Je, andiko hili la kiislamu kwa Wayahudi linawezekana kuwa sababu za chuki hizi?

Je, andiko hili la kiislamu kwa Wayahudi linawezekana kuwa sababu za chuki hizi?

Yatimie wakati Mungu wenu mwarabu kala kona na kuzama chaka? Akiwaacha mnalialia Allah akbar huku mmebana marinda?
We tulia dunia haiendi unavyotaka wewe kama unakata gogo.mambo yanaenda hatua kwa hatua.hata ulivyo zaliwa ilikuwa ni hatua kwa hatua
 
We tulia dunia haiendi unavyotaka wewe kama unakata gogo.mambo yanaenda hatua kwa hatua.hata ulivyo zaliwa ilikuwa ni hatua kwa hatua
Haya bana mwana kitengo bunju b na mbweni jkt.

I firmly stand with Israel.
 
Lakini cha kushangaza asilimia 80 ya mauaji ambayo yamefanyika hapa duniani yamefanywa na wanao jiita wakristo tena mpaka na kanisa likiwa na mkono wa moja kwa moja mfano mauaji ya kimbari nchini Rwanda.

Alafu kingine wakristo ndo wenye chuki na wayahudi kwa sababu ndo wahusika wakuu wa mauaji ya maangamizi dhidi ya wayahudi kabla ya mwaka 1947 .
Kwahyo 20% ilobaki ndiyo waislam wanamalizia sasa!
 
Sasa hayo mafundisho ya dini yenu ya upendo yana faida gani iwapo yameshindwa kuwabadilisha waumini wake kuwa kama maandiko yanavyo taka?

Kuhusu aya za Quran ni lazima kwanza uwe na elimu ya kutosha kuzielewa sio kusoma soma juu juu tu alafu unaleta mihemko.
Kila aya iliyoko ndani ya Qruan iliteremka kutokana na mazingira yaliyo kuwepo wakati wa kutoka kwake na ndio maana hata mtume alikuwa anaishi na wasio kuwa waisilam na hakuwahi kuwauwa, na ndio maana ww huijawahi kufuatwa na muislam kukuua ili kutimiza hilo andiko japo kuwa hapo ulipo wamekuzunguka kila mahali.

Hii tabia ya kuongelea mambo msio na elimu nayo mungu aipendi kabisa.
Sawa tuseme hoja yako kwamba Ukristo umefanya mauaji mengi duniani imepita.

Tuwe kama watu wazima tulioenda shule,naomba pandisha hapa taarifa za mauaji yenye nembo ya Ukristo duniani kote ndani ya miaka 23 iliyopita na mimi niweke za mliouwa ninyi waislam kwa kipindi hicho,huko kwengine umepuyanga tu Aya iliteremka kulingana na mazingira,mazingira gani hizo Aya zikijiandika zenyewe au?

Na kama zilikuwa zinatumwa na kiumbe chenye vision pana kwanini hicho kiumbe kisiweze kutambua hatari ya kuwepo kizazi kitakachotumia vibaya aya zake?unatutisha tusiongee mambo ya Mungu wako sababu hapendi,yeye ndiye alichemka kuweka sawa maneno yake.
 
Hapo hapo umesema binadamu tumetofautiana uelewa ndio umemaliza kila kitu, sasa ndugu zako uelewa wao ni tofauti na wa kwako hivyo wanachinja watu kwa kutumia hizo aya.
Kwa uelewa sahihi ndani ya mafundisho ya mtume vitu vingi wanavyofanya ni katika makosa makubwa sana
Maswala yakiutawala siku zote hayakosi mambo ya vita haijalishi ni dini gani unaposimamia watu huwa hakukosekani vurugu ndo maana manabii wengi tu kwenye historia walipigana vita mfano Daud na wengine

