Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Jamaa kauliza tulikuja kimakosa au nimipango ya mungu??

Mkuu tafakar kwa fikra huru swali lake USIJIBANE KWEMYE IMAN

NAMI N MMOJA WAPO NAPATA SHIDA SANA NA HAYA MAANDIKO
Mkuu hata kutokuamini maandiko pia ni imani nayo ,kwa hvyo tutasema ni imani ya kutoyaamini maandiko.

Kitu imani kinapokuwepo lazima kuwepo na kitu hukiamini kinyume yake.mfano

Naamini kufufuliwa kinyume chake hauamini kama hatutofufuliwa

Naamini ukila haufi njaa kinyume chake hauamini kwamba kutokula hakutokufanya ufe

Naamini kwamba makontena ya makonda ni magendo kinyume chake siamini kama makontena ya makonda ni mali halali.

Kwa hvyo mkuu ukisema mimi najifunga katika imani ya kuamini maneno ya dini basi hata wewe umejifunga katika imani ya kutoyaamini maneno ya dini na kuyatilia mashaka.

Sasa hata na wewe mbona umejibana katika imani yako hiyo mkuu?

Kuhusu kuja duniani hatukuja kimakosa bali Mungu ndo alisema anataka amlete katika ardhi mtawala(duniani)

Sasa utasemaje tulikuja kimakosa au laa wakati mambo yako wazi mkuu?????

Narudia hatukuja duniani kimakosa kwa sababu Mungu alishasema

Narudia Hatukuja duniani kimakosa kwa sababu Mungu alishasema.
 
Wewe unaelewa mkuu??
Nakuambia nipe vigezo ambavyo wewe una vizingatia kwamba ni ushahidi unaoaminika kwako wewe ili tuitizame hiyo quran kama imekidhi hivyo vigezo ambavyo unavitaka wewe.
Lazima tukubaliane kwanza na tujue mwenzetu ushahidi ni kwa kuwa quran imesema(kama sisi) au hata hayo maneno yenyewe ukipewa utaanza kuyarusha mara ilikuwa hivi ikawa vile na hivi..

Weka hivyo vigezo ambavyo wewe unavizingaatia kama uthibitisho wa kukunaisha na hoja fulani,au unadai jambo kisha hujui vigezo vya unalolidai?

Weka vigezo au lasivyo uniambie kwamba unaiamini quran inaposema hapo ndo itakuwa ni kigezo utapewa aya ila juu juu wataka alafu ukiletewa usnze propaganda za hap na pale?

Narudia mkuu tuwekee vigezo kwanzaa



Mkuu unashangaza sana!!, Qur'an ni maneno ya Allah,unapotaka mimi nitoe vigezo hiyo itakuwa mimi kama naikosoa Qur'an jambo ambalo ni kama kumpangia Mungu aseme nini kitu ambacho mimi siwezi labda wewe unaweza unaweza kufanya hiyo dhambi.

Kile ambacho ninachoona ni wewe kushindwa kuzielewa vyema aya za Qur'an zinazomzungumzia Nabii Adam (as), na ninapenda ufahamu kuwa aya za Qur'an zinasaidiana katika kuifasiri Qur'an na ndiyo maana ukisoma aya kadhaa za Qur'an utaona zinaeleza kila nabii (mtume) alikuwa na Qaumu yake, yaani huwezi kumtenganisha Nabii na Qaumu yake, hivyo kwanza ni LAZIMA QAUMU IWEPO NDIPO AJE NABII/MTUME KUIONYA HIYO QAUMU--sasa kama,(na ndivyo ilivyo) Adamu (as) ni nabii kwanini asiwe na Qaumu iliyomtangulia ?? (hiyo ni Kulingana na Qur'an).

Adam (as) alikuwa ni mtu wa kwanza kupokea ufunuo wa kinabii kwa ajili ya watu wake (Qaumu) hivyo yeye alikuwa ni nabii wa mwanzo kabisa kutumwa na Mungu hapa duniani katika hii "cycle yetu", kwa maneno mengine yeye alikuwa ni mtu wa kwanza KUUMBWA KIROHO na wala HAKUWA mtu wa kwanza kuumbwa kimwili.

Ukiangalia historia utaona Adam (as) aliishi takribani miaka 6,000 na ushee iliyopita, lakini duniani mafuvu ya watu walioishi millioni ya miaka bado yanafukuliwa hadi leo hata hapa TZ fuvu la mtu wa kale lenye umri wa miaka milioni moja lilifukuliwa na Dr, Leakey Katika Oldivai Gorge (Zinjanthropus Boisei). Sasa angalia utofauti kati ya miaka hiyo na miaka ya Nabii Adam (as).

Sasa lete aya za Qur'an ili tuone pale ambapo utakuwa hujazielewa.

Angalia aya zinazosema juu ya kila umma (Qaumu) kuletewa mtume/ nabii mfano;. 16:36, 10:47, nk.
 
Mkuu unashangaza sana!!, Qur'an ni maneno ya Allah,unapotaka mimi nitoe vigezo hiyo itakuwa mimi kama naikosoa Qur'an jambo ambalo ni kama kumpangia Mungu aseme nini kitu ambacho mimi siwezi labda wewe unaweza unaweza kufanya hiyo dhambi.

Kile ambacho ninachoona ni wewe kushindwa kuzielewa vyema aya za Qur'an zinazomzungumzia Nabii Adam (as), na ninapenda ufahamu kuwa aya za Qur'an zinasaidiana katika kuifasiri Qur'an na ndiyo maana ukisoma aya kadhaa za Qur'an utaona zinaeleza kila nabii (mtume) alikuwa na Qaumu yake, yaani huwezi kumtenganisha Nabii na Qaumu yake, hivyo kwanza ni LAZIMA QAUMU IWEPO NDIPO AJE NABII/MTUME KUIONYA HIYO QAUMU--sasa kama,(na ndivyo ilivyo) Adamu (as) ni nabii kwanini asiwe na Qaumu iliyomtangulia ?? (hiyo ni Kulingana na Qur'an).

Adam (as) alikuwa ni mtu wa kwanza kupokea ufunuo wa kinabii kwa ajili ya watu wake (Qaumu) hivyo yeye alikuwa ni nabii wa mwanzo kabisa kutumwa na Mungu hapa duniani katika hii "cycle yetu", kwa maneno mengine yeye alikuwa ni mtu wa kwanza KUUMBWA KIROHO na wala HAKUWA mtu wa kwanza kuumbwa kimwili.

Ukiangalia historia utaona Adam (as) aliishi takribani miaka 6,000 na ushee iliyopita, lakini duniani mafuvu ya watu walioishi millioni ya miaka bado yanafukuliwa hadi leo hata hapa TZ fuvu la mtu wa kale lenye umri wa miaka milioni moja lilifukuliwa na Dr, Leakey Katika Oldivai Gorge (Zinjanthropus Boisei). Sasa angalia utofauti kati ya miaka hiyo na miaka ya Nabii Adam (as).

Sasa lete aya za Qur'an ili tuone pale ambapo utakuwa hujazielewa.

Angalia aya zinazosema juu ya kila umma (Qaumu) kuletewa mtume/ nabii mfano;. 16:36, 10:47, nk.
Sasa hapa ndipo nilikuwa napataka haswa,kwa sababu hakuna anaeiamini quran alafu akasema adam sio nabii wa kwanza.huyo atakuwa hajaiamini qurani bali anaisoma kwa matamanio yake tu.

Kama unakubali ni maneno ya Allah maana yake huna shaka kabisa na quran ila huwenda tu utafsiriji ukawa unatafsiri vile navoona wewe ni sawa ok twende sawa sasa

Kwanza kabisa nataka unitolee katika quran kwamba huyu nabii adam huyu ilikuwa kuna watu wamemtangulia kuumbwa kabla yake,.

Unapotoa hoja kwamba "LAZIMA QAUMU IWEPO KISHA AJE NABII" nataka uniambie kwamba ULAZIMA HUU WA KWAMBA LAZIMA WATANGULIE QAUMU KISHA WAJE MANABII. Umeutoa katika aya ipi ?

Kwa sababu hakuna aya inayosema ni lazima eti itangulie qaumu kisha ndo aje mtume.

Kwa sababu hata nabii adam alikuwa nabii kwa qaumu yake ambayo yeye ndo muanzilishi,sasa unaposema kwamba lazima ianze qaumu ndo aje nabii unakusudia kwamba NABII HAWEZI KUWALINGANIA WALE AMBAO WAMEMKUTA YEYE DUNIANI??

kama anaweza vipi nabii adam asiwe nabii kwa wale waliomkuta?

Kama hawezi unataka kutuambia MANABII WALIOTANGULIA SISI HAWATUHUSUMPAKA ASHUKE WETU??


Alafu pia hayo mambo ya mafuvu ya miaka 6000 sijui na nini mimi huwa siwezi kuyaamini kama tu yanaenda kinyume na maandiko ya uislamu.

