Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

Allah hajawai kuwepo kabla ya Muhammad the same way kwa uislam haujawai kuwepo kabla ya Muhammad.

Kama dunia ina maelfu ya miaka na jamii nyingi za watu, je huyo Allah kwanini alijitokeza baadae sana na kwa waarabu pekee na wakati huo kulikuwapo wazungu, watu weusi, wahindu, wachina n.k je huko Allah hakuwa na uwezo wa kueneza injili yake?

Na je kwanini kitabu chake na injili yake imebase kwa lugha moja tu ambayo haina miaka mingi hapa duniani na hata si lugha kuu ya mawasiliano dunian? Je huyo Allah hatambui lugha zingine? Na je hakujua kuwa kuna mataifa mengine?

Mnaosema uislam ulikuwepo tangu kipindi cha akina adamu, na akina musa&ibrahimu, je hawa watu walimuabudu Allah? au Mungu wao wa kiyahudi kwa majina ya tamaduni zao? Yaani ibrahimu aliyemuabudu Yehova leo mseme alikuwa muislam, wakat huo Yehova kwa uislam si Jina La Mungu na wala majina yote ya Mungu aliyeabudiwa na akina ibrahimu, Musa, yakobo yanajulikana na yanafuata tamaduni zao za uyahudi, je huyo Allah alitokea wapi?

Pili kwa mujibu wa hawa waislam wanadai kuwa uarabu umetoka ktk uzao wa ishmael, yaani mtoto aliyezaliwa kutoka kwa myahudi(white man) na mmisri(black woman) then how come mtoto apatikane chotara? Yaan muarabu apatikane baina ya uzao wa mtu mweupe na mweusi inawezekanaje maana kiuhalisia mtoto alitakiwa kuwa Afro-Asian ambaye si muarabu ?, hapa bado kunaleta ukakasi wa historia ya hawa makanjanja wanaosema uislam umetoka kwa akina ibrahimu,

Ukweli uko wazi uislam umeundwa na wajanja kama ukristo na takataka zingine za kidini zilivyoundwa, hakuna dini wala kitabu kilichoshushwa, bali ni mapokeo ya wajanja yalitungwa kwa kucopy stories za jamii za watu wa kale na kuunda mifumo mipya ya kuwatawala watu kwa kuwaaminisha mifumo hiyo ina upekee na ni lazima kuifuata, usipofuata utaadhibiwa na Viumbe wasioonekana wanaoitwa Miungu na majina mengine ya uongo.

Dini zote ni michongo.
 
Mtu anaeleta hoja ya kwamba Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammed yuko sahihi na anaeleta hoja ya kwamba Uislam haukuwepo kabla ya Muhammad yuko sahihi pia.

Kwa maana kila jambo linalotokea duniani lilishapangwa tangu siku mwanadamu alipoumbwa ila utofauti wa lipi lianze na lipi lifuate ni kutokana na mahitaji ya ulimwengu Kwa nyakati hizo.

Kwahiyo dini ziliumbwa pale tu mwanadamu alipoumbwa ila zilizaliwa ndani ya Mtu ambae aliwekewa hatima ya namna hiyo ndani yake.

Kwahiyo Uislam ulikuwepo tangu ile siku Mungu anamuumba mwanadamu Kwa mfano wake ila ulizaliwa ile siku Muhammed anazaliwa na ukaanza kuletwa Kwa jamii baada ya miaka 40 ya Muhammad kuishi duniani.

Na uwepo wa kabla ya Muhammed ambao nauzungumzia hapo ni wakiroho ila ule wa matendo ulianza baada ya mteule wa kuleta jambo hilo jipya Kwa nyakati ambazo zilionwa ni sahihi jambo hilo kuletwa duniani kuzaliwa na kuanza kuyatenda yale yaliyomo ndani yake.

