The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Lulu Elizabeth Michael alikuwa anaenda bill canas akiwa na umri huo ,Miaka 13 na yeye anaenda kwenye parry after parry kutafuta nini kama syo u--b--#000
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lulu Elizabeth Michael alikuwa anaenda bill canas akiwa na umri huo ,Miaka 13 na yeye anaenda kwenye parry after parry kutafuta nini kama syo u--b--#000
Ova
🤣🤣🤣 Kwamba anaogopa Jamaa atamuua !!?Kapost hivi jayz anafungwa pingu
Kanye anasema kwamba mpaka Dr dre pia kamtoa mwanae kafara ili Azidi kupata utajiri wa masonic Jamaa huwa Lina nyoosha Sana Maelezo ila watu walikuwa wanamuona chiziKanye mwenyewe alimtoa mama yake kafara, na alikirii kufanya hilo.
Huyu mwamba sio poa 🤣Msenge 🤣🤣🤣🔥🔥🔥
Inaanzaga polepole tu hakuna harakaHii issue imekosa nguvu
Jay Z hakuna wa kumtikisa.
Dduh kama ni kqeli , hawa watu wana roho ngumu sana na mbqya aiseeKwanza alishawahi kuwa ktk mahusiano nae baadae Walikuja kugombana baada ya Jide kuolewa na Gardner ilikuwa ni issue ya kimaslahi ktk Kazi clouds wanatabia ya kuwalipa wasanii kiduchu ktk kazi zao so Nahisi Jide alivimba akawa Anataka pesa ndefu , basi ugomvi unaanzia hapo ruge na kusaga wakawa wanapanga mipango ya kumfilisi na walimtingisha kweli kweli ila Jide alisimama imara maana walihakikisha Wana mpokonya wasanii wake wote waliokuwa ktk bendi yake ya machozi band na kama unavyojua that time Mitandao ya kijamii hakuna na radio zenye nguvu ktk burudani zilikuwa Mbili Tu clouds ikiwa ndio the best East Africa radio ikiwa inafuata , Jide aliyumba mpaka alifunga lounge yake inayoitwa nyumbani lounge wakati huo alikuwa anaitumia Hiyo sehemu kipiga show kila weekend akiwa na band yake , so wasanii walivyo mkimbia akakosa kusimamia biashara Hiyo vyema ikafa. Ila now naona umerudi tena
“Mnahonga madem vitara” ??Kamkula Sana mbona mpaka alimuhonga na gari na Sugu alishawahi Kuimba kwenye Sugu Moto chini 🤣🤣
Naam“Mnahonga madem vitara” ??
“Mnahonga madem vitara” ??
Industry ya modelling (fashion)music na movie zimejaa laana TupuDduh kama ni kqeli , hawa watu wana roho ngumu sana na mbqya aisee