Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Kabla ya Muhammad kulikuwepo na Issa ,kwa nini asifuate tamaduni za Issa akaenda kufuata tamaduni za Ibarahimu mtu wa zamani sana.
Kukujibu hili boss, kama wewe ni Mkristo, Hebu acha kufuata ulichozoea na badala yake Soma Biblia na mfuate Yesu.

1. Fuga ndevu kama yesu
2. Vaa kanzu fupi kama Yesu
3. Vaa makubazi kama Yesu
4. Swali kama Yesu kwa kufunga mikono na kusujudu

Wakati ukifanya yote hayo watu wakuangalie, je watasema wewe unafuata mafundisho ya nani? Wengi watasema wewe ni muisilamu.

Mitume wote walileta message moja tu, ukifuata mafundisho yao kwa asilimia kubwa utajikuta unafuata mafundisho ya Kiislamu. Leo hii wakristo na waisilamu wanatofautiana sababu kubwa ni wakristo kuacha mafundisho ya Biblia na kufuata maneno ambayo hayapo kwenye Biblia.

Huyu mchungaji akionesha namna wakristo wa zamani walivyo kuwa wakiswali, wayahudi na Waisilamu nao wanaswali almost hivyo hivyo.


So mtume ama waisilamu kufuata mafundisho ya Ibrahim ni sawa na kufuata ya Yesu ni sawa na kufuata ya Musa etc mitume wote walikuja na msg moja ndio maana pia hizi dini zinaitwa Abrahamic.
 
Muhammad siyo.mtume wa mungu anaye bisha anyoshe kidole juu nimshushie nondo ...mimi siyo shabiki wa ukristo wala uislamu hivyo ninapo sema kitu kuhusu dini ninskuwa ki logic zaidi
S a w alikua mtume tena ndio wa mwisho qur an imesema hivyo na huu ukweli hautabadilika kua s a w ni mtume wa Allah
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni
SWALI LA MSINGI

Ili Uwe Muislam unapaswa kushuhudia kuwa yupo Mungu mmoja tu ambaye ni Allah na Muhammad ndiye Mtume wake wa mwisho....

Sasa hayo yote Muhammad alishuhudia kwa nani? Na alishudia kuwa yupi ndiye Mtume pekee wa Mwenyezi Mungu ilihali hakuwepo?
 
Sio tu Muhammad hakuwa Muislam hadi alipofikisha miaka 4o.ukweli ni kwamba Muhammad maisha yake yote hakuwa Muislam hadi anakufa.
Allah alimwambia yeye awe wa kwanza katika kuslimu jamaa akapiga kimya,badala yake akamsilimisha mke wake.
Mke ndiye akawa Muislam wa kwanza,Muhammad hadi anakufa hakuwai slim kama Allah alivyomuamru.
Uenda jamaa alijua uislam ni changa la macho,akachomoa kuslim.
Kuna tatizo kubwa ndani ya utume wa muhammad...sema mashabiki wa dini ni ngumu kugundua
 
S a w alikua mtume tena ndio wa mwisho qur an imesema hivyo na huu ukweli hautabadilika kua s a w ni mtume wa Allah
Nikikupiga swali utanijibu? FaizaFoxy ukuje kuna mtu amejitolea kunipa ilimuu huku anataka kunijibu maswali yangu nitakayo muuliza ili na mimi niwe muislamu maana najua wewe FaizaFoxy huwa unanikimbia sasa kaja kidume kunipa majibu na subiri ruhusa tu ya kuuliza maswali
 
Na Nani atajitenga na Mila ya Ibrahim isipokuwa anayeitia nafsi yake katika upumbavu? Na kwa yakini sisi tulimteuwa yeye katika dunia; na hakika yeye akhera atakuwa miongoni mwa watu wema.
Qur'an 2:130

Na Mola wake mlezi alipo mwambia : Silimu, Nyenyekea! Alinena: Nimesilimu,nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote. Qur'an 2:131

Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii,basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu,wanyenyekevu. Qur'an 2:132

Je; Mlikuwepo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: mtamuabudu Nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu mmoja tu,na sisi tunasilimu kwake. Qur'an 2:133.
Hivyo hoja yako ya Muhammad kuwa muislamu wa Kwanza kwa mujibu wa hizo Aya haina mashiko.

Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipoinyanyua misingi ya Ile nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika wewe ndiye msikizi Mjuzi. Qur'an 2:127

Ewe Mola Mlezi wetu! Tujaalie tuwe ni wenye kusilimu kwako,na pia miongoni mwa vizazi vyetu wawe umma ulio Silimu kwako. Na utuonyeshe njia za Ibada yetu na utusamehe. Bila Shaka wewe ndiye mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Qur'an 2:128


Enyi watu muabuduni Mola wenu Mlezi aliyekuumbeni nyingi na wale wa kabla yenu ili mpate kuokoka. Qur'an 2:21

(Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko,na mbingu kama paa,na akateremsha maji kutoka mbinguni,na kwayo akatoa matunda yawe riziki zenu. Basi msimfanyizie Mwenyezi Mungu washirika,na hali nyinyi mnajua. Qur'an 2:22

Na ikiwa man Shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni Sura moja ya mfano wake,na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu ikiwa manasema kweli. Qur'an 2:23


Na mkitofanya na wala hamtofanya kamwe. Basi uogopeni Moto ambao kuni zake ni watu na mawe walioandaliwa hao wanao kanusha.
Heheheee asipo elewa hapa hata kaa aelewe tena ila qur an imenyooka wallah niwewe mwenyewe tu uchague kushukuru ama kukufuru
 
Sio tu Muhammad hakuwa Muislam hadi alipofikisha miaka 4o.ukweli ni kwamba Muhammad maisha yake yote hakuwa Muislam hadi anakufa.
Allah alimwambia yeye awe wa kwanza katika kuslimu jamaa akapiga kimya,badala yake akamsilimisha mke wake.
Mke ndiye akawa Muislam wa kwanza,Muhammad hadi anakufa hakuwai slim kama Allah alivyomuamru.
Uenda jamaa alijua uislam ni changa la macho,akachomoa kuslim.
Tafadhari naomba andiko litakalotetea hoja hii, nami nijifunze kitu kupitia maelezo Yako mkuu.
 
umeshasema kabla ya kuja kwa Yesu..mimi nazungumzia baada ya kuja kwa Yesu,iweje ampuuzie Yesu ambaye alikuja kuutangaza uislamu akabaki na utaratibu wa Ibrahimu ambaye alikuwa mtume wa kale sana?
Mitume wote kuanzia nabii Adam as mpaka Muhammad s a w walikuja na lengo moja kama alimfata Ibrahim basi ujue alimfata mussa issa ishaqa ilyasaai yaaqub nuh lutw nk
 
Ili Uwe Muislam unapaswa kushuhudia kuwa yupo Mungu mmoja tu ambaye ni Allah na Muhammad ndiye Mtume wake wa mwisho....

Sasa hayo yote Muhammad alishuhudia kwa nani? Na alishudia kuwa yupi ndiye Mtume pekee wa Mwenyezi Mungu ilihali hakuwepo?
Hem eka swali vyema kidogo
 
Allah ni neno la kiarabu likimaanisha mungu, hiyo ni sawa na kuuliza mungu alikuwapi kipindi watu hawaongei kiswahili, Mungu aliyemtuma Muhamad ndiye aliyemtuma ibrahim, Musa, Yesu na Yakobo na mitume wengine. Quran kufanana na vitabu vingine ni sawa sababu aliyevileta kwa binadamu ni mmoja. Na kuhusu Mungu kuruhusu vitabu vyengine kuchakachuliwa ni miongoni mwa mipango yake ili alete kitabu cha mwisho kwa viumbe wa mwisho . Na kama vile watu wa zamani wakifanya makosa wanapigwa tukio hapo hapo ila sisi kizazi cha mwisho tumeachwa
Mkuu, umejibu vizuri hakika.
 