Kwahiyo Mtu yeyote ambae anakwambia kwamba Uislam ulikuwepo kimatendo kabla ya Muhammad ujue ni muongo Kwa maana Muhammad ndio mteule ambae aliletwa kwenye huu ulimwengu kuja kuuanzisha huo Uislam.

Na hii sio tu kwenye Uislam ila ni kwenye kila kitu ambacho hakikuumbwa ndani ya siku zile tano za uumbaji kabla mwanadamu hajaumbwa Kwa mfano wa Mungu mwenyewe.

NB:
Yapo matendo ya kitamaduni ambayo yapo ndani ya tamaduni za kiislam hivi leo na matendo hayo yalikuwepo tangu kale hata kabla ya mbeba maono ya Uislam hajazaliwa na hii ni kutokana na kwamba hii dini ilitengenezwa kwaajiri ya wanadamu Kwahiyo hata baadhi ya tamaduni zake zilijengwa juu ya tamaduni zote nzuri ambazo zinakubalika Kwa jamii ili kuleta urahisi na usawa wa walaji wake na hii haimaanishi kwamba kwakua matendo hayo yalikuwepo kabla ya uwepo wa huu utamaduni basi inamaanisha utamaduni ulikuwepo tangu kale.
Wacheni uongo bana, yaani mfano hata babu yako wa nanjilinji huko miaka 5000 b.c iliyopita unataka kutuaminisha alikuwa na hizo imani za uarabu/uzungu ndani yake?

Hizo dini zingekuwa sehemu ya UTU wa mtu kusingekuwa na ulazima wa kufundishwa wala kuelekezwa mafunzo ya dini, maana tayari elimu ipo Nafsini/Rohon mwa mtu, kama vile mtoto anapozaliwa anakuwa na uwezo wa kupenda, kuchukia, huruma, bila ya kufundishwa na yeyote, huu sasa ndio mfumo/elimu ya asili ambayo mtu anazaliwa nayo na si hizo takataka zenu za dini zikizotungwa hapo majuzi na watu weupe.

Alafu muelewe jambo haya mambo ya dini zenu, ukitaka kuyaelewa basi ondoa mahaba ya hiyo dini yako na uusome uhalisia uko vipi na ukubali kuhoji na kutoa majibu sahihi kulingana na uhalisia wa jambo.

Ukweli halisi hauna konakona wala hauitaji kutetewa kwa visingizio vya kiimani na mambo yasiyoonekana wala visingizio vya ati Mambo ya imani hayachunguziki.
 
Wataalamu wa dini na wana historia wabobevu naomba mnisaidie hii mada maana imekuwa ikiniumiza kichwa kwa muda mrefu.Inasemekana uislamu ulikuja enzi za nabii Muhammad na ndio kipindi ambacho ilishushwa qurani.

Muhammad katika utoto wake wote mpaka anafikisha miaka 40 hakuwahi kuwa muislamu na historia haijawahi kugusia kwamba katika kipindi hiko chote kama kuliwahi kuwepo uislamu mpaka muhammad alipofikisha miaka 40 ndio akashushiwa qurani na yeye akasema atakuwa wa kwanza katika waliosilimu.

Kitendo cha kusema kuwa wa kwanza katika waliosilimu ina maanisha hakukuwepo na uislamu,japo kuwa wanazuoni wanadai uislamu ulikuwepo kabla hata ya kushushwa quran.

Maswali yangu ni je ,Kabla ya kushushwa quran Allah alikuwa wapi? maana quran pekee ndio imemzungumzia.
swali la pili kama Allah alikuwepo je ni vitabu gani alivishusha kwa waislamu kabla ya quran? na kama vipo hivyo vitabu ni vitabu vipi? Je vipo mpaka leo. Kama itakuwa ni Zaburi, torati na injili je ilikuwaje Allah ashindwe kuvilinda visibadirishwe kama waislamu wanavyodai kuwa vimechakachuliwa na pia wanasema vimetungwa na wanadamu? na kama sio zaburi, torati na injili ilikuwaje uislamu ukacopy zaidi ya asilimia 70 toka kwenye hivyo vitabu?

