Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Qur'an ndio kitabu cha Dini nilichojifunza, vyengine kama Bible nimenyapianyapia tu

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Kama quraan inasema eden ilikuwa mbinguni na bibilia inasema ilikuwa duniani, alafu bado mnasema kuwa Mungu wa Bibilia ndo mungu wa quraan.OK
 
Dah nimekufatilia sana ila wacha nijaribu kwenda sawa na wewe mana naona kuna mambo hayako sawa tutayajadili
Source ambayo umefatilia ni ipi mkuu ikakuambia maneno hayo?
Source ambayo nimeitumia ni Qur'an ambacho tunaambiwa ndio kitabu cha mwisho kilichokamilika na kukusanya maneno ya vitabu vyote vitatu (Taurati, Injili, na Zaburi) na kufuatilia nukuu za mtume wa mwisho ambaye ni Muhammad
 
Source ambayo nimeitumia ni Qur'an ambacho tunaambiwa ndio kitabu cha mwisho kilichokamilika na kukusanya maneno ya vitabu vyote vitatu (Taurati, Injili, na Zaburi) na kufuatilia nukuu za mtume wa mwisho ambaye ni Muhammad
Sasa mkuu naomba uniambie ni sehsmu gani kwenye quran inasema walishushwa saudia mkuu?
 
Swali hilo ungewauliza wale wanaotuambia tusome badala ya kusimuliwa....
Mkuu uliposema "kuna watu hawajui kusoma wala kuandika je hayo mambo ya kiimani wangeyajuaje?"

Uliposema kauli hiyo ulikusudia nini mkuu?
Labda tuulize hivyo
 
Sasa mkuu naomba uniambie ni sehsmu gani kwenye quran inasema walishushwa saudia mkuu?
Nimesema walikutana Saudia sio kushushwa, kushushwa kila mmoja alishushwa kwake
 
Kama quraan inasema eden ilikuwa mbinguni na bibilia inasema ilikuwa duniani, alafu bado mnasema kuwa Mungu wa Bibilia ndo mungu wa quraan.OK
Mkuu sisi wengine hatusemi hivyo kwa mujibu wa hoja zetu sahihi,labda watu wa mitaani tu wasioelewa lolote .

Unaposema tunasema jua sio wote labda baadhi tu
 
Qur'an ndio kitabu cha Dini nilichojifunza, vyengine kama Bible nimenyapianyapia tu

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Umesoma Quran wewe? rudi tena Madrassa.... Maana katika uisilam hakuna Malaika Mkosefu. Malaika hawamkosei Mungu wala hawapingi amri ya Mungu.
 
Umesoma Quran wewe? rudi tena Madrassa.... Maana katika uisilam hakuna Malaika Mkosefu. Malaika hawamkosei Mungu wala hawapingi amri ya Mungu.
Ibilisi alikuwa malaika kabla ya kumkosea mungu. Bishaa
 
Ndo nipate hizo reejea ulizosoma ni wapi mkuu
Okay, mi sio mmezaji wa aya kujua ni aya gani ila hayo ndio ninayoyajua. Hatupo hapa kubishana bali ni kueleweshana sasa hebu kama nipo tofauti eleza ukweli wako unavyojua wewe ili tupime kama upo sahihi kuhusu ilikuwaje Adam na Hawa walitolewa Eden na hiyo Eden ipo Mbinguni au huku Duniani?
Kwako mkuu Abuhafsa
 
Ibilisi alikuwa malaika kabla ya kumkosea mungu. Bishaa
Mkuu ibilisi hakuwa malaika kwa mujibu wa quran alikuwa katika majini tu kama inavothibitisha quran yenyewe.

Mkuu uislamu ukitumia kufikiri sana pasi na kusoma utaangukia pua tu ndyo mana jamaa wengi wanaanguka na kuidharau dini yao kwa sababu ya kutokuisoma wanaona haieleweki.

Ibilisi hakuna malaika mkuu bali alikuwa katika majini rejeaa

وَإِذْ قُلْنَا لِلْمَلَائِكَةِ اسْجُدُوا لِآدَمَ فَسَجَدُوا إِلَّا إِبْلِيسَ كَانَ مِنَ الْجِنِّ فَفَسَقَ عَنْ أَمْرِ رَبِّهِ ۗ

[ AL - KAHF - 50 ]
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi...)
 