Kwa sababu katika mambo ambayo nayaamini kidini kama haya ya nabii adam USHAHIDI WANGU NI QURAN NA NDYO MANA WEWE NILIKUULIZA USHAHIDI WAKO UNAUZINGATIA VIGEZO GANI?

SI UNAONA UNANIPELEKA KWAWANASAYANSI WAKATI MIMI NILISHAKUAMBIA HUKO SIKO MAREJEO YANGU MKUU?

ndo nikasema kwamba niambie vigezo vya ushahidi wako mara oooh iwezi mpangia mungu,sasa mbona unmpangia kupitia hyo mahesabu yako?

Mimi nasema tena marejeo yangu ni qurani,na wewe umeshasema marejeo yako ni quran kw mana huwezi mpangia mungu na hauko tayri kufanya dhambi hiyo,HAYA SASA DOCTA LEAKY ANAKUJAJE KWENYE MAMBO YA KIIMANI?

alafu niambie tena ni wapi katika quran(marejeo yetu)ambapo panasema nabii adam aliishi miaka 6000 iliyopita?

Tuanzie hapo kwnza
 
Sasa hapa ndipo nilikuwa napataka haswa,kwa sababu hakuna anaeiamini quran alafu akasema adam sio nabii wa kwanza.huyo atakuwa hajaiamini qurani bali anaisoma kwa matamanio yake tu.

Kama unakubali ni maneno ya Allah maana yake huna shaka kabisa na quran ila huwenda tu utafsiriji ukawa unatafsiri vile navoona wewe ni sawa ok twende sawa sasa

Kwanza kabisa nataka unitolee katika quran kwamba huyu nabii adam huyu ilikuwa kuna watu wamemtangulia kuumbwa kabla yake,.

Unapotoa hoja kwamba "LAZIMA QAUMU IWEPO KISHA AJE NABII" nataka uniambie kwamba ULAZIMA HUU WA KWAMBA LAZIMA WATANGULIE QAUMU KISHA WAJE MANABII. Umeutoa katika aya ipi ?

Kwa sababu hakuna aya inayosema ni lazima eti itangulie qaumu kisha ndo aje mtume.

Kwa sababu hata nabii adam alikuwa nabii kwa qaumu yake ambayo yeye ndo muanzilishi,sasa unaposema kwamba lazima ianze qaumu ndo aje nabii unakusudia kwamba NABII HAWEZI KUWALINGANIA WALE AMBAO WAMEMKUTA YEYE DUNIANI??

kama anaweza vipi nabii adam asiwe nabii kwa wale waliomkuta?

Kama hawezi unataka kutuambia MANABII WALIOTANGULIA SISI HAWATUHUSUMPAKA ASHUKE WETU??


Alafu pia hayo mambo ya mafuvu ya miaka 6000 sijui na nini mimi huwa siwezi kuyaamini kama tu yanaenda kinyume na maandiko ya uislamu.

Kwa sababu katika mambo ambayo nayaamini kidini kama haya ya nabii adam USHAHIDI WANGU NI QURAN NA NDYO MANA WEWE NILIKUULIZA USHAHIDI WAKO UNAUZINGATIA VIGEZO GANI?

SI UNAONA UNANIPELEKA KWAWANASAYANSI WAKATI MIMI NILISHAKUAMBIA HUKO SIKO MAREJEO YANGU MKUU?

ndo nikasema kwamba niambie vigezo vya ushahidi wako mara oooh iwezi mpangia mungu,sasa mbona unmpangia kupitia hyo mahesabu yako?

Mimi nasema tena marejeo yangu ni qurani,na wewe umeshasema marejeo yako ni quran kw mana huwezi mpangia mungu na hauko tayri kufanya dhambi hiyo,HAYA SASA DOCTA LEAKY ANAKUJAJE KWENYE MAMBO YA KIIMANI?

alafu niambie tena ni wapi katika quran(marejeo yetu)ambapo panasema nabii adam aliishi miaka 6000 iliyopita?

Tuanzie hapo kwnza



Nilikuwa sijui najadiliana na mtu wa "calibre" ipi, sasa ndiyo nimejua, katika Islamu kuna somo la tarkh yaani Historia na wala siyo dhambi kujifunza historia kwa minajili ya kujifunza uislamu na mambo mengineyo.

Pia katika kujifunza sayansi ndipo tunaweza kujua undani wa utukufu wa maumbile (viumbe wa Allah).

Narudia kauli yangu kuwa; Nabii Adam (as) alikuwa nabii wa kwanza kuletwa duniani kuja kuifundisha qaumu yake (aliyoikuta) kutambua umoja wa Allah (tauheed). Hivyo nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa kiroho katika qaumu yake lakini hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa kimwili. Hapa lazima ujue tofauti kati ya kuumbwa kiroho na kuumbwa kimwili.

Unauliza eti, wapi imeandikwa kwamba ni lazima kwanza ije Qaumu halafu mtume afuate??, hii inaonyesha hata kazi za mitume na manabii huzijui!! na ndiyo maana unashikilia kwamba Nabii Adamu alikuwepo kabla ya kuwepo kwa Qaumu yake.

Angalia hii aya, miongoni mwa aya nilizokupa;

" Na kwa hakika KILA UMMA tuliutumia mtume kwamba muabuduni Allah na mumuepuke shetani------ (An nahl:36)

Umeona hapo maneno "KILA UMMA". Kwa kauli hiyo ya Allah ni wazi mtume Adam (as) naye alitumwa kwa umma wake yaani umma ulikuwepo ndipo akatumwa kuueleza juu ya kumuabudu Allah na kumuepuka shetani na hii ni sunna kwa manabii WOTE.

Itakuwa ni jambo la kushangaza eti aje mtume (muonyaji) halafu ndiyo wanaoonywa wafuatie nyuma yake. Nitaomba unithibitishie hilo kwamba Adam (as) alikuwepo kabla ya qaumu yake.
 
Nilikuwa sijui najadiliana na mtu wa "calibre" ipi, sasa ndiyo nimejua, katika Islamu kuna somo la tarkh yaani Historia na wala siyo dhambi kujifunza historia kwa minajili ya kujifunza uislamu na mambo mengineyo.

Pia katika kujifunza sayansi ndipo tunaweza kujua undani wa utukufu wa maumbile (viumbe wa Allah).

Narudia kauli yangu kuwa; Nabii Adam (as) alikuwa nabii wa kwanza kuletwa duniani kuja kuifundisha qaumu yake (aliyoikuta) kutambua umoja wa Allah (tauheed). Hivyo nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa kiroho katika qaumu yake lakini hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa kimwili. Hapa lazima ujue tofauti kati ya kuumbwa kiroho na kuumbwa kimwili.

Unauliza eti, wapi imeandikwa kwamba ni lazima kwanza ije Qaumu halafu mtume afuate??, hii inaonyesha hata kazi za mitume na manabii huzijui!! na ndiyo maana unashikilia kwamba Nabii Adamu alikuwepo kabla ya kuwepo kwa Qaumu yake.

Angalia hii aya, miongoni mwa aya nilizokupa;

" Na kwa hakika KILA UMMA tuliutumia mtume kwamba muabuduni Allah na mumuepuke shetani------ (An nahl:36)

Umeona hapo maneno "KILA UMMA". Kwa kauli hiyo ya Allah ni wazi mtume Adam (as) naye alitumwa kwa umma wake yaani umma ulikuwepo ndipo akatumwa kuueleza juu ya kumuabudu Allah na kumuepuka shetani na hii ni sunna kwa manabii WOTE.

Itakuwa ni jambo la kushangaza eti aje mtume (muonyaji) halafu ndiyo wanaoonywa wafuatie nyuma yake. Nitaomba unithibitishie hilo kwamba Adam (as) alikuwepo kabla ya qaumu yake.
Sasa mkuu naomba niwaingilie kidogo maana nilikuwa nawafuatilia tu....
Unaposema Adam sio binaadam wa kwanza kuumbwa huyo binaadam wa kwanza kuumbwa ni nani na aliumbwa kwa mfumo gani?....
Tunaambiwa kwamba Jibril ndie alietumwa Udongo na mungu ili aweze kuumbwa mwanaadam ambaye ataitawala Dunia ndio akaumbwa Adam (as) na bi Hawa akatoka maungoni mwa Adam na mtiririko wa kuzaliana ukaanzia hapo sasa unaposema Adam hakuwa binaadam wa kwanza unatuchanganya....
 
Nilikuwa sijui najadiliana na mtu wa "calibre" ipi, sasa ndiyo nimejua, katika Islamu kuna somo la tarkh yaani Historia na wala siyo dhambi kujifunza historia kwa minajili ya kujifunza uislamu na mambo mengineyo.

Pia katika kujifunza sayansi ndipo tunaweza kujua undani wa utukufu wa maumbile (viumbe wa Allah).

Narudia kauli yangu kuwa; Nabii Adam (as) alikuwa nabii wa kwanza kuletwa duniani kuja kuifundisha qaumu yake (aliyoikuta) kutambua umoja wa Allah (tauheed). Hivyo nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa kiroho katika qaumu yake lakini hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa kimwili. Hapa lazima ujue tofauti kati ya kuumbwa kiroho na kuumbwa kimwili.