Karibuni

Bila kutumia porojo za mitaani, nikusaidie tu kuwa; Quran ni muunganiko wa vitabu 4; hiyo ya kusema sijui kuna vitabu vilirudishwa sijui ulisoma wapi?
1. Taurati ya Musa
2. Zaburi ya Daudi
3. Injili ya Yesu
4. Quran ya Mohamad

Kwa sababu Uislam unakubaliana na vitabu vyote hivyo vilivyo tangulia, inamaana Uislam ulikuwepo tangu mwanzo; Kama ambavyo kwa upande wa Wakristo; kulikuwa na Agano la kale tangu zamani ila Yesu alipokuja akaleta agano jipya; muunganiko wa Agano la kale ambalo lilikuwepo, na agano jipya alilolileta Yesu ndio ikaitwa Biblia;
Kwa maana hiyo, Yesu hakuleta Biblia bali alileta Agano Jipya; vivyo hivyo Mohamad sio wa kwanza kuleta Uislam bali alikuja kufanya majumuisho ya mafundisho yaliyo wafikia Binadamu nyakati tofauti kwa kupitia mitume wa Allah (Mungu) - Musa, Daudi, Yesu

Allah ni neno la kiarabu lenye maana ya Mungu; Japo Mungu wa Waislam amepewa sifa za upekee (tofauti kabisa na viumbe);
NI MMOJA TU, HANA MSHIRIKA, HAJAZAA WALA HAJAZALIWA, HAFANI NA KITU CHOCHOTE, HANA MWANZO WALA MWISHO. Hapa inaonesha waziwazi kuwa, Waislam hawaamini kabisa kwenye utatu kutokana hizo sifa za Allah.

UISLAM MAANA YAKE, NI KUNYENYEKEA NA KUFUATA MAFUNDISHO YA ALLAH (Mungu) yaliyofikia binadamu kwa nyakati tofauti tofauti kupitia mitume wake; inamaana tangu kuumbwa kwa dunia yeyote aliye nyenyekea na kufuata mafundisha ya Mungu yaliyofikishwa kwake na mtume wa kipindi hicho basi alikuwa anafuata Uislam; Kwa maana hiyo Uislam ulikuwepo tangu Dunia iumbwe (kama maana ya neno islam).
Nimejaribu kuandika kwa kifupi sana!
 
Nakazia...!!

Mbona inasemekana Adam ni muislamu, Sasa Uisilamu ulipotelea wapi mpaka Muhamad akaja kuuanzisha tena?
 
Wacheni uongo bana, yaani mfano hata babu yako wa nanjilinji huko miaka 5000 b.c iliyopita unataka kutuaminisha alikuwa na hizo imani za uarabu/uzungu ndani yake?

Hizo dini zingekuwa sehemu ya UTU wa mtu kusingekuwa na ulazima wa kufundishwa wala kuelekezwa mafunzo ya dini, maana tayari elimu ipo Nafsini/Rohon mwa mtu, kama vile mtoto anapozaliwa anakuwa na uwezo wa kupenda, kuchukia, huruma, bila ya kufundishwa na yeyote, huu sasa ndio mfumo/elimu ya asili ambayo mtu anazaliwa nayo na si hizo takataka zenu za dini zikizotungwa hapo majuzi na watu weupe.

Alafu muelewe jambo haya mambo ya dini zenu, ukitaka kuyaelewa basi ondoa mahaba ya hiyo dini yako na uusome uhalisia uko vipi na ukubali kuhoji na kutoa majibu sahihi kulingana na uhalisia wa jambo.