Izo aya unazozitumia katika majukwaa tofauti tofauti jaribu kutafuta ufafanuzi kwa watu sahihi ndo maana sio jambo la kushangaza kuona baadhi ya masheikh wakiwapinga vikali watu wanaojiita wapigana jihad waanzilishi wa vikundi mbali mbali kama vile Al-shabab, boko haram, alqaida na vikundi vingine vingi ambavyo wanatoka nje ya maelekezo ya mtume na uislam juu ya swala zima la upiganaji wa jihad ambazo zilifungamana na izo Aya za quran

Nenda fatilia watu waliompinga Osama bin laden sikiliza hoja zao kwa mapokeo chanya utagundua kitu ukitaka muongozo me nakupa nenda kamsikilize nani na nani upate kuelewa uislam vizuri ambao upo against ayo mavurugu, mabomu midadi na ukichunguza utagundua wengi wanaotumiwa kufanya izo mambo ni weupe kichwani hawana elim yoyote wame hamasishwa tu na hawana muda wakusoma

Kwaiyo kuhusu kuchinja watu kwa uelewa mbovu wa aya me sikupingi mzee wanafanya ivo ila sio mafundisho ya uislam wa sawa sawa na hata hapa Bongo miaka ya nyuma kidogo izo hamasa ziliingia sana vijana walikamatwa sana kenya wakielekea somalia wakiwa wanahamasishwa na baadhi ya wanaharakati ambao walichanganya mafundisho ya dini na siasa

Lakini mpaka sasa hali ni shwari kwa ukanda wa east Africa kuna baadhi ya masheikh wamefanya kazi kubwa sana kuelimisha watu uislam wa sawa ni upi na wamepitia mitihani mikubwa wengine washapigwa na mabomu ila wamefanya kazi kubwa sana usione kumetulia mzee kuna watu hawalali kupambana na izo fikra

Jambo la muhim la kukushauri kaa chini fanya research kuhusu maswala ya ulinganishi wa dini ni elimu pana kidogo utaelewa na utajua kwanini licha ya sifa mbaya na uchafu na ukatili uliopambwa nao uislam bado kuna watu wanazidi kuupokea na watu wengine ni wasomi wakubwa tu na wana akili zao timamu

Anzia hapa ( Mgawanyiko wa makundi mbali mbali ndani ya uislam) fanya utafiti alafu utakuja siku moja jukwaani utaacha kua attack uislam kwa ujumla utakuwa unaligusa kundi unalolitaka

Mfano mimi saizi nianzekuattack christian nitachagua nadeal na dhehebu gani RC, wasabato, n.k wote ni wakristo na wote msingi wao ni mmoja ila itikadi zao ni tofauti

Na waislam wa humu inatakiwa wajue kuwa uislam umegawanyika sio kitu kimoja atakae bisha awe na hoja za msingi na dalili
 
Kwa uelewa sahihi ndani ya mafundisho ya mtume vitu vingi wanavyofanya ni katika makosa makubwa sana
Maswala yakiutawala siku zote hayakosi mambo ya vita haijalishi ni dini gani unaposimamia watu huwa hakukosekani vurugu ndo maana manabii wengi tu kwenye historia walipigana vita mfano Daud na wengine

Izo aya unazozitumia katika majukwaa tofauti tofauti jaribu kutafuta ufafanuzi kwa watu sahihi ndo maana sio jambo la kushangaza kuona baadhi ya masheikh wakiwapinga vikali watu wanaojiita wapigana jihad waanzilishi wa vikundi mbali mbali kama vile Al-shabab, boko haram, alqaida na vikundi vingine vingi ambavyo wanatoka nje ya maelekezo ya mtume na uislam juu ya swala zima la upiganaji wa jihad ambazo zilifungamana na izo Aya za quran

Nenda fatilia watu waliompinga Osama bin laden sikiliza hoja zao kwa mapokeo chanya utagundua kitu ukitaka muongozo me nakupa nenda kamsikilize nani na nani upate kuelewa uislam vizuri ambao upo against ayo mavurugu, mabomu midadi na ukichunguza utagundua wengi wanaotumiwa kufanya izo mambo ni weupe kichwani hawana elim yoyote wame hamasishwa tu na hawana muda wakusoma

