Je anachofanya Israel kinakuza au kuondoa Ugaidi ?

Je anachofanya Israel kinakuza au kuondoa Ugaidi ?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Binafsi nachokiamini vita vya ideologia kamwe huwezi kushinda kwa Mabavu.., Hususan watu ambao wanaona kwamba wanaonewa na kunyanyaswa, kuwaondoa kwa mabavu na kuwauwa tena kwa waziwazi kunakoonekana kila kona, ni kwamba unawapa njia rahisi magaidi wa kesho au magaidi wa leo kuweza kufanya recruitment zaidi.

Binafsi nilikuwa naitetea sana Israel kwa kipindi kirefu ambapo kulikuwa na Anti-Semitism kila kona na jinsi Hitler alivyowanyanyasa na kuwafanya hawa watu kama sio binadamu...

Ingawa leo hii anachofanya sidhani kama kina manufaa yoyote kwa mustakabali na amani ya dunia ya leo na kesho sababu anazidi kuwatengeneza magaidi..

Ushauri
United Nations ipate meno na iwe na nguvu sawa bila VETO ya taifa lolote na nchi zote ziwe wanachama, ili kama kuna mtu / taifa litaleta za kuleta tuweze kudeal nalo kama dunia kwa pamoja.., kwa kufanya hivi kutakuwa hakuna uwezekano wa watu kuona kwamba wanaonewa, hivyo kuondoa ile fodder (Chakula) ambacho Fundamentalists wanaitumia kuwarubuni (brainwash) watu ili kujiunga nao...

“Justice must not only be done, but it must also be seen to be done.”​
 
Gaidi wakwanza israhell bila israhell Dunia ingekua mahala salama sana pamoja na Americant
Naam anachofanya sasa ni ugaidi ingawa alichofanyiwa na Hitler au kipindi cha vita vya siku sita haikuwa ugaidi, na ndio maana alijizolea admirers na sympathizers dunia nzima.., ila hiki anachofanya sasa matunda yake sio tu hasara kwake bali she is not making the world a safer place...
 
Gaidi wakwanza israhell bila israhell Dunia ingekua mahala salama sana pamoja na Americant
According to the best of my knowledge,and according to the best of information I have,and according to the best of diffent articles which I read ,I have realized Islamic believes and teaching are no.one terrorist in our planet
 
According to the best of my knowledge,and according to the best of information I have,and according to the best of diffent articles which I read ,I have realized Islamic believes and teaching are no.one terrorist in our planet
All the beliefs if believed without any reasoning leads to fundamentalism..., Persians and other Arab countries used Islam to unite people and fight against their so called enemies just like St Constantine said he had changed his faith and become a Christian thus uniting all Christians to fight against their so called enemies..., thus no much difference between the two....; People using it for their own political benefits...
 
Haya mambo ya israel na Palestine,plus Pepo/mbingu na moto wa jehanam halafu kuumbwa Kwa Lucifer ambae baadae akawa shetani ni mambo ambayo hasta nifundishwe vipi hata na yeye mwenyewe alieumba mbingu na nchi siwezi kuelewa kamwe kabisa Kwa maana anachofanya israel Kwa Palestine ni ushetani ule ule hasta kama ana sapoti ya huyo aliemuumba!!

Hivyo tu!
 
Kundi la kigaidi la kwanza limeundwa na israel , mwaka 1940 , then akaja kuunda ISIS baada ya kuvunjika Al Qaida ...Kumbuka Osama ni CIA miaka ya 80'0 huko USA , ndio ilimpa urahisi wa kufanya shambulio lile .
 
Embu tufafanulie israel imewahi wapi kuanzisha vita kama sio inachokozwa kwanza?
1728899624576.png
 
Hata history wengi hawaijui
Mmelishwa chuki na kuingia mazima
Wakenya walipodai haki yao baada ya wahamiaji kutoka europe na 🇺🇸 kuchukua mashamba ya hekari million 7.5
Wananchi waliuwawa zaidi ya laki moja na kuitwa Magaidi

Acheni kukariri na kufuata chuki za wazungu kuwa kila anaedai haki yake ni Gaidi
 
Ngoja wanyoshane kidogo...


Cc: Mahondaw
Upuuzi wao unatufikia huku..., Kuna watu walilipua Ubalozi wa Marekani, Tanzania na Kenya sababu ya Chuki na USA...

Zamani USA ilikuwa kupanda ndege ni kama daladala ila baada ya September 11 check ups zikawa nyingi..., Upuuzi wa Israel kutumia zile Pager zinaweza kufanya watawala kwenye nchi tofauti kuacha kuagiza bidhaa za nje kwa kuepuka so called infiltration...

In short kinachoendelea does not make the World a better Place..., far from it...
 
Upuuzi wao unatufikia huku..., Kuna watu walilipua Ubalozi wa Marekani, Tanzania na Kenya sababu ya Chuki na USA...

Zamani USA ilikuwa kupanda ndege ni kama daladala ila baada ya September 11 check ups zikawa nyingi..., Upuuzi wa Israel kutumia zile Pager zinaweza kufanya watawala kwenye nchi tofauti kuacha kuagiza bidhaa za nje kwa kuepuka so called infiltration...

In short kinachoendelea does not make the World a better Place..., far from it...
Tushachoka na mambo yao, wanyoshane tu...


Cc: Mahondaw
 
Hata history wengi hawaijui
Mmelishwa chuki na kuingia mazima
Wakenya walipodai haki yao baada ya wahamiaji kutoka europe na 🇺🇸 kuchukua mashamba ya hekari million 7.5
Wananchi waliuwawa zaidi ya laki moja na kuitwa Magaidi

Acheni kukariri na kufuata chuki za wazungu kuwa kila anaedai haki yake ni Gaidi
Hata Mandela alikuwa gaidi.., ugaidi sio kile unachokiamini au rangi yako bali ni mbinu unazotimia..., kama mbinu hizo zina terrolize basi wewe ni terrorist...

One Man's Terrorist is another Man's Freedom Fighter..., Ingawa unaweza uka fight for freedom without terrorization...
 
According to the best of my knowledge,and according to the best of information I have,and according to the best of diffent articles which I read ,I have realized Islamic believes and teaching are no.one terrorist in our planet

religion.jpg
 
Palestina wanapigania uhuru wa nchi yao.
Tangu zamani watu wakipigania uhuru wao huitwa magaidi.
Ilikuwa hivyo kwa Frelimo, ANC, ZANU PF, Swapo nk.
Adolf Hitler aliua mamilioni ya Wayahudi, chakushangaza kile kilichofanywa na Hitler miaka 80 iliyopita ndicho kinachofanywa na Mayahudi kwa Wapalestina, lakini Dunia imekaa kimya.
 
Palestina wanapigania uhuru wa nchi yao.
Tangu zamani watu wakipigania uhuru wao huitwa magaidi.
Ilikuwa hivyo kwa Frelimo, ANC, ZANU PF, Swapo nk.
Adolf Hitler aliua mamilioni ya Wayahudi, chakushangaza kile kilichofanywa na Hitler miaka 80 iliyopita ndicho kinachofanywa na Mayahudi kwa Wapalestina, lakini Dunia imekaa kimya.
Ugaidi; Terrorizing nadhani sio kile unachogombania kama kina tija au hapana bali ni means za kupata kile kitu..., mfano mnaweza mkawa kabisa mnapigania haki yenu ila kwa kufanya hivyo mnateka watu wasio na hatia na kuwachinja (the means you are using is terrorizing)
 
Back
Top Bottom