Unauliza eti, wapi imeandikwa kwamba ni lazima kwanza ije Qaumu halafu mtume afuate??, hii inaonyesha hata kazi za mitume na manabii huzijui!! na ndiyo maana unashikilia kwamba Nabii Adamu alikuwepo kabla ya kuwepo kwa Qaumu yake.

Angalia hii aya, miongoni mwa aya nilizokupa;

" Na kwa hakika KILA UMMA tuliutumia mtume kwamba muabuduni Allah na mumuepuke shetani------ (An nahl:36)

Umeona hapo maneno "KILA UMMA". Kwa kauli hiyo ya Allah ni wazi mtume Adam (as) naye alitumwa kwa umma wake yaani umma ulikuwepo ndipo akatumwa kuueleza juu ya kumuabudu Allah na kumuepuka shetani na hii ni sunna kwa manabii WOTE.

Itakuwa ni jambo la kushangaza eti aje mtume (muonyaji) halafu ndiyo wanaoonywa wafuatie nyuma yake. Nitaomba unithibitishie hilo kwamba Adam (as) alikuwepo kabla ya qaumu yake.
Kwanza kabisa suala la تاريخ (historia ya kiislamu)ndio lipo na sio dhambi kujifunza,na labda kwa taarifa yako tu hao wataalamu wa historia wakutegemewa katika uislamu hakuna hata mmoja alietoa historia ya kwamba nabii adamu hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
kwa hvyo hoja ya taariykh wala huwezi kuitumia katika mpenyo wako huo kwa sababu itapingana na wewe wazi wazi kabisa juu ya madai yako.

Suala la kujifunza sayansi ni kweli ndio linatufanya tujue undani wa maumbile(البطنية )kwa maana undani wakena sio الظهرية ule udhaahir wake.ninachokusudia ni kwamba suala la kisayansi na kiimani ni tofauti kabisa.
Tunaposema nabii adam kaumbwa mwanzo tunakusudia ni jambo la kiimani na ni jambo la nje ya mwili na wala hatuuzungumzii huo mwili uliumbwaje umbwaje bali tunazungumzia huo mwili uliumbwa lini,na hapo anayetakiwa kusema ni mwenye aliyeumba,sasa unapochanganya suala la kiimani na kisayansi inadhihiri kwamba hujui mipaka ya sayansi katika mambo ya kiimani,kwa sababu sayansi haikubali uwepo wa mungu na wala hutofundishwa kuhusu mungu katika masomo ya sayansi,sasa unataka tuifate sayansi kuthibitisha kutowepo kwa mungu?

Ndo mwanzo nikasema wewe bwana unatakiwa ulete hapa vigezo vyako unavyoviona vinakidhi kuwa ushahidi ila ukavunga vunga kujifanya unaamini quran,lakini mwisho wa siku Tutamuona farasi baada ya vumbi kuisha.

Unaposema nabii Adam (عليه السلام)alikuwa nabii wa kwanza kuletwa duniani kuja kuifunza qaumu yake.: huu ni uzushi wa kwanza umemzushia Allah kwa sababu hakuna andiko linasema Nabii adam alitumwa kwa ajili ya qaumu ambayo ilishakuwepo mwanzo jambo hilo ni kuwa umerejea katika dhambi ile ile ambayo umeikimbia ya kumsingizia Mola uongo.

Alafu pia NIPE TOFAUTI YA KUUMBWA KIMWILI NA KIROHO KWA MUJJIBU WA QURAN NI IPI TOFAUTI? Sitaki propaganda za kutoa kichwani nataka kwa mujibu wa qurani tofauti hiyo ni ipi?

Naendelea..

Alafu kinachokushangaza ni kitu gani kuhusu kuja Nabii kwanza kabla ya qaumu na ilhali lengo la Nabii ni kuwaonya watu na kuwaelekeza katika njia ya sawa,sasa wewe unataka umfanye Mola kwamba mpaka akiona watu wanakosea ndo atume Mjumbe sio?sasa Nabii adam alitumwa sio kwa sababu ya makosa ya watu bali alitumwa ili hao atakaowazaa awaelekeze njia ya sawa,na huo ndio uadilifu,

Yani Mungu hatupi asitume mjumbe mpaka watu wakosee kwanza?teheheheh ama kweli الجنون فنون
(huu uwendawazimu upo namna nyingi)

Ndo nikakuuliza katika post za nyuma jee
HAIWEZEKANI KUANZA KUJA NABII KABLA YA QAUMU?

kama anaweza vipi nabii adam asiwe nabii kwa wale waliomkuta?

Kama hawezi unataka kutuambia MANABII WALIOTANGULIA SISI HAWATUHUSUMPAKA ASHUKE WETU??

Nataka majibu.


Ama tukija katika aya ambayo umeitoa ya suratul Nahlوَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ ۖ

(AN NAH'L - 36)
Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani.

Haya sasa wapi aya imeonyesha kwamba Ulianza umma kisha akaja nabii Adam ili akawaonye?wakati aya imekuja kwa العموم imekuja kwa ujumla na wala haikuja بالخصوص haikuja kwa umaalum,

Hii aya inaonnyesha kwamba lengo la kutumwa Mtume ni Kuwa akawaonye watu,na wala hakuna sharti kwamba akitumwa akawakute watu huko kisha aanze kuwalingania na hata aya haina mafhumu hayo,kwa sababu wewe unataka ujaalie neno"kila umma"kwamba uanze huo umma kisha aje Mjumbe wakati neno kila Umma maana yake ni kwamba hakuna umma ambao hauna Mtume hata huu umma wetu pia una Mtume hata kama alishaondoka,au MTUME MUHAMMAD(S.AW)HATUHUSU KWA KUWA SISI TUMEKUJA BAADA YAKE?


.sasa swali linarudia katika munasaba huu jeee BABA HANA UHURU WA KUMUONYA MWANAWE KWA KUWA YEYE MTOTO NDO KAMKUTA BABA?

AU ANA UWEZO WA KUMUONYA NA KUMFUNDISHA NJIA YA SAWAHATA KAMA AWE BABA NDO KATANGULIA?
 
Nilikuwa sijui najadiliana na mtu wa "calibre" ipi, sasa ndiyo nimejua, katika Islamu kuna somo la tarkh yaani Historia na wala siyo dhambi kujifunza historia kwa minajili ya kujifunza uislamu na mambo mengineyo.

Pia katika kujifunza sayansi ndipo tunaweza kujua undani wa utukufu wa maumbile (viumbe wa Allah).

Narudia kauli yangu kuwa; Nabii Adam (as) alikuwa nabii wa kwanza kuletwa duniani kuja kuifundisha qaumu yake (aliyoikuta) kutambua umoja wa Allah (tauheed). Hivyo nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa kiroho katika qaumu yake lakini hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa kimwili. Hapa lazima ujue tofauti kati ya kuumbwa kiroho na kuumbwa kimwili.

Unauliza eti, wapi imeandikwa kwamba ni lazima kwanza ije Qaumu halafu mtume afuate??, hii inaonyesha hata kazi za mitume na manabii huzijui!! na ndiyo maana unashikilia kwamba Nabii Adamu alikuwepo kabla ya kuwepo kwa Qaumu yake.

Angalia hii aya, miongoni mwa aya nilizokupa;

" Na kwa hakika KILA UMMA tuliutumia mtume kwamba muabuduni Allah na mumuepuke shetani------ (An nahl:36)

Umeona hapo maneno "KILA UMMA". Kwa kauli hiyo ya Allah ni wazi mtume Adam (as) naye alitumwa kwa umma wake yaani umma ulikuwepo ndipo akatumwa kuueleza juu ya kumuabudu Allah na kumuepuka shetani na hii ni sunna kwa manabii WOTE.

Itakuwa ni jambo la kushangaza eti aje mtume (muonyaji) halafu ndiyo wanaoonywa wafuatie nyuma yake. Nitaomba unithibitishie hilo kwamba Adam (as) alikuwepo kabla ya qaumu yake.
Ama kuthibitisha kwamba nabii adamu alikuwepo kabla ya qaumu yake ni jambo halihitaji nguvu nyingi kwa sababu kuwa yeye ndo wa kwanza kuumbwa ni hoja tosha kwamba alikuwepo kabla ya watu wote(wanawe )

Jambo ambalo hujafahamu ni kuwa HATA BABA ANAKUWA NI KIONGOZI KWA WANAWE KWANZA,NA SIO KWA BABA ZAKE KWANNZA.

Unataka kutuambia kwamba baba hawezi kuwa kiongozi kwa watoto wake???
 
Sasa mkuu naomba niwaingilie kidogo maana nilikuwa nawafuatilia tu....
Unaposema Adam sio binaadam wa kwanza kuumbwa huyo binaadam wa kwanza kuumbwa ni nani na aliumbwa kwa mfumo gani?....
Tunaambiwa kwamba Jibril ndie alietumwa Udongo na mungu ili aweze kuumbwa mwanaadam ambaye ataitawala Dunia ndio akaumbwa Adam (as) na bi Hawa akatoka maungoni mwa Adam na mtiririko wa kuzaliana ukaanzia hapo sasa unaposema Adam hakuwa binaadam wa kwanza unatuchanganya....



