Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hii Mada mgemsikiliza
DK Mambo Jambo, ingeisha isha.
DK Mambo Jambo, ingeisha isha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali lako lipi? Maana naona unajijibu mwenyewe upendavyo.Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.
Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.
Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.
Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?
Karibuni
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.
Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.
Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.
Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?
Karibuni
Ni hoja au maswali anayojijibu mwenyewe?Una hoja nzito, usikilizwe na kujibiwa pasipo vihoja.
Mimi nnauhakika hajaisoma ya Kiarabu wala Kiswahili wala Kingereza.Hana hoja hapo muulize swali dogo tu je alishawahi kuisoma bibilia ya kiarabu.
Na kikwao anaitwaje?Jibu maswali mzee nitakuelewa vizuri ,ukiniambia kuhusu kusoma biblia ya kiarabu utanifanya niamini tu kuwa Allah ni neno la kiarabu ila sio jina la Mungu..yaani ni sawa uniambie ushawahi kusoma biblia ya kizungu ambayo yesu anaitwa JESUS.
= mtiririko.Sawa,...Refa nimemteua muislam mwenzio FaizaFoxy nimemchagua huyo maana sipendi kupendelewa swali lenyewe lipo kilogic hivyo litakuja kwa mtililiko usishangae ...swali la kwanza
1)issa bin maliam ni mtume au ni mungu
2)muhammad ni mtume au ni mungu.
3)mtume wa mwisho kuja duniani ni nani?
4)je issa yupo hai au amekufa
5)je kila nafsi itaonja mauti au la?
Haya maswali usije ukaja kichwa kichwa wameshindwa kunijibu mashehe 6 kwa pamoja ..kwa hiyo nimekutadhalisha mapema ..usije ukayaona ya kitoto maana majibu utakayo jibu ndiyo yatakayo kuchapa viboko mwenyewe..yajibu kwa namba kama nilivyo uliza..kisha nitakuja tena
Vizuri sana (vizuri)ngoja nikaweke sawa ila mwambie huyo bwana asikimbie maana swali atsliunda yeye mwenyewe kutokana na majibu yake= mtiririko.
Huelewi kitu mkuu. Musa aliambiwa vua viatu vyako hapo alikuwa katika mlima Sinai baada ya kuvua alivipeleka wapi hicho kiatu?Hata nabii mussa nae pia alikua muislam kama sijakosea alivyo kua anaenda kwenye mlima turi kama sijakosea alikua anavaa viatu mpaka Allah alipo mwambie avue viatu kwani yupo mahala patakatifu
Hana hoja hapo muulize swali dogo tu je alishawahi kuisoma bibilia ya kiarabu.
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.
?
Karibuni
Kwa mujibu wa historia na ushahidi mwingi wa kimaandishi, mtume Muhammad, Allah na dini yao ni mpango wa Vatican (Roman Catholic), ambao kimsingi ndiyo waasisi wake halisi kwa malengo maalum...Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?
Aliyekwambia uislam ni kuvua malapa nani?Wao wanadai hata Yesu alikuwa muislamu. Ukiwaambia mbona yesu alikuwa havui malapa anapoenda hekeluni wanaanza braah braah kibao na ukali juu
Kwahiyo Vatican ndo waliandika Qur'an?Kwa mujibu wa historia na ushahidi mwingi wa kimaandishi, mtume Muhammad, Allah na dini yao ni mpango wa Vatican (Roman Catholic), ambao kimsingi ndiyo waasisi wake halisi kwa malengo maalum...
Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu
UTANGULIZI Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema “wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani...www.jamiiforums.com
Rafiki,huyo mwamba alitumwa na Mamlaka ya upande wapili.Kuna tatizo kubwa ndani ya utume wa muhammad...sema mashabiki wa dini ni ngumu kugundua
Unapoteza muda na gDni za kukopy edit and pasteWataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.
Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.
Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.
Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?
Karibuni
Una aYa inenaYo haya??1. Allah hakuwepo.
2. Qur an haikushuka iliandikwa na marafiki wa msela mmoja hivi ambaye kwasasa ni marehemu anaitwa Muhammad (yeye hakujua kusoma wala kuandika)
Sasa aliyekwambia kuvua malapa ukienda hekaluni ndio dalili ya uislam Nani?Wao wanadai hata Yesu alikuwa muislamu. Ukiwaambia mbona yesu alikuwa havui malapa anapoenda hekeluni wanaanza braah braah kibao na ukali juu