Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimejibu yote kasoro la kufa kwa nabii issa tuMbona ujajibu yale maswali mepesi niliyo kupa ni matano yajibu kwa namba
1)......
2)......
3)......
4).......
5).......
Nataka refa FaizaFoxy na wasomaji waelewe hatua kwa hatua
Nilitaka unijibu kwa mpangilio kama yalivyo mfano swali laMbona nimejibu yote kasoro la kufa kwa nabii issa tu
Hapana hayo makisio ni koment nyengine ila Kuna koment huko juu nilikujibu labda tu useme sikueka namba kama ulivyo fanya wewe ndio tofautiNilitaka unijibu kwa mpangilio kama yalivyo mfano swali la
1) jibu ni Issa siyo Mungu bali ni mtume wa mwenyezi mungu .
2)jibu Muhammad siyo mungu bali naye ni mtume wa mwenyezi Mungu..
Nilitaka ujibu kwa mtiririko ili wasomaji waelewe ...sasa wewe umeanza kujibu kwa kujishitukia na kutengeneza makisiyo yasiyo kuwa kwenye swali
Lwiva au hukuiona hii ndugu yangu nilipo kujibu huko juuMbona maswali haya mepesi sana mzeee issa ni mtume na Muhammad ni mtume mtume wa mwisho ni Muhammad s a w na issa kua hai ama kufa sina elimu nalo ila kwa hakika kila nafsi itaonja umauti
Hapa ulitaka kupotosha nabii mussa alikua kwenye bonde latua alipoambiwa avue viatuHuelewi kitu mkuu. Musa aliambiwa vua viatu vyako hapo alikuwa katika mlima Sinai baada ya kuvua alivipeleka wapi hicho kiatu?
Sasa kama swali moja kati ya hayo mepesi yamekushinda vp niendelee kukuuliza 🙄 ngoja tumwite Refa labda yeye ataokoa jahazi kuhusu swali la issa kufa au la FaizaFoxy njoo kuokoa jahaziMbona maswali haya mepesi sana mzeee issa ni mtume na Muhammad ni mtume mtume wa mwisho ni Muhammad s a w na issa kua hai ama kufa sina elimu nalo ila kwa hakika kila nafsi itaonja umauti
Uliza maswali kijana unadhani kuna anaejua kila kitu au itakua majibu ya maswali uloyataka nimeshakupa ukitoa hilo la issaSasa kama swali moja kati ya hayo mepesi yamekushinda vp niendelee kukuuliza 🙄 ngoja tumwite Refa labda yeye ataokoa jahazi kuhusu swali la issa kufa au la FaizaFoxy njoo kuokoa jahazi
Ukifa na hio itikadi motoni milele aminaAllah hajawahi kuwepo na hayupo.
Mbona maswali haya mepesi sana mzeee issa ni mtume na Muhammad ni mtume mtume wa mwisho ni Muhammad s a w na issa kua hai ama kufa sina elimu nalo ila kwa hakika kila nafsi itaonja umauti
Na kuhusu hayo maswali kuwa mepesi unayo sema mepesi ndiyo hayo hayo yaliwafanya mashekh kunyosha mikono juu...hadi shekh mmoja kutaka kukanusha kauli yake mwenyewe ya kuwa "issa ni mtume " ambayo kama ilivyo wewe umekili kuwa ni mtume yeye baada ya kuona swali gumu akataka kusema ni mja wa mwenyezi mungu ila siyo miongoni mwa mitume, ila mashekh wenzake wakamwambia wakubali tu kuwa,swali limewashinda kuliko.kuanza kukanusha utume wa issa😁😁😁Uliza maswali kijana unadhani kuna anaejua kila kitu au itakua majibu ya maswali uloyataka nimeshakupa ukitoa hilo la issa
Teh teh 😃 😃 😃 noma sanaHaya si ndiyo yale mambo yetu yasiyokuwa faida?
Ulipenda kupata tarehe zikusaidie nini?
