Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Dduh kama ni kqeli , hawa watu wana roho ngumu sana na mbqya aisee
 
“Mnahonga madem vitara” ??
Dduh kama ni kqeli , hawa watu wana roho ngumu sana na mbqya aisee
Industry ya modelling (fashion)music na movie zimejaa laana Tupu

Binti hatoboi mpaka atoe uchi na awe mshirikina ,Mwanaume pia hautoboi mpaka uwe chawa mdananda na mshirikina kuhusu kuwa Malaya mbwa na kunywa vilevi vikali mixer drugs hapo ndio usiseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…