Je, Aga Khan Sea View, ni kwa wahindi, wabunge, mawaziri na viongozi wa juu wa Serikali tu?

Unao uhakika, inakuaje naweza kutibiwa kwenye hospitali za Aga Khan walizofungua uswazi ambazo wao wenyewe hawatii mguu huko, yaani huko wametenga wafanyakazi waswahili tu.
Ukitaka kumbagua mtu unaweza ukatengeneza vikwazo ambavyo vipofu kama wewe hawawezi kuvitambua, mimi binafsi nilikuwa natibiwa hapo Sea View na ubaguzi kati ya wafanyakazi wahindi na waswahili nilikuwa ninauona, pia na kwenye kuhudumiwa.
 
Sawa, je na viwango vya madakitari wa Sea View na uswazi vikoje tukiacha bima.
 
Mnao tetea ubaguzi huu wa tiba naomba mfafanue pia kuhusu hizo hospitali za Aga Khan zilizotengwa uswazi na wafanyakazi wa kiswazi tu, je, wanauhusiano wowote na viwango vya malipo ya huduma? Kwanini wahindi hawahudumu kwenye hospitali hizi?
 
Mhindi akifariki waswahili hujaa nyumbani kwake japi wenye nyumba hawapendi, mswahili akifariki hautamuona mhindi hata mmoja.
 
Kila kitu mpunga wako tu mkuu, Hujabaguliwa ila hujakidhi vigezo.
 
Mnao tetea ubaguzi huu wa tiba naomba mfafanue pia kuhusu hizo hospitali za Aga Khan zilizotengwa uswazi na wafanyakazi wa kiswazi tu, je, wanauhusiano wowote na viwango vya malipo ya huduma? Kwanini wahindi hawahudumu kwenye hospitali hizi?
Nakupa mfano kaka, Ukila chakula cha uswazi 1500, Chakula kilekile utakula kwa 5000 Masaki... Pengine yawezekana mmiliki wa migahawa hii akawa mmoja ila kinachoangaliwa ni brand/hadhi ya eneo husika.
 
Good observation.Na hicho chakula cha 5000,kinakua na quality nzuri pia.
Nakupa mfano kaka, Ukila chakula cha uswazi 1500, Chakula kilekile utakula kwa 5000 Masaki... Pengine yawezekana mmiliki wa migahawa hii akawa mmoja ila kinachoangaliwa ni brand/hadhi ya eneo husika.
 
Mkuu vipimo ni gharama kubwa sn, siyo kwamba alikuwa hataki kufanya checkup isipokuwa ni urasimu wa wizara ya afya ndiyo tatizo
Ulichoandika ni kweli.Nilielezwa alikua akilalamika kua anaumwa,lakini ndo hivyo anajikazakaza,anatumia dawa anatuliza maumivu,kumbe ndani anaisha,umaskini ni mbaya sana,mwishowe ndo hivyo.May her soul R.I.P
 
Ulichoandika ni kweli.Nilielezwa alikua akilalamika kua anaumwa,lakini ndo hivyo anajikazakaza,anatumia dawa anatuliza maumivu,kumbe ndani anaisha,umaskini ni mbaya sana,mwishowe ndo hivyo.May her soul R.I.P
Kuna dada yupo twitter anahitaji 90M kwenda India arudi normal leo mwaka wa 12 yupo kitandani maza yupo busy na kununua magoli ya Simba
 
Hayo ni matokeo ya kuiharibu hospitali iliyoandakiwa Kwa ajili ya kundi hiLo MUHIMBILI MLONGAZILA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…