Wao wanadai hata Yesu alikuwa muislamu. Ukiwaambia mbona yesu alikuwa havui malapa anapoenda hekeluni wanaanza braah braah kibao na ukali juu
Hata nabii mussa nae pia alikua muislam kama sijakosea alivyo kua anaenda kwenye mlima turi kama sijakosea alikua anavaa viatu mpaka Allah alipo mwambie avue viatu kwani yupo mahala patakatifu
 
umeshasema kabla ya kuja kwa Yesu..mimi nazungumzia baada ya kuja kwa Yesu,iweje ampuuzie Yesu ambaye alikuja kuutangaza uislamu akabaki na utaratibu wa Ibrahimu ambaye alikuwa mtume wa kale sana?
Nishasema hili kwamba kabla ya kuja kwa muhamad mafundisho ya Yesu/ Issa hayakufika sehemu nyingi hivyo watu wa eneo la al jazeera walifuata mafundisho ya ibrahimu, pia mainly Issa/ Yesu alitumwa hasa kwa watu wa makabira ya wa israel, kama vile wa israel kufuata sana mafundisho ya Musa haimanishi haku kuwa na mitume sehemu nyingine ila mafundisho ya mitume wengine hayakufika huko, kabla ya kuja kwa Muhamad mitume walikuwa wanatumwa kwenye sehemu flani kwa watu wake, kama vile kina Mariam, yohana kwa nini hawakufata mafundisho ya Suleimani, huenda mafundisho yake hayakufika huko
 
Mtume muhamad alishuhudia kwa nani? Au kwa namna nyingine, Muhammad alitoa Shahada yake kwa nani?
Shahada ni Ile Ile boss sababu s a w alikua anasali na ili sala ikubalike ama itimie lazima kuwe na shahada na shahada ni Ile Ile nashuhudia kua Allah ni mmoja na Hakika Muhammad ni mtume wake
 
Leta swali kwa uwezo wa Allah nitakujibu kama sitakua msikitini leo ijumaa ila angalizo usije ukafa kabla hujasilimu
Sawa,...Refa nimemteua muislam mwenzio FaizaFoxy nimemchagua huyo maana sipendi kupendelewa swali lenyewe lipo kilogic hivyo litakuja kwa mtiririko usishangae ...swali la kwanza
1)issa bin maliam ni mtume au ni mungu
2)muhammad ni mtume au ni mungu.
3)mtume wa mwisho kuja duniani ni nani?
4)je issa yupo hai au amekufa
5)je kila nafsi itaonja mauti au la?

Haya maswali usije ukaja kichwa kichwa wameshindwa kunijibu mashehe 6 kwa pamoja ..kwa hiyo nimekutadhalisha mapema ..usije ukayaona ya kitoto maana majibu utakayo jibu ndiyo yatakayo kuchapa viboko mwenyewe..yajibu kwa namba kama nilivyo uliza..kisha nitakuja tena
 
Shahada ni Ile Ile boss sababu s a w alikua anasali na ili sala ikubalike ama itimie lazima kuwe na shahada na shahada ni Ile Ile nashuhudia kua Allah ni mmoja na Hakika Muhammad ni mtume wake
Mtume Muhammad alishuhudia kuwa Mtume yupi ndiye ambaye ni mmoja tu aliyetumwa na Allah?
 
Sawa je Allah ayezungumziwa kwenye Biblia na huyu aliyezunguzmiwa kwenye quran ni sawa? na kama ni sawa kwa nini Biblia izungumzie kusulubiwa kwa Yesu halafu Allah wa quran aje kukataa?
WAislamu na jews wanaamini mungu ni mmoja na kaleta mitume kama musa na yesu
Huku wakristo wakiamini huyu mtume wa mungu yesu wakaamua kumfanya mungu , na wakristo wakatengeneza kitabu chao ambacho ni agano jipya ambacho kinapingana na mafundisho yote ya mungu yakiwemo ya musa na muhammad
 
Tafadhari naomba andiko litakalotetea hoja hii, nami nijifunze kitu kupitia maelezo Yako mkuu.
Nina andiko Muhammad aliamriwa awe muislam wa kwanza kuslimu.
ila sina/hakuna andiko Muhammad alitii amri hiyo badala yake akamslimisha mke wake.
Muhammad hadi anakufa hakuslim,yeye alikuwa anaslimisha wengine tu,yete hapana.
 
Back
Top Bottom