mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,525
- 1,171
Unayoysema inawezekana yakawa ya ukweli. Lakini MMJ alipouliza huyu mtu ni nani ana habari gani zilimzomfanya amuulizie? MMJ inabidi arudi hapa atwambie. Hata hivyo, huyu mtu ananikumbusha ya "Mark Twist Kinyanjui" kwa wale waliokuwepo enzi zile!!!!
Tiba
Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.
Belmont...acha huyo tu, kuna waganda, makongo kibao wanaofanya kazi ya utapeli tu kwenye sekta ya madini..wanajiita generals, kanali, waasi kutoka kongo..kumbe matapeli wakubwa..mwaka jana walitutapeli fedha nyingi tu, wakakimbia zao kongo..lakini kibaya zaidi hawa jamaa huwa wakishatapeli hugawa fungu kwa polisi..ili wsikamatwe..wameharibu kabisa sekta yetu ya madini...na njia yao kubwa wanayotumia..ilikuishi hapa ni kuoa mabinti wa kitanzania na kuzaa nao ili kuhalalisha uwepo wao hapa nchini..nashangazwa na kusikitishwa sana na hali kama hii
Mzee Mwanakijiji Pamoja na heshima yote niliyonayo kwako, naskitika kuona unaleta thread iliyokaa kimajungu kama hii.
Kuna pia huyu jamaa anayeitwa JB kule Kigamboni ... ananunua viwanja na mashamba kwenye prime areas kule kwa kasi ya kutisha. Kama sijakosea kule wananchi wanamfahamu kama ni Mrundi na sio Mganda, sasa hii misconception sijui ni kama inafanywa na yeye purposely au wananchi wanashindwa kutofautisha sababu ya lafudhi yake. Anajenga sehemu nyingi pia kule gezaulole, na ni maarufu sana kwa vijana na mafundi ujenzi kule sababu ya kazi nyingi anazowapa ... pale Gezaulole ukimuuliza kijana yeyote kule kuhusu JB hatoshindwa kukupa stori zake na uwekezaji wake kule.
Naomba kufahamishwa, hivi sheria zetu za umiliki wa ardhi siku hizi zinaruhusu mtu asiye raia wa Tanzania kununua na kumiliki ardhi??
Hapa sasa tunakuja kwenye issue....na nadhani hapa ndo kuna basis ya maswali ya Mwanakijiji.....Watu wamekazania kujadili lifestyle ya mganda JB na kusahau bigger picture......Kwa navojua mmiliki wa awali kabisa wa hotel zooote zinazoitwa Paradise ni huyu msomali/wasomali......Nadhani jina la JB kama mmiliki wa Paradise limejitokeza baada ya yeye kuuziwa hiyo Paradise hapo Mkapa towers na huyu Msomali/wasomali......Nachofahamu tu ni kwamba huyu msomali mmiliki wa paradise amekua tz kwa deal hizi za hotel kwa muda mrefu na kwa chini chini anahusishwa na kula deal kubwa na watawala(waliopo/walopita)......Kwa wasiojua.....huyu msomali ndie aliyekuwa mmiliki wa ile hotel kali sana ya Paradise Bagamoyo hotel....which was one of the best hotels in TZ (nimeshahudhuria semina nyingi pale)....Kama mjuavyo hotel hii iliungua na kuteketea kwa moto totally....Baada ya kuungua..watu wa karibu(haswa wahudumu)..walikuja na tetesi kuwa ile ilikuwa planed arsenal (toka kwa wamiliki)...ili wapige hela za bima...kwani hotel ilikuwa na bima....sasa sijui kama hizi ni tetesi za kweli au vipi na kama jamaa alipiga hela ya bima au la...lakini word went around about that...Sasa leo naskia kamuuzia JB Paradise ya Mkapa towers!!!....something is very fishy here.........only time will tell....keep on probing Mwanakijiji.....Hiyo hoteli ilikuwa ya mzee mmoja wa kisomali mmiliki wa City Garden hoteli, pale posta
Namfahamu kama Mmiliki wa CHICKEN HUT (MLIMANI CITY) kuanzia mwaka 2008, katika mazungumzo yetu alikuwa akijifagilia kama yeye ana pesa na yupo karibu sana na familia ya kwanza Tanzania, akidai anajenga Beach Hotel Bagamoyo, Hotel/Restaurant nyingine pale Africana.
