Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Je, awamu ya sita ipo kwaajili tu ya kurekebisha makosa ya Awamu ya Tano?

Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
Hakuna mtu mwenye akili timamu duniani atapigia kura umagufulification wenu huo.

Watanzania hawako tayari kuongozwa na utawala wa kinyama tena.

Uzuri Mungu katuokoa na huo ushenzi.

Never Never Never again.
 
Mwambie mtoto wako shujaa wa africa ni mmoja tuu alitokea Tanzania mpaka baraza la umoja wa mataifa kuket kuheshimu uongozi wake uliotukuka wazungu sio wapumbavu kama wewe na watu wa aina yako
Shujaa wa nini?
 
Katika harakati za kuua legacy ya mwendazake wanasahau kua yeye ametangulia wanasahau kufanya wanayopaswa kufanya sasa wakiwa wameshika madaraka...
Ipo siku hata miti itaongea pumzika kwa amani mwamba wa africa
Kwanini wasumbuke na mfu ?
 
Uelekeo wa awamu ya sita unaonesha upo Kwa ajili ya kurekebisha yaliyofanyika awamu ya tano.

Inavyoonekana kulikuwa na "makosa" mengi sana yaliyokwisha fanyika awamu ya tano ambapo jukumu la kwanza kwa awamu ya sita ni kurekebisha makosa ya awamu iliyopita.

Ukitazama safu ya uongozi katika awamu ya sita na tano haitofautiani sana.

Je, awamu ya sita inajificha nyuma ya kivuli Cha awamu ya Tano?

Je, ni rahisi Kwa awamu ya sita kubakia na clean file?

Je, ni lini hasa tutaona awamu ya sita ikifanya mambo yake bila kuyagusa yale ya awamu iliyopita? Inawezekana?

Je, ni lazima kwamba Kila jambo la awamu ya Tano libadiliashwe?

Je, Kila jambo lililofanyika awamu ya Tano lilikuwa baya?

Naamini awamu ya Saba ikifika yatashuhudiwa mengi ya awamu ya sita kama tulivyoona awamu ya tano Kwa ya sita.

Upanga ule ule unaotumika awamu ya SITA kuichinja awamu ya tano, unawezekana kutumika awamu ya Saba kuichinja awamu ya SITA.
Tuliza ball Statesman. Hata awamu ya tano ilikuwa busy kubonyeza undo button ya mambo ya awamu ya nne. Ndiyo maisha yalivyo, asiyekuwepo na lake halipo.
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu duniani atapigia kura umagufulification wenu huo.

Watanzania hawako tayari kuongozwa na utawala wa kinyama tena.

Uzuri Mungu katuokoa na huo ushenzi.

Never Never Never again.
Bro time will tell the new version of magufuli is on the wey
 
Aliongoza nchi katika uhalisia kwa vitendo na maneno hakuwa muumini wa polifix hio ndo shida muulize mwanao raisi wa Tanzania ni nani atamtaja mwamba wa africa alijaa kwenye mioyo ya watu amekufa kwa heshima hayupo lakini anaishi pamoja nasi
Mioyo ya wengi ?
 
Kwanza hongera sana kwa kujua kuna makosa yanarekebishwa
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
Ndo utumbo uliofikiria kuandika.. Ccm mnatesekaje..[emoji23][emoji23]
 
Mioyo ya wengi ?
Yes ukiwepo moyo wako mkuu najua ukikaa peke yako unashukuru maisha ya jpm kwa siri lakini amini nakwambia yote yanayofanyika sirini yatajulikana siku moja
 
Ingewapa tabu sana wao kupata political will from the voters wasipofanya hii kitu kwakua jamaa ameacha alama kubwa mnoo
Mauaji na Mateso ni alama kubwa sana kwa wanadamu hayo ndiyo unataka yatumike kama agenda ya kutafutia kura ?
 
Yani katika watu hawana akili ni pamoja na wewe mkuu samahani kwa kutumia lugha nzito kidogo, naomba nisamehe mkuu ila kama umefanya tafiti hakuna raisi wa ajabu kuwahi kutokea kama huyu mama na kama CCM wakijiloga wampitishe 2025 nakwambia wapinzani wakija na agenda ya magufulification hata wakiweka jiwe la pembeni likilokataliwa na waashi Watanzania watalipigia kura angalia anavyotapatapa kwenye covid19 legacy aliyoacha hayati baba wa taifawa pili(magufuli JPM) ni kubwa mnoo angalia anavyosimangwa kwa kudanganya tanzania ina corona leo watu hawamuelewi anatakiwa alipe mishahara ya mwezi huuasituletee mambo ya ajabu kiufupi akina zitto wanamuangalia tuu wakianza kutupa mabomu msianze kusema kwakua ni mwanamke.
Wajinga kama wewe bado wengi,ona matakataka uliyoandika
 
Back
Top Bottom