Kwaiyo kuhusu kuchinja watu kwa uelewa mbovu wa aya me sikupingi mzee wanafanya ivo ila sio mafundisho ya uislam wa sawa sawa na hata hapa Bongo miaka ya nyuma kidogo izo hamasa ziliingia sana vijana walikamatwa sana kenya wakielekea somalia wakiwa wanahamasishwa na baadhi ya wanaharakati ambao walichanganya mafundisho ya dini na siasa

Lakini mpaka sasa hali ni shwari kwa ukanda wa east Africa kuna baadhi ya masheikh wamefanya kazi kubwa sana kuelimisha watu uislam wa sawa ni upi na wamepitia mitihani mikubwa wengine washapigwa na mabomu ila wamefanya kazi kubwa sana usione kumetulia mzee kuna watu hawalali kupambana na izo fikra

Jambo la muhim la kukushauri kaa chini fanya research kuhusu maswala ya ulinganishi wa dini ni elimu pana kidogo utaelewa na utajua kwanini licha ya sifa mbaya na uchafu na ukatili uliopambwa nao uislam bado kuna watu wanazidi kuupokea na watu wengine ni wasomi wakubwa tu na wana akili zao timamu

Anzia hapa ( Mgawanyiko wa makundi mbali mbali ndani ya uislam) fanya utafiti alafu utakuja siku moja jukwaani utaacha kua attack uislam kwa ujumla utakuwa unaligusa kundi unalolitaka

Mfano mimi saizi nianzekuattack christian nitachagua nadeal na dhehebu gani RC, wasabato, n.k wote ni wakristo na wote msingi wao ni mmoja ila itikadi zao ni tofauti

Na waislam wa humu inatakiwa wajue kuwa uislam umegawanyika sio kitu kimoja atakae bisha awe na hoja za msingi na dalili

Unatumia nguvu nyingi kumtetea huyo mtume wakati yeye alitumia lugha rahisi kuamrisha watu wasiomuabudu wachinjwe, leo hii uislamu ndio dini pekee yenye maugomvi na dini zingine zote, mauaji kote kote, sisi tunaangalia matendo sio haya maneno mengi...

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Ni vigumu kutenganisha ugaidi na dini uislam kutokana na maandiko yao kua chachu ya ugaidi na mauji wanayo fanya, baada ya hapo wanasubiria kupewa mabikra 72 na nguvu za kutumia mizigo 100 kwa siku, Imani zingine za hovyo kabisa
Kama mbususu moja inasababisha mtu anauwawa je hizo sabini na mbili tena za kiarabu.
 
Unatumia nguvu nyingi kumtetea huyo mtume wakati yeye alitumia lugha rahisi kuamrisha watu wasiomuabudu wachinjwe, leo hii uislamu ndio dini pekee yenye maugomvi na dini zingine zote, mauaji kote kote, sisi tunaangalia matendo sio haya maneno mengi...

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
You don't have enough intelligence to get involved in religious issues,
Nikuulize kitu kwani unataka nini kwenye uislam?

-Ufutike duniani
-waislam wote wahamie dini zingine
-au huwapendi tu
- Au wewe mwenyewe hujui unataka nini

Be smart unapofanya comparison of religious issues weka wazi we unataka nini kwenye maandamano yako sisi waislam tupo humu tutakuelewa, tutakufundisha pale ulipoelewa vibaya na tutatoa ufafanuzi kuhusu maswala mbali mbali yanayokusumbua
Tufanye kama therapy flani ivi kwasababu kisaikolojia tayari haupo sawa yani unawaogopa waislam na uislam kiujumla
Be a man sema unataka nini mzee tukusaidie....
 
Kwa nn HITLER alitaka kuwafuta JEWS ...?
 
Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، أَخْبَرَنِي عُمَرُ بْنُ حَمْزَةَ، قَالَ سَمِعْتُ
سَالِمًا، يَقُولُ أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "
تَقْتَتِلُونَ أَنْتُمْ وَيَهُودُ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي تَعَالَ فَاقْتُلْهُ ‏"‏ ‏.

