Jasusi kaniambia sababu ya kuachana na Nifa

Bro,o level na advance ulisoma shule gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bangi zako nzuri,,,nitakutumia zingine jirani yangu analetaga kutoka Malawi😁
Safi za Malawi si mbaya pia. Nitumie nitashukuru. Muwe mnawasaidia hawa watu wanaanzisha nyuzi kama hizi muwashauri kuwa ni kupoteza uanaume. Yaani mwanaume kabisa unajisifu kuwa umeongea na mwanaume kuhusu mwanamke wake na unaanza tangaza mtaani? Nimeshtuka sana. Siku hizi hata wanawake wameacha umbea na uchawa wa namna hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…