Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Hayo ni mawazo ya shabiki wa dini ..kila anaye fanya dini ushabiki huona dini yake ni kamili.Achana na shehe uliza majibu yako acha kuruka ruka kijana kwenye maswali manne moja nimekwambia silijui mengine nimekujibu umekosea kabisa hoja ujue kama uislamu umekamilika kijana