lazima uamue moja kumuoa au kumuacha….mwanamke aliyepoteza dira na kukata tamaa ndio atasubiri hata miaka kumi mwanaume aseme…….,
Ndoa nyingi unazo ziona leo hii asilimia kubwa zimeamuliwa na mwanamke mwenyewe…sasa mwanamke kutwa na miaka yote unakuja kujilaza na kujipikilisha kwangu ukisubiri niseme lazima uchine…….
Mwanamke kama binadamu yeyote ni lazima awe na malengo kama sisi wanaume na lazima hayafatilie….sasa kuna tofauti ya kuwa mfugo wa mtu na kuwa mwanamke anaye jielewa…..
Kama kweli kwenye relationship kuna malengo ya ndoa na kusonga mbele lazima mwanamke anayejielewa atabaki ..kinyume na hapo lazima akimbie…..
Sisi wanaume kama mwanamke yuko kama nguruwe tuu hajielewi tunakula tuu uroda wala hatujali na ndio maana ndoa nyingi unakuta sisi wanaume tunasituliwa na wanaotuzunguka….wala mara nyingi hatujali muda ..nitofauti na wenzetu wanawake wanapaswa kujali sana muda maana wao wana muda mdogo sana na ki ufupi wanayo expire date…..
Sasa nikisemaga kitu natukanwa kama nini yaani humu sidhaminiwi .Jamani ndio unakuja kumwambia leo