Sunnah.com
Huu msako mkali sana huu
 
Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، أَخْبَرَنِي عُمَرُ بْنُ حَمْزَةَ، قَالَ سَمِعْتُ
سَالِمًا، يَقُولُ أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "
تَقْتَتِلُونَ أَنْتُمْ وَيَهُودُ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي تَعَالَ فَاقْتُلْهُ ‏"‏ ‏.

Sunnah.com
Hilo andiko unafahamu linazungumzia wakati gani?

UISLAM hauna CHUKI na kundi lolote la watu, jamii au kabila.

hapo zinazungumzwa nyakati za Mwisho....

kuna msururu mrefu wa matukio hivyo ni vema kujifunza na kuelewa kuliko kurukia kipande tu cha hadith.
 
Hata Mungu wao Amewaagiza adui yao mkubwa Sio shetani ila ni myahudi!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Uelewa wako upoje!?..hapo Kuna funzo la uadui dhidi ya wayahudi au Kuna funzo la uadui wa wayahudi dhidi ya waumini!?
 
Kuna hili andiko la kiislamu linaloonekana kuamrisha Wayahudi wachinjwe hadi ambao watakuwa wamejificha nyuma ya mawe, je inawezekana kuwa sababu za hizi chuki?

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
حَدَّثَنَا أَبُو بَكْرِ بْنُ أَبِي شَيْبَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، أَخْبَرَنِي عُمَرُ بْنُ حَمْزَةَ، قَالَ سَمِعْتُ
سَالِمًا، يَقُولُ أَخْبَرَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عُمَرَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "
تَقْتَتِلُونَ أَنْتُمْ وَيَهُودُ حَتَّى يَقُولَ الْحَجَرُ يَا مُسْلِمُ هَذَا يَهُودِيٌّ وَرَائِي تَعَالَ فَاقْتُلْهُ ‏"‏ ‏.

Sunnah.com
Usisahau pia kuna Wayahudi [jews] ambao ni WAISLAM
 
You don't have enough intelligence to get involved in religious issues,
Nikuulize kitu kwani unataka nini kwenye uislam?

-Ufutike duniani
-waislam wote wahamie dini zingine
-au huwapendi tu
- Au wewe mwenyewe hujui unataka nini

Be smart unapofanya comparison of religious issues weka wazi we unataka nini kwenye maandamano yako sisi waislam tupo humu tutakuelewa, tutakufundisha pale ulipoelewa vibaya na tutatoa ufafanuzi kuhusu maswala mbali mbali yanayokusumbua
Tufanye kama therapy flani ivi kwasababu kisaikolojia tayari haupo sawa yani unawaogopa waislam na uislam kiujumla
Be a man sema unataka nini mzee tukusaidie....

Kimsingi waislamu waishi na dini zingine kwa amani, hakuna anayetaka mfutike maana wenyewe mnajua kwanini mlimfuata huyo muarabu, ila mnapaswa muache kuua wenzenu wasiotaka kumuabudu huyo muarabu, hicho kidogo kimewashinda.
Hebu angalia tukio kama hili, mnachinja maskini wasafiri kisa hawamuabudu huyo muarabu Bus passengers massacred
 
Ni vigumu kutenganisha ugaidi na dini uislam kutokana na maandiko yao kua chachu ya ugaidi na mauji wanayo fanya, baada ya hapo wanasubiria kupewa mabikra 72 na nguvu za kutumia mizigo 100 kwa siku, Imani zingine za hovyo kabisa
Ugaidi umeanza baada ya bush kuingia madarakani,huko nyuma magaidi walikua waingereza wa Ireland, ETA kule Hispania,latin America Escobar etc na akina Carlos, waislam walikua wametulia zao
 
Huu msako mkali sana huu

Tatizo mnaishia kulia lia, mnaanza kwa mabavu ila mnalia tena mkigeuziwa, haitokuja siku muue wayahudi wote, tena kila myahudi hukula kiapo cha "Samson option", katafiti nini maana yake.
 
Back
Top Bottom