Ukweli halisi hauna konakona wala hauitaji kutetewa kwa visingizio vya kiimani na mambo yasiyoonekana wala visingizio vya ati Mambo ya imani hayachunguziki.
Alokwambia kama huruma chuki na upendo havifundishwi kakudanganya
 
Yule bwana mchokonozi aitwe humu haraka nadhani akija watu watakimbia kanzu zitapeperuka vibagarashia vitachomoka vichwani na kobazi zitakatika kwa mbio
 
Muislam anapokufa na kuzikwa, baada ya jamaa kuondoka makaburini, Malaika wawili humshukia na kumuuliza marehemu , "Je, ulimuingelea vipi mtume Mohammad?" Ingawa mafundisho mengine ya Uisla husema marehemu hushukiwa na malaika, allah na mtume mohammad, ambapo allah humuuliza kuhusu uislam na mtume Mohammed.
Swali linakuja, je kabla ya kuwepo mohammed ni maswali gani waislam walikuwa wanaulizwa? Au walikuwa wanaulizwa tu hivyohivyo? Au hamjawahi kujiuliza?
Uislamu ni Dini mpya ...mtu akikuambia mitume wa kale walikuwa waislamu huyo ni muongo na mpumbavu kamili....Kwa nini.... sababu zipo nyingi tena zipo hata ndani ya uislamu wenyewe ilo swali lako ni mojawapo ya ushahidi wa uislamu kuwa dini mpya....kama waisrael ni waislamu mbona kipindi cha muhammad wapo waisrael walisilimishwa na muhammad je kama manasara ni waislamu mbona kuna manasara wali slimu kipindi cha muhammad...je suni anaweza kuslimu kuwa shia ...kama watu wa kitabu (al kitabu) wa torati na injili walipo ingia kwenye uislamu walisilimu ...iweje watu wa torati ya musa na injili ya issa walikuwa waislamu? Je muislamu uslimu kuwa muislamu 🙄...Kama walikuwa waislamu kwa nini muhammadi aliwataka wanapo ukubali uislamu waslimu? Swali lingine ....kitabu cha mwisho kabla ya msahafu ni injili je muhammad kabla ya kupewa UTUME alikuwa anafuata kitabu gani? (injili) au la? kama alikuwa anafuata injili kwanini mapangoni alitakiwa kuslimu ikiwa injili ni uislamu na issa alikuwa muislamu .....waislamu hawana akili msahafu ni kitabu cha kihuni haswa kama nikishusha nondo hapa waislamu mtashangaa na mtapoteana kama giza.
 
Uislamu ni Dini mpya ...mtu akikuambia mitume wa kale walikuwa waislamu huyo ni muongo ....kwanini sababu zipo nyingi tena zipo hata ndani ya uislamu wenyewe ilo swali lako ni mojawapo ya ushahidi wa uislamu kuwa dini mpya....kama waisrael ni waislamu mbona kipindi cha muhammad wapo waisrael walisilimishwa na muhammad je kama manasara ni waislamu mbona kuna manasara wali slimu kipindi cha muhammad...je suni anaweza kuslimu kuwa shia ...kama watu wa kitabu (al kitabu) wa torati na injili walipo ingia kwenye uislamu walisilimu ...iweje watu watorati ya musa na injili ya issa walikuwa waislamu? Kama walikuwa waislamu kwanini muhammadi aliwataka wanapo ukubali uislamu waslimu? Swali lingine ni kitabu cha mwisho kabla ya msahafu ni injili je muhammad kabla ya kupewa UTUME alikuwa anafuata kitabu gani? (injili) au la? kama alikuwa anafuata injili kwanini mapangoni alitakiwa kuslimu ikiwa injili ni uislamu na issa alikuwa muislamu .....waislamu hawana akili mfahafu ni kitabu cha kihuni haswa kama nikishuksha nondo hapa waislamu watapoteana kama giza.
Naona ulianza vizuri ila mwishoni umepuyanga na bangi zako
 
Naona ulianza vizuri ila mwishoni umepuyanga na bangi zako
Sikupuyanga ninao uwezo wa kushusha nondo ambazo toka uzaliwe wewe ujawai kuzisikia wala kuziwaza ....ninachokisema nakijua mimi siyo miongoni mwa mashabiki wa dini hivyo siongei unafiki na upumbavu kama nyinyi waislamu na wakristo ....wewe jiulize katika ukristo mtu anakuambia kuwa mungu ni mmoja ila anazo nafsi 3 sasa huyo mtu anaweza kuwa na Akili timamu kweli .
 