Mkuu Abuusaid, hakuna ushahidi wowote kwamba nabii Adam (as) ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa ni watu tu wameshindwa kutofautisha kati ya nabii wa kwanza kutumwa na mtu wa kwanza kuumbwa, ushahidi uliopo unaonyesha Nabii Adam (as) alikuwa ni mtu wa kwanza kupata ufunuo kutoka kwa Mungu ili awapelekee qaumu yake na hivyo yeye alikuwa ni Nabii/mtume wa kwanza kuumbwa miongoni mwa mitume ila hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa.

Swali linalokuja ni hili je ni nani alikuwa mtu wa kwanza??, swali hili ni gumu kwa sababu ni sawa na kuuliza ngo'mbe wa kwanza kuumbwa alikuwa yupi??nk, je unaweza kutoa jibu hapo??.
 
Mkuu Abuusaid, hakuna ushahidi wowote kwamba nabii Adam (as) ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa ni watu tu wameshindwa kutofautisha kati ya nabii wa kwanza kutumwa na mtu wa kwanza kuumbwa, ushahidi uliopo unaonyesha Nabii Adam (as) alikuwa ni mtu wa kwanza kupata ufunuo kutoka kwa Mungu ili awapelekee qaumu yake na hivyo yeye alikuwa ni Nabii/mtume wa kwanza kuumbwa miongoni mwa mitume ila hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa.

Swali linalokuja ni hili je ni nani alikuwa mtu wa kwanza??, swali hili ni gumu kwa sababu ni sawa na kuuliza ngo'mbe wa kwanza kuumbwa alikuwa yupi??nk, je unaweza kutoa jibu hapo??.
Mkuu bado hoja zako nazipitia upande wa kuumeni.

LABDA katika hii coment nikuulize maana ya ufunuo umekusudia nini?

Alafu pili unaposema nabii Adam alitumwa kwa qaumu yake ni sawa,ila je alitumwa kwa qaumu iliyokuepo kabla yake?

Elewa kiswahili kwanza au kiarabu.
Unapoambiwa nimekutuma kwa watu wako na nimekutuma kwa watu kabla yako.

Kwani mwanangu ambae nimemzaa sio katika watu wangu ama ni katika watu wangu?
Jawabu kwa mwenye akili atasema ni katika watu wangu pia.

Ila jee mwanangu ni katika watu wa kabla yangu?
Jawabu kwa mwenye akili si katika watu wa kabla yangu,sasa nikisema nakutuma ukawaongoze watu wako mtoto haingii katika hao?

Alafu sasa kuna watu w kabla yako mfano baba na mama babu na wale wote waliokutangulia hawa ni watu wa kabla yako kwa sababu wametangulia duniani kabla yako,hivyo nikisema nakutuma kwa watu wa kabla yako bila shaka hawa pia wanaingia katika hao.

Sasa linapokuja suala la nabii adamu hapakusemmwa alitumwa kwa qaumu ambayo walikuwepo kabla yake,bali kwa qaumu yake ambayo yeye ataenda kuifundisha...

unataka kumfanya mungu hatumi mwalimu mpaka watu wapotee kwanza?
 
Shida sio yangu bali ni yako ambaye unataka kuhamishia huu mjadala kanisani,halafu nisome post zako za nyuma kuhusiana na suala lipi? maana mie nimetaka kujua tu kwako kwamba ni lipi au yapi yanayokufanya uone ukristo ni imani sahihi? Matokeo yake unaniambia nije kanisani sasa sijui unataka nije kuangalia miujiza!
Mkuu learn to read between lines,sijui kama unasoma ninachoandika au unajiandaa tu kunijibu,nimesema mengine siwezi kuyaandika hapa.Unahitaji kuujua ukweli njoo utajibiwa maswali yako,kama unaona ni shida wapo wengi wenye uhitaji wamekuja wamejibiwa na wanaendelea na safari ya kwenda mbinguni.Kuna mambo yanafaa kuandikwa hapa na mengine hayafai,si lazima unielewe muda huu,unaweza nielewa hata baada ya wiki ,mwezi au mwaka.
 
Kwanza kabisa suala la تاريخ (historia ya kiislamu)ndio lipo na sio dhambi kujifunza,na labda kwa taarifa yako tu hao wataalamu wa historia wakutegemewa katika uislamu hakuna hata mmoja alietoa historia ya kwamba nabii adamu hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
kwa hvyo hoja ya taariykh wala huwezi kuitumia katika mpenyo wako huo kwa sababu itapingana na wewe wazi wazi kabisa juu ya madai yako.

Suala la kujifunza sayansi ni kweli ndio linatufanya tujue undani wa maumbile(البطنية )kwa maana undani wakena sio الظهرية ule udhaahir wake.ninachokusudia ni kwamba suala la kisayansi na kiimani ni tofauti kabisa.
Tunaposema nabii adam kaumbwa mwanzo tunakusudia ni jambo la kiimani na ni jambo la nje ya mwili na wala hatuuzungumzii huo mwili uliumbwaje umbwaje bali tunazungumzia huo mwili uliumbwa lini,na hapo anayetakiwa kusema ni mwenye aliyeumba,sasa unapochanganya suala la kiimani na kisayansi inadhihiri kwamba hujui mipaka ya sayansi katika mambo ya kiimani,kwa sababu sayansi haikubali uwepo wa mungu na wala hutofundishwa kuhusu mungu katika masomo ya sayansi,sasa unataka tuifate sayansi kuthibitisha kutowepo kwa mungu?

Ndo mwanzo nikasema wewe bwana unatakiwa ulete hapa vigezo vyako unavyoviona vinakidhi kuwa ushahidi ila ukavunga vunga kujifanya unaamini quran,lakini mwisho wa siku Tutamuona farasi baada ya vumbi kuisha.

Unaposema nabii Adam (عليه السلام)alikuwa nabii wa kwanza kuletwa duniani kuja kuifunza qaumu yake.: huu ni uzushi wa kwanza umemzushia Allah kwa sababu hakuna andiko linasema Nabii adam alitumwa kwa ajili ya qaumu ambayo ilishakuwepo mwanzo jambo hilo ni kuwa umerejea katika dhambi ile ile ambayo umeikimbia ya kumsingizia Mola uongo.

Alafu pia NIPE TOFAUTI YA KUUMBWA KIMWILI NA KIROHO KWA MUJJIBU WA QURAN NI IPI TOFAUTI? Sitaki propaganda za kutoa kichwani nataka kwa mujibu wa qurani tofauti hiyo ni ipi?

Naendelea..

Alafu kinachokushangaza ni kitu gani kuhusu kuja Nabii kwanza kabla ya qaumu na ilhali lengo la Nabii ni kuwaonya watu na kuwaelekeza katika njia ya sawa,sasa wewe unataka umfanye Mola kwamba mpaka akiona watu wanakosea ndo atume Mjumbe sio?sasa Nabii adam alitumwa sio kwa sababu ya makosa ya watu bali alitumwa ili hao atakaowazaa awaelekeze njia ya sawa,na huo ndio uadilifu,

Yani Mungu hatupi asitume mjumbe mpaka watu wakosee kwanza?teheheheh ama kweli الجنون فنون
(huu uwendawazimu upo namna nyingi)

Ndo nikakuuliza katika post za nyuma jee
HAIWEZEKANI KUANZA KUJA NABII KABLA YA QAUMU?

kama anaweza vipi nabii adam asiwe nabii kwa wale waliomkuta?

Kama hawezi unataka kutuambia MANABII WALIOTANGULIA SISI HAWATUHUSUMPAKA ASHUKE WETU??

Nataka majibu.


Ama tukija katika aya ambayo umeitoa ya suratul Nahlوَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ ۖ

(AN NAH'L - 36)
Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani.

Haya sasa wapi aya imeonyesha kwamba Ulianza umma kisha akaja nabii Adam ili akawaonye?wakati aya imekuja kwa العموم imekuja kwa ujumla na wala haikuja بالخصوص haikuja kwa umaalum,

Hii aya inaonnyesha kwamba lengo la kutumwa Mtume ni Kuwa akawaonye watu,na wala hakuna sharti kwamba akitumwa akawakute watu huko kisha aanze kuwalingania na hata aya haina mafhumu hayo,kwa sababu wewe unataka ujaalie neno"kila umma"kwamba uanze huo umma kisha aje Mjumbe wakati neno kila Umma maana yake ni kwamba hakuna umma ambao hauna Mtume hata huu umma wetu pia una Mtume hata kama alishaondoka,au MTUME MUHAMMAD(S.AW)HATUHUSU KWA KUWA SISI TUMEKUJA BAADA YAKE?


.sasa swali linarudia katika munasaba huu jeee BABA HANA UHURU WA KUMUONYA MWANAWE KWA KUWA YEYE MTOTO NDO KAMKUTA BABA?

