Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
- #61
Unao uhakika, inakuaje naweza kutibiwa kwenye hospitali za Aga Khan walizofungua uswazi ambazo wao wenyewe hawatii mguu huko, yaani huko wametenga wafanyakazi waswahili tu.P
Pesa yako ndiyo inaamua utibiwe wapi uishi wapi, mwanao asome shule gani, utembee na mwanamke gani. Hospitali ya Agha Khan haimbagui mtu kutibiwa pale. Hiyo bima yako haina sifa ya kukubalika pale lakini ziko bima zingine zinakubalika kwa sababu ya package ya hizo bima. Bima uliyonayo gharama inazolipa ni za chini kuliko viwango vinavyochajiwa na hiyo hospitali.
Acha kuingiza siasa kila mahali.
Ukitaka kumbagua mtu unaweza ukatengeneza vikwazo ambavyo vipofu kama wewe hawawezi kuvitambua, mimi binafsi nilikuwa natibiwa hapo Sea View na ubaguzi kati ya wafanyakazi wahindi na waswahili nilikuwa ninauona, pia na kwenye kuhudumiwa.