Je anachofanya Israel kinakuza au kuondoa Ugaidi ?

Je anachofanya Israel kinakuza au kuondoa Ugaidi ?

Nini maana ya ugaidi maana is isijee ikawq wao ndio magaidi wenyewe
 
Nini maana ya ugaidi maana is isijee ikawq wao ndio magaidi wenyewe
Mtu / kikundi chochote kinachotumia terror kufanikisha wanachotaka kufanikisha hususan kwa raia ni terrorist
 
Anaondoa kumbuka Marekani ilichofanya kwa mtandao wa kigaidi ilipiga Gaddafi Libya ikapiga Osama Afghanistan ikapiga Saddam Husen Iraq sasa hivi huwezi sikia kuna magaidi wameongezeka dhidi ya marekani

Israel ndicho anafanya anapiga hamas Israel anapiga Hezbollah Lebanon anapiga wa houthi Yemen ,Anapiga magaidi Syria anapiga Iran kuua viongozi wao
Wanawake wazaaji na watoto wa magaidi kuua kizazi cha magaidi kisiwepo
 
Yaani israel ndio taifa pekee linalochangia na magaidi wa mataifa 7 ili wamfute halafu anaitwa mchokozi?
Makafiri Mkiambiwa hamuna akili mnaona munatukanwa wakati sifa yenu mwapewa haya taja hizo nchi tatu zinazopigana na taifa lenu teule hemu tuzijue
 
Anaondoa kumbuka Marekani ilichofanya kwa mtandao wa kigaidi ilipiga Gaddafi Libya ikapiga Osama Afghanistan ikapiga Saddam Husen Iraq sasa hivi huwezi sikia kuna magaidi wameongezeka dhidi ya marekani
Moja hivi kuondoka kwa Gaddafi Libya na Saddam Hussein Iraq kumesaidia peace and security katika hizo sehemu ?

Na ni nini kilifanya hata Osama kuweza kupata watu hata waliopiga Embassy za USA Kenya na Tanzania hata bila kuonana nao ana kwa ana.... ni ile idea kwamba USA ni mbaya na anatupiga na kutupinga.., na ndio maana ilikuwa rahisi na bado rahisi kwa mtu anayeweza kuzaliwa USA kuwa recruited ili kuipiga USA sababu anaona inamtesa (sasa kwa zile picha za kila siku watoto wanapigwa na mabomu na raia wa kawaida hio inafanya kazi ya recruiters kuwa rahisi zaidi
Israel ndicho anafanya anapiga hamas Israel anapiga Hezbollah Lebanon anapiga wa houthi Yemen ,Anapiga magaidi Syria anapiga Iran kuua viongozi wao
Wanawake wazaaji na watoto wa magaidi kuua kizazi cha magaidi kisiwepo
Ndio maana nakwambia hujui maana ya ugaidi..., ugaidi ni ku terrorize na hadi mtu aweze kutumia terror lazima awe na sababu ya kwamba tunaonewa sasa unapiga na kuua kizazi cha mababu unategemea mjukuaa atakuwa nini kama sio kutumia mbinu za terror kufanikisha ambacho babu yake alishindwa (after all ataona kwamba amefanya heroic thing)
 
Moja hivi kuondoka kwa Gaddafi Libya na Saddam Hussein Iraq kumesaidia peace and security katika hizo sehemu ?
Lengo lilikuwa kuwe ni security Marekani walikochokoza na kubomoa twin tower

Lengo la vita halikuwa security kwenye hizo nchi baada ya vita Kuwa wao hata kama kwao hakutakuwa na security hiyo haikuwa lengo la Marekani watajijua wenyewe

Cha msingi objective ya Marekani kuwa salama ilishakamilika It is non of their business
 