Uislamu ni Dini mpya ...mtu akikuambia mitume wa kale walikuwa waislamu huyo ni muongo na mpumbavu kamili....Kwa nini.... sababu zipo nyingi tena zipo hata ndani ya uislamu wenyewe ilo swali lako ni mojawapo ya ushahidi wa uislamu kuwa dini mpya....kama waisrael ni waislamu mbona kipindi cha muhammad wapo waisrael walisilimishwa na muhammad je kama manasara ni waislamu mbona kuna manasara wali slimu kipindi cha muhammad...je suni anaweza kuslimu kuwa shia ...kama watu wa kitabu (al kitabu) wa torati na injili walipo ingia kwenye uislamu walisilimu ...iweje watu watorati ya musa na injili ya issa walikuwa waislamu? Kama walikuwa waislamu kwanini muhammadi aliwataka wanapo ukubali uislamu waslimu? Swali lingine ni kitabu cha mwisho kabla ya msahafu ni injili je muhammad kabla ya kupewa UTUME alikuwa anafuata kitabu gani? (injili) au la? kama alikuwa anafuata injili kwanini mapangoni alitakiwa kuslimu ikiwa injili ni uislamu na issa alikuwa muislamu .....waislamu hawana akili msahafu ni kitabu cha kihuni haswa kama nikishusha nondo hapa waislamu mtashangaa na mtapoteana kama giza.
Kwa kuongezea tu kama kweli torati,injili na Zaburi ni vitabu vya Allah,mbona huwa anasema mkiwa na shaka yoyote nendeni mkawaulize watu wa kitabu.Kwa nini atoe hiyo kauli,je waislamu hivyo vitabu haviwahusu?
 
shekh baadh ya vitu vina itaj muda wa kuvisoma kama mungu hayupo iv unavovion vimeletw na nan kama mbingu ardh na vingine kwenye arsh unatumia android hapo ilianzia version 1 pak sqiv android 14 hat mungu alilet manabii tafaut na wa4 aliwap vitab wengine walikua wana contact nae kwa saut wanachukua maelekez haw wengine ndio mwingine akapew injir mwingine taurat zabur na wa mwisho ambae muhammad akapewa fulqan ambay ni final ivo unavosem vimechezew ni ulivkutan navy wew ila ukitafta biblia agano la kale unaikut iko fresh tu agan jipya ndio imeguswa na km umepew upeo kweny kitab cha mungu ikiingizw mila au janja yyte ukisoma unaona hap hapako sawa ukisoma quraan pia tafta yenye tasfir utapat majawab yko vng kaandika umo
 
Kabla ya kuja kwa Yesu si kulikuwa na watu wazuri wanafanya ibada kama MARIAM, Yohana, zakaria walikuwa wanafuata mafundisho gani
Walifuata mafundisho ya dini ya nyumbani kwao Israel ,yaani mafundisho ya dini ya uyahudi. Na kitabu chao kinaitwa Torah.

Refer,Yesu alipoenda kusoma Torah pale kwenye sinagogi pale kijijini kwao Nazareth kwa mara ya kwanza,akafungua Torah na kwenda Moja kwa Moja kusoma kitabu cha Isaya "Roho wa bwana amenipaka mafuta niwahubirie watu habari njema" na mwisho akasema haya maneno Leo yametimia. Wakamtimua nje kwa kusema anadhiki dini yao ya uyahudi na wakaenda kumtupa kwenye shimo ila yeye akapita katikati yao akasepa zake.
 
Back
Top Bottom