Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #161
Weupe waliharibu sana msingi wa nigaz, ambao ni familia. Familia zao nyingi ni za hovyo. Wanaume hawawajibiki, masingo mama, watoto wengine wanajilea wenyewe. Yaani ni shidaa
TusubiriKesi bado, hao bado ni watuhumiwa tu.
Hata blacks wa Tanzania ni takataka tu. Wengi wananuka vikwapa.Blacks ni jamii ya hovyo sana pale Marekani. Tena kama wanawake blacks ni takataka kabisa
Sema tuna siyo mnaHakuna mkakati wowote watu weusi mna mambo ya ajabu sana.
Hata hapa bongo yapo sana tu ni vile ni corrupt country no body cares. Yapo zaidi ya hayo
Kuna yule marehemu walimpa jina la jasiri muongoza njia, nyuma ya pazia kamuulize JIDE, usione mtu mpaka anakataa kusamehe maiti!Kuna mambo ya hovyo sana kwnye music industry ya Marekani na Hollywood kwa ujumla
Unafikiri ni nani walimuondoa MJ...!?Y
Yaani hili uweze kusalimika huko labda uwe mjinga mjinga tu ambaye hauna mafanikio, hauna hela Wala Influence yoyote kama Ray J au Cassidy.
Mimi naamin kilichomuokoa Michael Jackson ni kifo tu, angekuwa Bado yuko hai hata yeye siku nyingi sana angekuwa ameshaungana na R.kelly
Umeona mkuuKuna yule marehemu walimpa jina la jasiri muongoza njia, nyuma ya pazia kamuulize JIDE, usione mtu mpaka anakataa kusamehe maiti!
Hawa ni wahuni waliokuwa wanapiga mtungo, tuache kukimbilia kwenye Uafrika pale tunapotoa maboko.Nilisema... Mkakati maalumu wa kuipoteza black superiority
Ushasema watoto, hapo umri kama hoja niliyoijadili umezingatiwa.Card B ana kesi za kunyanyasa watoto wa kidogo wa kiume kijinsia na alishagafunguliwa mashtka siku nyingi sana na wazazi wa wale watoto...ila najua huwezi kuskia sababu yeye ni KE na hakuna pressure yoyote kutoka kwenye jamii inayomtaka awajibishwa.
Sahih. Ila masuala ya kubakana huwa yanaidhinishwa na mahusiano mabaya baada ya tukio.Hata akina Rihanna na Beyonce wamebakwa na Jay Z kwa sheria za Marekani.
Maana RiRi alianza kufanya kazi na Jay Z akiwa under 18 na ninaamini Carter alipita naye.
Beyonce ameingia kwenye uhusiano na Jay Z akiwa under 18
Sahih. Ila masuala ya kubakana huwa yanaidhinishwa na mahusiano mabaya baada ya tukio.
Mambo yakienda vizuri kila mmoja ajanufaika bila malalamiko wakafunika kombe unyama unakuaga mwingi sana kama sex zingine.
Lauren London na Nivea wanamsubiri Wayne afikishe 55yrs aje awa elezee wajukuu zake ilikuwaje hadi aka wazalisha kwa pamoja ndani ya mwaka mmojaMpaka waishe mafala hawa abaki Mwanangu T.I , Lil Wayne na 50 Cent black mwenye akili za kizungu.
Sijaelewa mkuu, imekaaje hiyoLauren London na Nivea wanamsubiri Wayne afikishe 55yrs aje awa elezee wajukuu zake ilikuwaje hadi aka wazalisha kwa pamoja ndani ya mwaka mmoja
Hii inatufundisha kuwaheshim Ex zetu.Yeah uko sahihi ni kama Diddy na Cassie baada ya mahusiano kuwa mabaya ndio mambo yakaanza kujulikana
Lauren na Nivea wamezaa na WayneSijaelewa mkuu, imekaaje hiyo
Kwani hapo shida iko wapi mkuu, Mimi nina Kaka zangu wawili tumezaliwa ndani ya week moja.Lauren na Nivea wamezaa na Wayne
Mimba zao zilipishana wiki kama sio mwezi yaani wiki hii ana jifungua Lauren wiki ijayo Nivea
Kwa style wanayo enda nayo huko kesi inaweza ibuka hapo kwa namna yoyote ileKwani hapo shida iko wapi mkuu, Mimi nina Kaka zangu wawili tumezaliwa ndani ya week moja.
Mwana ana mapua Beyonce anavumilia mengi🤣🤣🤣50 lazima aposti kuhusu hii ishu....Diddy alivyofunguliwa mashitaka tu alikuwa anasema Jay Z inabidi ajifiche mpaka ishu zitulie kama kejeli...sidhani kama wanaheshimiana kama unavyosema
View attachment 3172847