Naam anachofanya sasa ni ugaidi ingawa alichofanyiwa na Hitler au kipindi cha vita vya siku sita haikuwa ugaidi, na ndio maana alijizolea admirers na sympathizers dunia nzima.., ila hiki anachofanya sasa matunda yake sio tu hasara kwake bali she is not making the world a safer place...
Fact moja ambayo wengi hawafahamu majority ya holocaust survivor wapo Against Israel na Zionist ambao ndio waanzilishi wa Israel walikua na Mkataba na Hitler


Ukisoma Thesis ya Mahmoud Abbas ambayo alifanya Patrice lumumba University Urusi ni kwamba Zionist Wali chukua watu wao Ujerumani wakawapeleka Palestina kwenye Huo mkataba then wakaja kuua Kiongozi wa Nazi mkuu na kusababisha Holocaust.

Sio tu Huko Ujerumani same thing happened Nchi za kiarabu, baada ya Taifa la Israel kuundwa na kukawa na Tension baina ya waarabu wa kiyahudi na waarabu wakristo/Waisilamu MOSSAD wakawa wanatega mabomu Maeneo ya wayahudi na kuwaua ili wazidishe Chuki ili wayahudi wahamie Israel


So mkuu Zionist wanatumia Holocaust kutafuta huruma tu ila wanahusika kama Nazi, na hata ukiwa angalia leo matendo yao hayana tofauti na Nazi na hata makundi wanayo support mengi ni Neo Nazi.
 
Lengo lilikuwa kuwe na security Marekani walikochokoza na kubomoa twin tower
Je kuna hio Security sasa hivi ? Na walichosema wanamfuata Saddam sababu ya weapons of Mass Destruction wakati hazipo ni kwamba imepunguza authenticity ya USA na UK; na hata wakati Obama anaingia hii ilikuwa moja ya points alizosema kufanya vita kwa gharama kubwa ya raia bila kupata any significant result..., na ndio maana aliondoa watu wake huko... Na achana huko hata Somalia alishindwa kuendelea sababu ya kipigo alichokuwa anapata kwa wanajeshi wake bila any significant gains... (Kwahio nachoweza kusema a stealth mission ya kumuua Sadam moja kwa moja na sio raia wa Afghanistan; that's how it's supposed to be done)

Ndio maana narudia tena vita vya ideologia hautumii mabavu.., even propaganda works best..., mpaka leo USA ukiongelea Socialism hauwezi kupata Kura wewe kama ni kiongozi na hio imetokana na propaganda which USA has been feeding raia wake (and it has worked beautifully)
Lengo la vita halikuwa security kwenye hizo nchi baada ya vita Kuwa wao hata kama kwao hakutakuwa na security hiyo haikuwa lengo la Marekani watajijua wenyewe

Cha msingi objective ya Marekani kuwa salama ilishakamilika It is non of their business
Haijakamilika USA is no more safer now than then.., kumbuka hawa so called terrorist works in cells (terrorist cells) na chakula cha hawa watu ni propaganda na brainwashing.., inawezekana leo mtoto wako au mke wako akaamua kujiunga na kufanya jambo bila kukutana na so called viongozi... ndio maana an American Born Citizen anaweza kuamua kulipua au kuua mtu (and what is happening now is giving fodder to brainwashers)
 
Palestina wanapigania uhuru wa nchi yao.
Tangu zamani watu wakipigania uhuru wao huitwa magaidi.
Ilikuwa hivyo kwa Frelimo, ANC, ZANU PF, Swapo nk.
Adolf Hitler aliua mamilioni ya Wayahudi, chakushangaza kile kilichofanywa na Hitler miaka 80 iliyopita ndicho kinachofanywa na Mayahudi kwa Wapalestina, lakini Dunia imekaa kimya.
Palestina hawajawahi kuwa na nchi
 
Embu tufafanulie israel imewahi wapi kuanzisha vita kama sio inachokozwa kwanza?
Ilianzisha hata hiyo vita ya first Arabic war kuanzia 1947 maana walikalia kimabavu ardhi ya palestina kinyume na makubaliano ya UN. Hata leo bado inakalia kimabavu Golan Heights sehemu halali ya Syria, je ikivamiwa leo na Syria hapo Golan Heights utasema wamevamiwa?
 