AU ANA UWEZO WA KUMUONYA NA KUMFUNDISHA NJIA YA SAWAHATA KAMA AWE BABA NDO KATANGULIA?



Umeuliza maswali mengi hadi inanipa shida kuyajibu kwa pamoja, unakiwa uulize kwa awamu (in installments).

Nilipotaja sayansi sikuwa na maana kwamba nimethibitisha kwamba Adam (as) hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa bali nilitaka ujue kuwa kama ilivyokuwa historia ni yenye faida kwetu na ndivyo ilivyokuwa sayansi.

Unaposema kuwa sayansi na Imani ni tofauti kabisa na sayansi eti inapinga kuwepo Mungu---huo ni uongo mkubwa sana, hakuna Sayansi inayopinga Mungu bali wapo WANASAYANSI kwa ujinga wao wanapinga uwepo wa Mungu. Sayansi ni elimu iliyotoka kwa Mungu na inatusaidia kuyakabili mazingira yetu ili tuweze kuishi vizuri na tumusbudu Mungu vizuri pia sayansi inatusaidia kujua utukufu wa Mungu katika kusoma na kutafiti maumbile ya Mungu,hivyo sayansi na Imani (vinashikamana) na vyote vimetoka kwake.

Mada yetu ni Nabii Adam (عليه السلام) alikuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa duniani?.

Wewe ulisema ungeleta utetezi wako kutoka kwenye Qur'an lakini hadi saa hii hujaleta hata aya moja kutetea hoja yako bali umeamua kunitukana (الجنون فنون), je hivyo ndivyo ulivyofundishwa na Mtukufu Mtume (saw) kumtusi mwislamu mwenzako??. (هناك خطأ في رأسك).

Eti,unauliza je hawezi kuanza kuja nabii kabla ya qaumu yake? ,wewe ndio unatakiwa ulete aya inayokuunga mkono katika hiyo hoja yako na wala siyo mimi!! Mimi ninanukuu Qur'an pale iliposema;-

و لقد ضل قبلهم أكثرر الأولين و لقد أرسلنا فيهم منذيرين yaani:- Na bila shaka hapo kabla (watu) walipopotea na bila shaka tuliwatumia waonyaji (37:71-72).

👆🏻Angalia hiyo aya inasema watu wa kabla ya Mtume (saw) walipokuwa wamepotea Mungu aliwatuma waonyaji (manabii na Adam akiwemo) kuwaonya watu wao na kama Adam ni nabii basi hawezi kuepuka hiyo kanuni iliyotajwa na Qur'ani hivyo nabii anakuja kuwafundisha watu aliowakuta katika upotevu.

Unauliza eti, kama ni hivyo ina maana manabii waliotangulia hawatuhusu??, ukiwa Muislamu lazima uwakubali manabii wote na kila nabii alikuja kwa ajili ya Qaumu yake na akaongea na watu wake katika lugha aliyowakutanayo (14:4) na hata Mtume mtukufu (saw) naye alitumwa kwa duniani nzima lakini kwanza alianza kuwaonya ndugu zake waarabu kwa lugha aliyowakutanayo kiarabu.

Unataka aya inayoonyesha kwamba umma wake ulianza kuwepo kabla nabii Adam (as) hajatokea, wewe unanishangaza sana kwani huioni hiyo aya (An nahl:36) maudhui yake??, inasema; و لقد بعثنا في كل أمة رسل --- yaani , na bila shaka tulituma kwa kila ummat mtume---.

Hivi unapoambiwa kwa mfano, "tumemtuma mjumbe kupeleka barua ofisi ya kata" inaingia akilini kwamba hiyo ofisi ya kata inaweza isiwepo lakini ikawepo baada ya mjumbe kutumwa??, Hoja gani za ajabu ajabu unazoleta hapa??.

Eti unataka kujua tofauti ya kuumbwa kimwili na kiroho kwa mujibu wa Qur'an, nasema hivi hata pia utataka kujua kwa mujibu wa Qur'an kwamba ni wapi imeandikwa kuikanyaga Qur'an kwa miguu ni dhambi!!.

Tumia "common sense" tu, mtu anapokuwa ni mchamungu roho yake inakuwa na "khulqa" njema hivyo anakuwa roho yake imeumbika na ndiyo maana Mungu amemsifu mtukufu Mtume (saw) katika Qur'an pale alipomuambia; "hakika unazo hulka njema za kipekee" (sikumbuki aya). Na kuumbika ki mwili ni "khalaqa" katika lugha ya kiarabu, sasa angalia hayo maneno, khulqa na khalaqa la kwanza linahusu roho na la pili linahusu mwili.

Unasema eti, mimi ninataka kumfanya mola eti akiona watu wamekosea ndipo atume mjumbe!!

👆🏻Mimi ninanukuu Qur'an kama yeye mwenyewe Allah mtukufu alivyosema:- kwamba hapo kabla watu wengi walipoasi aliwapelekea waonyaji (37:71-72) na nabii Adam (as) alikuwa muonyaji wa kabla ya Mtukufu mtume (saw) hivyo naye pia kanuni hii ya Allah inamshika kwamba aliwakuta watu wake kwenye upotevu ndipo Allah akamtuma aende kuwaonya hivyo basi hakuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa.

Ukumbusho: Bado hujaleta aya inayothibitisha madai yako kwamba Nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
 
Asante mkuu kwa uchambuzi wenye kueleweka, source niliyoitumia Mimi inasema eti Adam na Hawa kila mmoja alitupiwa upande wake baadae sana wakaja kukutanishwa maeneo ya Saudia pale Makka wakaanza maisha mapya
Pole mkuu,ndiyo maana nimekushauri usome biblia vitabu vingine viweke pembeni kwa muda.Ukisoma biblia hata waweza jua Eden kwa duniani ilikuwa maeneo gani,kuna mito inatajwa kwenye biblia hata leo majina ni yaleyale na ipo miji pia kama Gaza,asia,Jerusalem,Damasca(Damascas),na miji mingine mingi ipo hata leo,kuwa makini tumia source ambayo ni reliable otherwise utapotea.
Ukisoma katika ufunuo 1:10-11 kuna barua za kwenda makanisa saba ya Efeso(mji a zamani kule Ugiriki),Philadefia,Pergamo( Pergamum, Greek Pergamon, ancient Greek city in Mysia, situated 16 miles from the Aegean Sea on a lofty isolated hill on the northern side of the broad valley of the Caicus (modern Bakır) River. The site is occupied by the modern town of Bergama, in the il (province) of İzmir, Turkey. ) ,n.k,hii miji iliyotajwa hata leo ipo maana yake haya mambo ni hakika na kweli na siyo story kama wapotoshaji wanavyodai.
Yesu pekee katika waanzilishi wa imani "alisema naenda kuwaandalia makao,ili nitakapokuwepo na ninyi muwepo" ina maana hata ukifa katika mwili kuna maisha baada ya kifo na Yesu alithibitisha hilo kwa kufufuka kutoka katika mauti.Wengine walikufa wala hawajawapa uhakika wafuasi wao kama wanapopote pa kuwapeleka.
Pia unatakiwa ujue mwanadamu huwezi kupigana kumsaidia Mungu wako,kama Mungu wako anaishi na ana uwezo na ajitetee mwenyewe.wakristo wanaojitambua hawapigani kumtetea Mungu wao kwani wanajua yeye ni Mungu aliye hai na anuwezo wa kujitetea mwenyewe.Wengine hupigana kwa ajiri ya miungu wao,ina maana huyo mungu wanayemwamini ni muweza hawezi kujitetea mpaka wao wanadamu wapigane kumtetea?
Dini yeyote ambayo inahubiri chuki juu ya mwanadamu wa imani nyingine yeyote hiyo si ya Mungu wa Kweli,mpango wa Mungu ni watu wote waokolewe asiwepo hata mmoja wa kupotea.Upendo,upendo,upendo ni wa muhimu sana kati ya wanadamu.
katika biblia ,maandiko yanasema Mungu alituumba kwa mfano wake,kwa hiyo unapomchukia mwanadamu mwenzio ni sawa na unamchukia Mungu,tena ukijua ya kwamba "miili yetu ni hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anakaa ndani yetu".Ndiyo maana Yesu alisema "huwezi kumpenda Mungu ambaye humuoni wakati unamchukia jirani yako ambaye unamwona".Upendo,upendo ni wa muhimu sana kwa wanadamu.
Katika biblia tumefundishwa kuwapenda adui zetu na kuushinda ubaya kwa wema.
Ukisoma Mithali 14:12 "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,Lakini mwisho wake ni njia za mauti".Kuna watu wengi wanaona njia waliyopo, au imani waliyo nayo ni sahihi ni kweli biblia ililijua hilo ila ikatahadharisha kwamba njia hizo zinaonekana ni sawa machoni pao lakini mwisho wa njia hizo ni mauti.Kuwa makini mkuu,wengi wamepotea kwa sababu wamemkataa Yesu na kuiamini biblia kwa sababu ambazo pia zimeonekan ni sahihi kwao.
Endelea kusoma biblia utajua mengi.
 
