Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Jay-Z atuhumiwa kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 13 katika tukio la 2000 pamoja na Sean "Diddy" Combs

Y

Yaani hili uweze kusalimika huko labda uwe mjinga mjinga tu ambaye hauna mafanikio, hauna hela Wala Influence yoyote kama Ray J au Cassidy.

Mimi naamin kilichomuokoa Michael Jackson ni kifo tu, angekuwa Bado yuko hai hata yeye siku nyingi sana angekuwa ameshaungana na R.kelly
Unafikiri ni nani walimuondoa MJ...!?
HAOHAOO..
 
Card B ana kesi za kunyanyasa watoto wa kidogo wa kiume kijinsia na alishagafunguliwa mashtka siku nyingi sana na wazazi wa wale watoto...ila najua huwezi kuskia sababu yeye ni KE na hakuna pressure yoyote kutoka kwenye jamii inayomtaka awajibishwa.
Ushasema watoto, hapo umri kama hoja niliyoijadili umezingatiwa.
 
Hata akina Rihanna na Beyonce wamebakwa na Jay Z kwa sheria za Marekani.

Maana RiRi alianza kufanya kazi na Jay Z akiwa under 18 na ninaamini Carter alipita naye.

Beyonce ameingia kwenye uhusiano na Jay Z akiwa under
18
Sahih. Ila masuala ya kubakana huwa yanaidhinishwa na mahusiano mabaya baada ya tukio.
Mambo yakienda vizuri kila mmoja ajanufaika bila malalamiko wakafunika kombe unyama unakuaga mwingi sana kama sex zingine.
 
Sahih. Ila masuala ya kubakana huwa yanaidhinishwa na mahusiano mabaya baada ya tukio.
Mambo yakienda vizuri kila mmoja ajanufaika bila malalamiko wakafunika kombe unyama unakuaga mwingi sana kama sex zingine.
Yeah uko sahihi ni kama Diddy na Cassie baada ya mahusiano kuwa mabaya ndio mambo yakaanza kujulikana
 
Back
Top Bottom