Israel anakalia ardhi za mababu zake wala hakuna taifa au dola lililowahi kuitwa palestina hata qoroani haijataja palestina popote
Kasome biblia yako kule nyuma imewekwa picha embu tuambie imeandikwa Israel au palestina?
20240410_143619.jpg
 
Ugaidi; Terrorizing nadhani sio kile unachogombania kama kina tija au hapana bali ni means za kupata kile kitu..., mfano mnaweza mkawa kabisa mnapigania haki yenu ila kwa kufanya hivyo mnateka watu wasio na hatia na kuwachinja (the means you are using is terrorizing)
Mbona Mandela alitumia hizo mbinu huwa hatumuiiti gaidi? Au mbona Israel inatumia mbinu hizo hizo kuua viongozi wa Iran mnaita ujasusi ila wakifanya hivyo nchi za kiarabu mnaita magaidi!!
 
Mbona Mandela alitumia hizo mbinu huwa hatumuiiti gaidi? Au mbona Israel inatumia mbinu hizo hizo kuua viongozi wa Iran mnaita ujasusi ila wakifanya hivyo nchi za kiarabu mnaita magaidi!!
Mandela alipigania uhuru wa nchi yake

Israel ni nchi ya waisrael sio wapalestina
Wapalestina ni wavamizi

Hakuna taifa duniani la Palestina halijawahi kuwepo pale.
 
Israel anakalia ardhi za mababu zake wala hakuna taifa au dola lililowahi kuitwa palestina hata qoroani haijataja palestina popote
Naona umeamua kuonesha ule ukweli halisia kua huna au hamna akili sasa kwahio umeanza kuniamini Quran Kuna watu akili zenu zina matatizo haya kulikua na tanganyika kabla ya uhuru amerkant je ilikuepo amakweli ujinga mzigo
 
Mbona Mandela alitumia hizo mbinu huwa hatumuiiti gaidi? Au mbona Israel inatumia mbinu hizo hizo kuua viongozi wa Iran mnaita ujasusi ila wakifanya hivyo nchi za kiarabu mnaita magaidi!!
Nani amesema hayo ? Mimi binafsi ugaidi ni njia zinazotumiwa na watu kufanikisha lengo lao na kama mbinu hizo zinaangamiza Civilians basi hao ni magaidi na kwa kuongelea Mandela hivi unajua mpaka 2013 alikuwa katika baadhi ya list za magaidi ?

The clearest example: the case of Nelson Mandela, whose name wasn’t removed from US terrorist lists until just a few days before his 90th birthday in 2013, shortly before his death. The USA had added Mandela and his organization, the African National Congress (ANC), to the lists during the 1980’s. In the intervening period apartheid was abolished, Mandela was democratically elected president of South Africa and went on to be awarded the Nobel Peace Prize.

Kwahio kwa macho ya wa Palestina na watu tunaoangalia deeds mtu anazofanya na sio huyo anayefanya kama ni wa kwetu au wa kwao..., kinachofanya na Israel sasa hivi ni Ugaidi....
 
"Ugaidi" na ideologies vinashindika ikiwa upo tayari kufanya mauaji ya halaiki na scorched earth hadi adui abakie hawezi hata kuinua kidole. Wamarekani waliwaangamiza Wenyeji, Wajerumani walifanya hivyo wakati wa Maji Maji, Wachina ni kama wanafanya hivyo huko kwa Uighurs, Wajerumani pia ni kama walitokomeza influence ya Wayahudi Ulaya, Wayahudi wenyewe enzi za agano la kale walikuwa wanachinja kila mtu kasoro wanawake mabikira tu, walikuwa wanaua watu malaki kwa malaki.

Sema kwa sasa sheria za kivita haziruhusu mbinu kama hizo, lakini bado zinatumika kwenye counterinsurgency.
 
Back
Top Bottom