Pole mkuu,ndiyo maana nimekushauri usome biblia vitabu vingine viweke pembeni kwa muda.Ukisoma biblia hata waweza jua Eden kwa duniani ilikuwa maeneo gani,kuna mito inatajwa kwenye biblia hata leo majina ni yaleyale na ipo miji pia kama Gaza,asia,Jerusalem,Damasca(Damascas),na miji mingine mingi ipo hata leo,kuwa makini tumia source ambayo ni reliable otherwise utapotea.
Ukisoma katika ufunuo 1:10-11 kuna barua za kwenda makanisa saba ya Efeso(mji a zamani kule Ugiriki),Philadefia,Pergamo( Pergamum, Greek Pergamon, ancient Greek city in Mysia, situated 16 miles from the Aegean Sea on a lofty isolated hill on the northern side of the broad valley of the Caicus (modern Bakır) River. The site is occupied by the modern town of Bergama, in the il (province) of İzmir, Turkey. ) ,n.k,hii miji iliyotajwa hata leo ipo maana yake haya mambo ni hakika na kweli na siyo story kama wapotoshaji wanavyodai.
Yesu pekee katika waanzilishi wa imani "alisema naenda kuwaandalia makao,ili nitakapokuwepo na ninyi muwepo" ina maana hata ukifa katika mwili kuna maisha baada ya kifo na Yesu alithibitisha hilo kwa kufufuka kutoka katika mauti.Wengine walikufa wala hawajawapa uhakika wafuasi wao kama wanapopote pa kuwapeleka.
Pia unatakiwa ujue mwanadamu huwezi kupigana kumsaidia Mungu wako,kama Mungu wako anaishi na ana uwezo na ajitetee mwenyewe.wakristo wanaojitambua hawapigani kumtetea Mungu wao kwani wanajua yeye ni Mungu aliye hai na anuwezo wa kujitetea mwenyewe.Wengine hupigana kwa ajiri ya miungu wao,ina maana huyo mungu wanayemwamini ni muweza hawezi kujitetea mpaka wao wanadamu wapigane kumtetea?
Dini yeyote ambayo inahubiri chuki juu ya mwanadamu wa imani nyingine yeyote hiyo si ya Mungu wa Kweli,mpango wa Mungu ni watu wote waokolewe asiwepo hata mmoja wa kupotea.Upendo,upendo,upendo ni wa muhimu sana kati ya wanadamu.
katika biblia ,maandiko yanasema Mungu alituumba kwa mfano wake,kwa hiyo unapomchukia mwanadamu mwenzio ni sawa na unamchukia Mungu,tena ukijua ya kwamba "miili yetu ni hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anakaa ndani yetu".Ndiyo maana Yesu alisema "huwezi kumpenda Mungu ambaye humuoni wakati unamchukia jirani yako ambaye unamwona".Upendo,upendo ni wa muhimu sana kwa wanadamu.
Katika biblia tumefundishwa kuwapenda adui zetu na kuushinda ubaya kwa wema.
Ukisoma Mithali 14:12 "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,Lakini mwisho wake ni njia za mauti".Kuna watu wengi wanaona njia waliyopo, au imani waliyo nayo ni sahihi ni kweli biblia ililijua hilo ila ikatahadharisha kwamba njia hizo zinaonekana ni sawa machoni pao lakini mwisho wa njia hizo ni mauti.Kuwa makini mkuu,wengi wamepotea kwa sababu wamemkataa Yesu na kuiamini biblia kwa sababu ambazo pia zimeonekan ni sahihi kwao.
Endelea kusoma biblia utajua mengi.
Nashukuru kwa somo hili zuri nimeelimika kwa kweli....
Inaweza ikawa kweli hii Eden ilikuwa Duniani
 
Nashukuru kwa somo hili zuri nimeelimika kwa kweli....
Inaweza ikawa kweli hii Eden ilikuwa Duniani
Siyo inawezekana ni kweli ilikuwepo duniani,nitakuletea maandiko usome .Ingawa kwa leo eneo halisi ilipokuwa linaweza kuwa changamoto lakini wengi wanaamini ni maeneo ya Iraq ya leo.
 
Nashukuru kwa somo hili zuri nimeelimika kwa kweli....
Inaweza ikawa kweli hii Eden ilikuwa Duniani


Naam "bustani" ya Eden ilikuwa hapa hapa duniani kwa sababu nabii Adam (as) alikuwa ni nabii kwa watu wake waliokuwepo hapahapa duniani.

Yeye alikuwa ni mtu wa kwanza kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu kuwapelekea watu wake wala hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa hapa duniani.
 
Umeuliza maswali mengi hadi inanipa shida kuyajibu kwa pamoja, unakiwa uulize kwa awamu (in installments).

Nilipotaja sayansi sikuwa na maana kwamba nimethibitisha kwamba Adam (as) hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa bali nilitaka ujue kuwa kama ilivyokuwa historia ni yenye faida kwetu na ndivyo ilivyokuwa sayansi.

Unaposema kuwa sayansi na Imani ni tofauti kabisa na sayansi eti inapinga kuwepo Mungu---huo ni uongo mkubwa sana, hakuna Sayansi inayopinga Mungu bali wapo WANASAYANSI kwa ujinga wao wanapinga uwepo wa Mungu. Sayansi ni elimu iliyotoka kwa Mungu na inatusaidia kuyakabili mazingira yetu ili tuweze kuishi vizuri na tumusbudu Mungu vizuri pia sayansi inatusaidia kujua utukufu wa Mungu katika kusoma na kutafiti maumbile ya Mungu,hivyo sayansi na Imani (vinashikamana) na vyote vimetoka kwake.

Mada yetu ni Nabii Adam (عليه السلام) alikuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa duniani?.

Wewe ulisema ungeleta utetezi wako kutoka kwenye Qur'an lakini hadi saa hii hujaleta hata aya moja kutetea hoja yako bali umeamua kunitukana (الجنون فنون), je hivyo ndivyo ulivyofundishwa na Mtukufu Mtume (saw) kumtusi mwislamu mwenzako??. (هناك خطأ في رأسك).

Eti,unauliza je hawezi kuanza kuja nabii kabla ya qaumu yake? ,wewe ndio unatakiwa ulete aya inayokuunga mkono katika hiyo hoja yako na wala siyo mimi!! Mimi ninanukuu Qur'an pale iliposema;-

و لقد ضل قبلهم أكثرر الأولين و لقد أرسلنا فيهم منذيرين yaani:- Na bila shaka hapo kabla (watu) walipopotea na bila shaka tuliwatumia waonyaji (37:71-72).

[emoji1312]Angalia hiyo aya inasema watu wa kabla ya Mtume (saw) walipokuwa wamepotea Mungu aliwatuma waonyaji (manabii na Adam akiwemo) kuwaonya watu wao na kama Adam ni nabii basi hawezi kuepuka hiyo kanuni iliyotajwa na Qur'ani hivyo nabii anakuja kuwafundisha watu aliowakuta katika upotevu.

Unauliza eti, kama ni hivyo ina maana manabii waliotangulia hawatuhusu??, ukiwa Muislamu lazima uwakubali manabii wote na kila nabii alikuja kwa ajili ya Qaumu yake na akaongea na watu wake katika lugha aliyowakutanayo (14:4) na hata Mtume mtukufu (saw) naye alitumwa kwa duniani nzima lakini kwanza alianza kuwaonya ndugu zake waarabu kwa lugha aliyowakutanayo kiarabu.

Unataka aya inayoonyesha kwamba umma wake ulianza kuwepo kabla nabii Adam (as) hajatokea, wewe unanishangaza sana kwani huioni hiyo aya (An nahl:36) maudhui yake??, inasema; و لقد بعثنا في كل أمة رسل --- yaani , na bila shaka tulituma kwa kila ummat mtume---.

Hivi unapoambiwa kwa mfano, "tumemtuma mjumbe kupeleka barua ofisi ya kata" inaingia akilini kwamba hiyo ofisi ya kata inaweza isiwepo lakini ikawepo baada ya mjumbe kutumwa??, Hoja gani za ajabu ajabu unazoleta hapa??.

Eti unataka kujua tofauti ya kuumbwa kimwili na kiroho kwa mujibu wa Qur'an, nasema hivi hata pia utataka kujua kwa mujibu wa Qur'an kwamba ni wapi imeandikwa kuikanyaga Qur'an kwa miguu ni dhambi!!.

Tumia "common sense" tu, mtu anapokuwa ni mchamungu roho yake inakuwa na "khulqa" njema hivyo anakuwa roho yake imeumbika na ndiyo maana Mungu amemsifu mtukufu Mtume (saw) katika Qur'an pale alipomuambia; "hakika unazo hulka njema za kipekee" (sikumbuki aya). Na kuumbika ki mwili ni "khalaqa" katika lugha ya kiarabu, sasa angalia hayo maneno, khulqa na khalaqa la kwanza linahusu roho na la pili linahusu mwili.