We jamaa unamaandiko yanayothibitisha hili ?Sio tu Muhammad hakuwa Muislam hadi alipofikisha miaka 4o.ukweli ni kwamba Muhammad maisha yake yote hakuwa Muislam hadi anakufa.
Allah alimwambia yeye awe wa kwanza katika kuslimu jamaa akapiga kimya,badala yake akamsilimisha mke wake.
Mke ndiye akawa Muislam wa kwanza,Muhammad hadi anakufa hakuwai slim kama Allah alivyomuamru.
Uenda jamaa alijua uislam ni changa la macho,akachomoa kuslim.
Kazi ya refa ni ipi ...wewe toa jibu kwani hapa hakuna mashekh au na nyinyi mnaenda msikitini kama makondoo ..ndiyo maana nilichagua refa wa dini yake ...na ndiyo maana niliwaambia wale mashekh wawe 6 kila mmoja nitampa swali moja hakuna aliye weza kunijibu tena bila ya ubishiMbona kakujibu vizuri tu, hajui. Unataka aseme uongo?
Duh umeua naona shura ya maimam wa JF wamekula konaMtume Muhammad amezaliwa mwaka 570AD Ukristo ulishakuwepo miaka 500 ambazo ni karne 5 ndipo Mtume Muhammad akazaliwa. Quran ilishushwa na Jibril aliyekuwa anampinga Kristo. Quran ilikuja kupingana na Biblia. Fibrillation alimwambia Muhammad " Sema hakuna Mungu ila Allah " naye akatamka hivyo. Kwahiyo Mungu huyu tunayemfuata sisi Wakristo ni tofauti na Allah wa Waislamu kwasababu Wakristo wana Amri 10 ambazo Musa alipewa na Mungu lakini huku kwa Allah hakuna hiyo kitu.
Katika Ukristo kuna Samehe 7x70 huku kwa Allah kuna Jino kwa Jino.
Katika Ukristo kuna Mke mmoja Mume mmoja lakini huku kwa Allah Oa hadi wanne.
Kwenye Ukristo hakuna Talaka lakini huko kwa Allah kuna Talaka hadi Tatu.
Hebu jiulize kama Mtume Muhammad alikuwa muhimu kiasi hicho huyu angejaa kwenye hiyo Quran lakini kaandikwa mara Nne tu. Wakati huo huo Bikira Maria ndani ya Quran ameandikwa mara 15. Anapokuja kujichanganya zaidi ni pale alipomuoa mtoto wa miaka 9 Bi Aisha. Mungu wetu sisi Wakristo hajaruhusu hayo isipokuwa Allah wao. Yesu Kristo wa Nazaret alijua kusoma na kuandika lakini Mtume Muhammad alikuwa maamuma yaani hakujua kusoma wala kuandika. Musa alijua kusoma na ndiyo maana alipopewa zile Amri 10 aliambiwa nenda ukawasomee hizi ndizo amri ninazowapa. Sasa huyu mnayesema ni wa mwisho katika Mitume awe hajui kusoma atatafsiri vipi hiyo Quran? Shame on him.
ACHA zako bro!!...baba yake Muhammad alikuwa mpagani na walikuwa wanaabudu miungu mwingine tu hapo arabuni mixer kuuana na mpk Leo mkienda kuhijj Kuna kibox mnakizungukaga embu katafute historia ya vilivyomo mule ndani kama siyo hiyo ya hao wapagani wa hapo arabuniMpagani ni anaye abudu miungu wengi yey Alikuwa Ana amini mafundisho ya Ibrahimu na kufuata tamaduni za Ibrahimu.
Refa kazi yake kuwa neutral.Kazi ya refa ni ipi ...wewe toa jibu kwani hapa hakuna mashekh au na nyinyi mnaenda msikitini kama makondoo ..ndiyo maana nilichagua refa wa dini yake ...na ndiyo maana niliwaambia wale mashekh wawe 6 kila mmoja nitampa swali moja hakuna aliye weza kuninibu tena bila ya ubishi