Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni
Swali lako lipi? Maana naona unajijibu mwenyewe upendavyo.
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni

Allah hayupo tu. Kabla ya Quran. Baada ya Quran. Hayupo.

Allah ni muhusika katika hadithi ya kutungwa na watu, nje ya hiyo hadithi hayupo.
 
Jibu maswali mzee nitakuelewa vizuri ,ukiniambia kuhusu kusoma biblia ya kiarabu utanifanya niamini tu kuwa Allah ni neno la kiarabu ila sio jina la Mungu..yaani ni sawa uniambie ushawahi kusoma biblia ya kizungu ambayo yesu anaitwa JESUS.
Na kikwao anaitwaje?
 
Sawa,...Refa nimemteua muislam mwenzio FaizaFoxy nimemchagua huyo maana sipendi kupendelewa swali lenyewe lipo kilogic hivyo litakuja kwa mtililiko usishangae ...swali la kwanza
1)issa bin maliam ni mtume au ni mungu
2)muhammad ni mtume au ni mungu.
3)mtume wa mwisho kuja duniani ni nani?
4)je issa yupo hai au amekufa
5)je kila nafsi itaonja mauti au la?

Haya maswali usije ukaja kichwa kichwa wameshindwa kunijibu mashehe 6 kwa pamoja ..kwa hiyo nimekutadhalisha mapema ..usije ukayaona ya kitoto maana majibu utakayo jibu ndiyo yatakayo kuchapa viboko mwenyewe..yajibu kwa namba kama nilivyo uliza..kisha nitakuja tena
= mtiririko.
 
Hata nabii mussa nae pia alikua muislam kama sijakosea alivyo kua anaenda kwenye mlima turi kama sijakosea alikua anavaa viatu mpaka Allah alipo mwambie avue viatu kwani yupo mahala patakatifu
Huelewi kitu mkuu. Musa aliambiwa vua viatu vyako hapo alikuwa katika mlima Sinai baada ya kuvua alivipeleka wapi hicho kiatu?
 
Mtu anaeleta hoja ya kwamba Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammed yuko sahihi na anaeleta hoja ya kwamba Uislam haukuwepo kabla ya Muhammad yuko sahihi pia.

Kwa maana kila jambo linalotokea duniani lilishapangwa tangu siku mwanadamu alipoumbwa ila utofauti wa lipi lianze na lipi lifuate ni kutokana na mahitaji ya ulimwengu Kwa nyakati hizo.

Kwahiyo dini ziliumbwa pale tu mwanadamu alipoumbwa ila zilizaliwa ndani ya Mtu ambae aliwekewa hatima ya namna hiyo ndani yake.

Kwahiyo Uislam ulikuwepo tangu ile siku Mungu anamuumba mwanadamu Kwa mfano wake ila ulizaliwa ile siku Muhammed anazaliwa na ukaanza kuletwa Kwa jamii baada ya miaka 40 ya Muhammad kuishi duniani.

Na uwepo wa kabla ya Muhammed ambao nauzungumzia hapo ni wakiroho ila ule wa matendo ulianza baada ya mteule wa kuleta jambo hilo jipya Kwa nyakati ambazo zilionwa ni sahihi jambo hilo kuletwa duniani kuzaliwa na kuanza kuyatenda yale yaliyomo ndani yake.

Kwahiyo Mtu yeyote ambae anakwambia kwamba Uislam ulikuwepo kimatendo kabla ya Muhammad ujue ni muongo Kwa maana Muhammad ndio mteule ambae aliletwa kwenye huu ulimwengu kuja kuuanzisha huo Uislam.

Na hii sio tu kwenye Uislam ila ni kwenye kila kitu ambacho hakikuumbwa ndani ya siku zile tano za uumbaji kabla mwanadamu hajaumbwa Kwa mfano wa Mungu mwenyewe.

NB:
Yapo matendo ya kitamaduni ambayo yapo ndani ya tamaduni za kiislam hivi leo na matendo hayo yalikuwepo tangu kale hata kabla ya mbeba maono ya Uislam hajazaliwa na hii ni kutokana na kwamba hii dini ilitengenezwa kwaajiri ya wanadamu Kwahiyo hata baadhi ya tamaduni zake zilijengwa juu ya tamaduni zote nzuri ambazo zinakubalika Kwa jamii ili kuleta urahisi na usawa wa walaji wake na hii haimaanishi kwamba kwakua matendo hayo yalikuwepo kabla ya uwepo wa huu utamaduni basi inamaanisha utamaduni ulikuwepo tangu kale.
 
Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?
Kwa mujibu wa historia na ushahidi mwingi wa kimaandishi, mtume Muhammad, Allah na dini yao ni mpango wa Vatican (Roman Catholic), ambao kimsingi ndiyo waasisi wake halisi kwa malengo maalum...
 
Kwa mujibu wa historia na ushahidi mwingi wa kimaandishi, mtume Muhammad, Allah na dini yao ni mpango wa Vatican (Roman Catholic), ambao kimsingi ndiyo waasisi wake halisi kwa malengo maalum...
Kwahiyo Vatican ndo waliandika Qur'an?
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni
Unapoteza muda na gDni za kukopy edit and paste
 
Back
Top Bottom