Unasema eti, mimi ninataka kumfanya mola eti akiona watu wamekosea ndipo atume mjumbe!!

[emoji1312]Mimi ninanukuu Qur'an kama yeye mwenyewe Allah mtukufu alivyosema:- kwamba hapo kabla watu wengi walipoasi aliwapelekea waonyaji (37:71-72) na nabii Adam (as) alikuwa muonyaji wa kabla ya Mtukufu mtume (saw) hivyo naye pia kanuni hii ya Allah inamshika kwamba aliwakuta watu wake kwenye upotevu ndipo Allah akamtuma aende kuwaonya hivyo basi hakuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa.

Ukumbusho: Bado hujaleta aya inayothibitisha madai yako kwamba Nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
Bado narudia tena الجنون فنون kwamba uwendawazimu upo wa namna nyingi sana kwa sababu hakuna katika mitume wala masahaba wala wafasiri wa quran wakutegemewa wote ambae kasema adam hakuwa mtu wa mwanzo kuumbwa,hivyo wewe unawakhaalif hawa kwa kujifanya unaamini quran kumbe una ajenda zako zinakuoeleka,sasa vipi nisipatie nikisema uwendawazimu uko wa namna nyingi?

Ili ujitetee ilibidi useme kwamba kuna wafasiri wamenitangulia wakutegemewa ambao wana maono kama yangu akiwemo fulani na fulani jee hawa nao wana aina ya uwendawazimu? Hapo ningekosa majibu kabisa

Alafu jambo la pili sasa katika ilmu ya kisheria ya quran kuna kitu kinaitwa العموم والخصوص ujumla na umaalumu.

Kuna aya zinakuja kwa ujumla wake bila kukhusisha jambo,lakini kuna zingine zinakuja kwa umakhususi kuhusisha jambo fulani.

Mfano aya hii imekuja kwa العموم(kwa jumla)

وإن خفتم ألا تقسطوا في اليتامى فانكحوا ما طاب لكم من النساء مثنى وثلاث ورباع فإن خفتم ألا تعدلوا فواحدة..

[ AN-NISAAI - 3 ]
Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu,....)

Hii aya imekuja kwa عموم (jumla)wala haikufafanua kwamba hao wanawake ni wepi na wepi ama wawe vipi,hivyo mtu anaweza akasimamia aya hiyo kumuoa mwanamke yeyote yule madhali tu ni mwanamke.

Lakini kuna aya hizo hapa chini

ولا تنكحوا المشركات حتى يؤمن ولأمة مؤمنة خير من مشركة ولو أعجبتكم ولا تنكحوا المشركين حتى يؤمنوا ولعبد مؤمن خير من مشرك ولو أعجبكم..

[ AL - BAQARA - 221 ]
Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni...)

ولا تنكحوا ما نكح آباؤكم من النساء إلا ما قد سلف إنه كان فاحشة ومقتا وساء سبيلا

[ AN-NISAAI - 22 ]
Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.

Aya hizi zinafannya takhsiys(zinakhusisha)kwamba hao wanawake waliotajwa kwa ujumla tunaoweza kuwaoa ndiyo hawa hapa wanaelezwa wawe na sifa zipi hapo juu katika aya.

Kwanza mwanamke asiwe mshirikina mpaka aamini
Pili asiwe mwanamke ambae alishamuoa baba yako tayari na zifa zingine katika aya ila naweka hizi kwa ikhtiswaar

Sasa mtu atakuwa wa ajabu sana kuing'ang'ania aya ambayo imekuja kwa lafdhi ya ujumla wakati zipo ambazo zimekuja kwa lafdhi ya umaalumu kuhsuisha jambo hilo.mfano mtu akang'ang'ana kwamba kwa mujibu wa aya inafaa kumuoa hata mke alomwacha baba na mshirikina kwa sababu aya imetaja tuwaoe wanawake tunaowapenda na wala haikusema mwanamke yupi na yupi tusiwaoe,tutamuambia kuna aya khaaswaa zilizofafanua jambo hilo.

Hiyo ilikuwa ni mifano sasa tuje katika aya ambazo unastadilli nazo.

Kwanza aya zote unazostadili nazo hazikuja kwa lafdhi(tamko)la umaalumu bali zimetaja kwa ujumla na ndyo maana unamuingiza na Nabii Aadamعليه السلام katika ujumla huo,ila sasa kumbuka kama tulivosema kwamba katika aya muna kitu jumla na umaalum.

Aya unazotegemeea zimekuja kwa ujumla ambao lau kusingekuwa na umaalum wa aya zingine kuhusu jambo hilo basi inafaa kustadilli na ujumla huo.

Tuzione kwanza
وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ ۖ فَمِنْهُم مَّنْ هَدَى اللَّهُ وَمِنْهُم مَّنْ حَقَّتْ عَلَيْهِ الضَّلَالَةُ ۚ فَسِيرُوا فِي الْأَرْضِ فَانظُرُوا كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الْمُكَذِّبِينَ

(AN NAH'L - 36)
Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa Mwenyezi Mungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.


Aya hii imekuja kwa ujumla wala hakutajwa mtume fulani na fulani
Na mfano wa aya hzo zote zimekuja kwa ujumla wake ya kwamba kila uuma ulikuwa na Mtume.

Sasa basi mkuu kwa taarifa yako wale mitume wote waliotajwa katika quran(isipokuwa aadam) wameelezewa kwamba kulikuwa na watu ambao anaishi nao

Mfano Nabii Mussa na Haaaroun aya zinaonyesha alikuwa na kina firauni na wana israel,kwa hvyo mussa walikuwepo qaumu.

Nabii Issa nae tunaona walikuwepo mayahudi
Nabii ibraahim tunaona naye alikuwa na baba yake kuonyesha wapo ambao walimtangulia
Nabii ismaail yupo baba yetu Ibraahim kuonyesha walimtangulia tayari
Nabii is'haaka na Yaakub wametanguliwa na Baba yetu ibraahim
Kadhaalika hata Mtume waMwisho Muhammad (s.a.w)katanguliwa na baba zake kuonyesha wapo waliokuwa kabla yake

Sasa hutakuta aya katika quran inasema kwamba Nabii Adam alitanguliwa na watu kama ilivyo kwa manabii wengine,kama ipo ilete hapa.

BaliBALI WEWE UNATUMIA UJUMLA WA AYA KUMTIA AAADAM KATIKA UJUMLA HUO.

AYA ZINAZOSEMA KILA UUMA ULITUMIWA MJUMBE BASI HAZIKUTAJA NABII MAULUM BALI ZIMEKUSANYA UJUMLA.

Jee aya ipi inamtoa adam katika ujumla huo?

KWANZA KABISA katika kutajiwa mitume na quran Adam ndiye nabii wa kwanza kisha baada ya mda kupita akatumwa Nuhu sasa na kuteremshiwa Wahyi ili awaonye watu wake waache shirki

Sasa hapa UKITAKA UNAWEZA KUNIPA NINI TAFSIRI YA WAHYI.

Asema Allah

إنا أوحينا إليك كما أوحينا إلى نوح والنبيين من بعده وأوحينا إلى إبراهيم وإسماعيل وإسحاق ويعقوب والأسباط وعيسى وأيوب ويونس وهارون وسليمان وآتينا داوود زبورا

[ AN-NISAAI - 163 ]
Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe(muhammad) kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.

Aya inathibitisha kwamba hata nabii Adam hakupewa wahyi kama manabii waliokuja baada yake kwa sababu Kizazi cha Adam hakikuzama katika shirki bali ilifanyika kosa la kuuwana ambalo ilikuwa ni sababu ya ufisadi.

ALAFU UNATUAMBIA KWAMBA ALIKUWA WA KWANZA KUUMBWA KIROHO?
SASA TUAMBIE HIYO KIROHO NI VIPI SIO UNAVUNGA VUNGA TU ..

Aya ambazo zinathibitisha kuumbwa kwa Nabii adam kuwa mtu wa mwanzo zipo ila sasa tu nina mashaka isije kuwa utasema UNATAKA AYA AMBAYO INASEMA "nabii adam ndiyo mtu wa kwanza"

Aya hiyo ilosema moja kwa moja hivyo haipo kama vile ambavyo hakuna aya ya moja kwa moja ilosema kwamba nabii adam aliwakuta watu kabla yake.
BALI AYA zinaonyesha yeye ndo aliumbwA mwanzo kwa wenye akili ambao wameepukana na uwendawazimu

Allah asimulia
وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِي الْأَرْضِ خَلِيفَةً ۖ قَالُوا أَتَجْعَلُ فِيهَا مَن يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَاءَ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ ۖ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لَا تَعْلَمُونَ

(AL - BAQARA - 30)
Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua.

Duniani mwanzo walikuwako majini wakafanya ufisadi,hivyo malaika waliposema kwamba watamwagana damu walikuwa wanafananisha na yale matendo ya majini ila Allah akawajibu kwamba anajua wasoyajua.aya hapo imetaja kwamba Allah alikusudia kumuumba binadamu.