Umesoma Quran wewe? rudi tena Madrassa.... Maana katika uisilam hakuna Malaika Mkosefu. Malaika hawamkosei Mungu wala hawapingi amri ya Mungu.
Dah jamaa kanishangaza sana wallah,miongoni mwa kujadilmisingi ya kujadili jambo lazima kwanza ujue hilo jambo na misingi yake,sasa jamaa anataka kujadili kwa ufasaha(kama anavosema)kuhusu quran ilhali hajaijua bado lazima ataharibu tu.
 
Okay, mi sio mmezaji wa aya kujua ni aya gani ila hayo ndio ninayoyajua. Hatupo hapa kubishana bali ni kueleweshana sasa hebu kama nipo tofauti eleza ukweli wako unavyojua wewe ili tupime kama upo sahihi kuhusu ilikuwaje Adam na Hawa walitolewa Eden na hiyo Eden ipo Mbinguni au huku Duniani?
Kwako mkuu Abuhafsa
Tatizo mkuu ujinga ndo tatizo,samahani kama nakutukana ila sikuona neno lingine la kuweka hapo linalokustahiki kwa kuingilia sehemu nyeti kama hizo mkuu. Samahani sana kukuita mjinga(katika suala hilo)

Pili niseme kwamba hakuna aya inayosema walikutana saudia na nina hakika hujasoma quran ile maarufu(labda kuna ingine) sijui umetunga kichwani ama umeyatoa wapi nashindwa kuelewa kabisa yani

Ilikuwa useme tu ulikotoa hayo maandiko yako mabovu yenye uongo mwingi(nakuwa mkali kwa sababu unaongea pasi na elimu jambo ambalo ni baya sana)

Sipo kubishana ila lazima tudai marejeo kwa sababu imeisingizia quran uongo jambo ambalo ni ovu sana pia.

Unataka nielezee ukweli wangu kupitia kitabu changu cha imani(quran) ama nitumie utashi wa akili tu kama unavotumia wewe mkuu?
 
Tatizo mkuu ujinga ndo tatizo,samahani kama nakutukana ila sikuona neno lingine la kuweka hapo linalokustahiki kwa kuingilia sehemu nyeti kama hizo mkuu. Samahani sana kukuita mjinga(katika suala hilo)

Pili niseme kwamba hakuna aya inayosema walikutana saudia na nina hakika hujasoma quran ile maarufu(labda kuna ingine) sijui umetunga kichwani ama umeyatoa wapi nashindwa kuelewa kabisa yani

Ilikuwa useme tu ulikotoa hayo maandiko yako mabovu yenye uongo mwingi(nakuwa mkali kwa sababu unaongea pasi na elimu jambo ambalo ni baya sana)

Sipo kubishana ila lazima tudai marejeo kwa sababu imeisingizia quran uongo jambo ambalo ni ovu sana pia.

Unataka nielezee ukweli wangu kupitia kitabu changu cha imani(quran) ama nitumie utashi wa akili tu kama unavotumia wewe mkuu?
Asante mkuu inabidi niwe mpole ili nione werevu wako ktk swala hili ili na Mimi nije kukuita Mjinga huko mbele.
Haya nieleze kwa utashi wako tumia evidence zozote ili mradi uwe ktk maelezo yenye mtiririko na kueleweka
 
Asante mkuu inabidi niwe mpole ili nione werevu wako ktk swala hili ili na Mimi nije kukuita Mjinga huko mbele.
Haya nieleze kwa utashi wako tumia evidence zozote ili mradi uwe ktk maelezo yenye mtiririko na kueleweka
Kwa mujibu wa quran nabii adam alipoumbwa akaja umbwa na hawa walikaakatika bustani za peponi wakiwa tayari mtu na mkewe.

Kisha walipoasi jambo ambalo waliambiwa wasiukaribie mti fulani huko kattika bustani za pepo,shetani akawapa mawazo mabaya wakaasi ile amri ya mola wao.

Kisha badala ya hapo Allah akawaleta duniani maisha yakaendelea..

Kwa ufupi iko hvyo
 
Back
Top Bottom