SIKUAMINI SANA KWANI NILIONA NI SOUND TU! Baada ya kufunguliwa kwa QUALITY CENTRE! YAMETIMIA! Ana Restaurant/Ukumbi wa Disco (Savannah) Maduka makubwa matatu achilia mbali JB BELMONT iliyopo BW. Mkapa Towers.
Ninachompendea yupo down to earth!
Mnaulizwa
JE ANAWEZA KUWA TATIZO TANZANIA?
Kumbe asili yake alikuwa Mjeda hapo kuna walakini!
Alafu mkuu wa nchi anapenda tumia watu ivi wakija mzika izo ela si ataja kufa kwa kihoro!
Maana kuna jamaa anasimamia miradi yake Uko Iringa!
Ivi hajui haya yote yatawekwa hadharani yeye akiondoka madarakani.
Labda aibadili ile sheria inayotaka viongozi wakuu baada ya kuitumikia nchi lazima wabaki nchini
Unajuwa ni kitu gani kilichosababisha mpaka huyu JB akakosana na M7?
Unajuwa ni kitu gani kilichosababisha mpaka huyu JB akakosana na M7?
Ujinga kama huu wako ndio janga halisi la kitaifa-watu kupenda uzushi au ku-conclude mambo bila hoja au ushahidi wowote!JB(ingawa simjui) ni janga la taifa kivipi?Halipi kodi?Yeye ndie anayefanya sisi tusifanye kazi na kuishia kuimba nyimbo za ufisadi na freemason?Kuna mtanzania amezuiliwa kufanya biashara Uganda?Tatizo letu ni elimu ya kukariri na kujibu mitihani ya darasani tu.Huu ndio utandawazi uliokariri darasani,watu wanazunguka dunia nzima kutafuta business opportunities.Acha JB afanye kazi huku sisi tukiendeleza porojo zetu za kuogopa kujiunga na EAC kwa sababu ya uvivu wetu.Unamwita JB malaya na kusahau kuwa kama ni umalaya si anaufanya na Watanzania wenzetu,kwa nini tusiwalaume hao watanzania wenzetu,let's deal with our own failures first.
Tusker Bariiiidi Neno MWEKEZAJI linaweza kuwa kichaka kibaya sana cha wahalifu!Naomba nitofautiane na wewe, huyu ni MWEKEZAJI!
Ametoa ajira lukuki kwa wa~Tanzania tofauti na hao Wafanyakazi wa kigeni WACHINA/WAHINDI/WAPAKISTAN etc. zaidi ya 10,000
wanaokaa na kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Wa-Tanzania!
Hapa sasa tunakuja kwenye issue....na nadhani hapa ndo kuna basis ya maswali ya Mwanakijiji.....Watu wamekazania kujadili lifestyle ya mganda JB na kusahau bigger picture......Kwa navojua mmiliki wa awali kabisa wa hotel zooote zinazoitwa Paradise ni huyu msomali/wasomali......Nadhani jina la JB kama mmiliki wa Paradise limejitokeza baada ya yeye kuuziwa hiyo Paradise hapo Mkapa towers na huyu Msomali/wasomali......Nachofahamu tu ni kwamba huyu msomali mmiliki wa paradise amekua tz kwa deal hizi za hotel kwa muda mrefu na kwa chini chini anahusishwa na kula deal kubwa na watawala(waliopo/walopita)......Kwa wasiojua.....huyu msomali ndie aliyekuwa mmiliki wa ile hotel kali sana ya Paradise Bagamoyo hotel....which was one of the best hotels in TZ (nimeshahudhuria semina nyingi pale)....Kama mjuavyo hotel hii iliungua na kuteketea kwa moto totally....Baada ya kuungua..watu wa karibu(haswa wahudumu)..walikuja na tetesi kuwa ile ilikuwa planed arsenal (toka kwa wamiliki)...ili wapige hela za bima...kwani hotel ilikuwa na bima....sasa sijui kama hizi ni tetesi za kweli au vipi na kama jamaa alipiga hela ya bima au la...lakini word went around about that...Sasa leo naskia kamuuzia JB Paradise ya Mkapa towers!!!....something is very fishy here.........only time will tell....keep on probing Mwanakijiji.....