Kisha akasema baada ya kumuumba

وَعَلَّمَ آدَمَ الْأَسْمَاءَ كُلَّهَا ثُمَّ عَرَضَهُمْ عَلَى الْمَلَائِكَةِ فَقَالَ أَنبِئُونِي بِأَسْمَاءِ هَـٰؤُلَاءِ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ

(AL - BAQARA - 31)
Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli.

Kisha akasema katika aya ingine
وَلَقَدْ خَلَقْنَاكُمْ ثُمَّ صَوَّرْنَاكُمْ ثُمَّ قُلْنَا لِلْمَلَائِكَةِ اسْجُدُوا لِآدَمَ فَسَجَدُوا إِلَّا إِبْلِيسَ لَمْ يَكُن مِّنَ السَّاجِدِينَ

[ AL - A'RAAF - 11 ]
Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa Iblisi, hakuwa miongoni mwa walio sujudu.

Aya inaonyesha kwamba Adam aliumbwa akatiwa sura kisha ndipo akawaambia malaika wamsujudie adam

Japo imekuja lafdhi ya jam,u(jumla)kuonyesha na sisi kwamba alituumba na kututia sura lakini wa mwanzo ni Adam ndyo mana akasema kisha akawaambia malaika wamsujudie.

Sasa huyu nabii Adam sasa kuonyesha kwamba adam ndiye ambaye alitakiwa asujudiwe Allah anathibitisha

قَالَ لَمْ أَكُن لِّأَسْجُدَ لِبَشَرٍ خَلَقْتَهُ مِن صَلْصَالٍ مِّنْ حَمَإٍ مَّسْنُونٍ

[ AL - HIJR - 33 ]
Akasema: Haiwi mimi nimsujudie mtu uliye muumba kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yenye sura.

Kumbe unaona kwamba ibilisi alikataa kumsujudia yule aliyeumbwa kwa udongo,sasa huoni hapo ibilisi ndo alikataa kumsujudia Adam?

Kisha akasema tena Allah

وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي خَالِقٌ بَشَرًا مِّن صَلْصَالٍ مِّنْ حَمَإٍ مَّسْنُونٍ

[ AL - HIJR - 28 ]
Na Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitamuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.

Bila shaka aya hizi anakusudiwa wa mwanzo kuumbwa aliumbwa kwa udongo.

SASA WEWE ULETE AYA ZINAZOSEMA KWAMBA HUYU HAKUWA WA KWANZA KUUMBWA WAPO WALOMTANGULIA...
 
Pole mkuu,ndiyo maana nimekushauri usome biblia vitabu vingine viweke pembeni kwa muda.Ukisoma biblia hata waweza jua Eden kwa duniani ilikuwa maeneo gani,kuna mito inatajwa kwenye biblia hata leo majina ni yaleyale na ipo miji pia kama Gaza,asia,Jerusalem,Damasca(Damascas),na miji mingine mingi ipo hata leo,kuwa makini tumia source ambayo ni reliable otherwise utapotea.
Ukisoma katika ufunuo 1:10-11 kuna barua za kwenda makanisa saba ya Efeso(mji a zamani kule Ugiriki),Philadefia,Pergamo( Pergamum, Greek Pergamon, ancient Greek city in Mysia, situated 16 miles from the Aegean Sea on a lofty isolated hill on the northern side of the broad valley of the Caicus (modern Bakır) River. The site is occupied by the modern town of Bergama, in the il (province) of İzmir, Turkey. ) ,n.k,hii miji iliyotajwa hata leo ipo maana yake haya mambo ni hakika na kweli na siyo story kama wapotoshaji wanavyodai.
Yesu pekee katika waanzilishi wa imani "alisema naenda kuwaandalia makao,ili nitakapokuwepo na ninyi muwepo" ina maana hata ukifa katika mwili kuna maisha baada ya kifo na Yesu alithibitisha hilo kwa kufufuka kutoka katika mauti.Wengine walikufa wala hawajawapa uhakika wafuasi wao kama wanapopote pa kuwapeleka.
Pia unatakiwa ujue mwanadamu huwezi kupigana kumsaidia Mungu wako,kama Mungu wako anaishi na ana uwezo na ajitetee mwenyewe.wakristo wanaojitambua hawapigani kumtetea Mungu wao kwani wanajua yeye ni Mungu aliye hai na anuwezo wa kujitetea mwenyewe.Wengine hupigana kwa ajiri ya miungu wao,ina maana huyo mungu wanayemwamini ni muweza hawezi kujitetea mpaka wao wanadamu wapigane kumtetea?
Dini yeyote ambayo inahubiri chuki juu ya mwanadamu wa imani nyingine yeyote hiyo si ya Mungu wa Kweli,mpango wa Mungu ni watu wote waokolewe asiwepo hata mmoja wa kupotea.Upendo,upendo,upendo ni wa muhimu sana kati ya wanadamu.
katika biblia ,maandiko yanasema Mungu alituumba kwa mfano wake,kwa hiyo unapomchukia mwanadamu mwenzio ni sawa na unamchukia Mungu,tena ukijua ya kwamba "miili yetu ni hekalu la Mungu na Roho wa Mungu anakaa ndani yetu".Ndiyo maana Yesu alisema "huwezi kumpenda Mungu ambaye humuoni wakati unamchukia jirani yako ambaye unamwona".Upendo,upendo ni wa muhimu sana kwa wanadamu.
Katika biblia tumefundishwa kuwapenda adui zetu na kuushinda ubaya kwa wema.
Ukisoma Mithali 14:12 "Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,Lakini mwisho wake ni njia za mauti".Kuna watu wengi wanaona njia waliyopo, au imani waliyo nayo ni sahihi ni kweli biblia ililijua hilo ila ikatahadharisha kwamba njia hizo zinaonekana ni sawa machoni pao lakini mwisho wa njia hizo ni mauti.Kuwa makini mkuu,wengi wamepotea kwa sababu wamemkataa Yesu na kuiamini biblia kwa sababu ambazo pia zimeonekan ni sahihi kwao.
Endelea kusoma biblia utajua mengi.
"Basi enda ukawapige Amaleki,na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo,wala msiwaachilie;bali waueni,mwanamume na mwanamke,mtoto naye anyonyae,ng'ombe na kondoo,ngamia na punda."

Bila ya shaka kwa usomaji wako mzuri wa biblia utakuwa umelijua hilo andiko hivyo sina haja ya kukuelezea linapatikana kitabu gani na mstari wa ngapi.

Nachotaka kusema ni kwamba kwa jinsi unavyomueleza Mungu wa wakristo sidhani kama unamkusudia kuwa ndio Mungu huyo wa kwenye hilo andiko niliyoweka hapo juu.
 
Bado narudia tena الجنون فنون kwamba uwendawazimu upo wa namna nyingi sana kwa sababu hakuna katika mitume wala masahaba wala wafasiri wa quran wakutegemewa wote ambae kasema adam hakuwa mtu wa mwanzo kuumbwa,hivyo wewe unawakhaalif hawa kwa kujifanya unaamini quran kumbe una ajenda zako zinakuoeleka,sasa vipi nisipatie nikisema uwendawazimu uko wa namna nyingi?

Ili ujitetee ilibidi useme kwamba kuna wafasiri wamenitangulia wakutegemewa ambao wana maono kama yangu akiwemo fulani na fulani jee hawa nao wana aina ya uwendawazimu? Hapo ningekosa majibu kabisa

Alafu jambo la pili sasa katika ilmu ya kisheria ya quran kuna kitu kinaitwa العموم والخصوص ujumla na umaalumu.

Kuna aya zinakuja kwa ujumla wake bila kukhusisha jambo,lakini kuna zingine zinakuja kwa umakhususi kuhusisha jambo fulani.

Mfano aya hii imekuja kwa العموم(kwa jumla)

وإن خفتم ألا تقسطوا في اليتامى فانكحوا ما طاب لكم من النساء مثنى وثلاث ورباع فإن خفتم ألا تعدلوا فواحدة..

[ AN-NISAAI - 3 ]
Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu,....)

Hii aya imekuja kwa عموم (jumla)wala haikufafanua kwamba hao wanawake ni wepi na wepi ama wawe vipi,hivyo mtu anaweza akasimamia aya hiyo kumuoa mwanamke yeyote yule madhali tu ni mwanamke.

Lakini kuna aya hizo hapa chini

ولا تنكحوا المشركات حتى يؤمن ولأمة مؤمنة خير من مشركة ولو أعجبتكم ولا تنكحوا المشركين حتى يؤمنوا ولعبد مؤمن خير من مشرك ولو أعجبكم..

[ AL - BAQARA - 221 ]
Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazi Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni...)

ولا تنكحوا ما نكح آباؤكم من النساء إلا ما قد سلف إنه كان فاحشة ومقتا وساء سبيلا

[ AN-NISAAI - 22 ]
Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.

Aya hizi zinafannya takhsiys(zinakhusisha)kwamba hao wanawake waliotajwa kwa ujumla tunaoweza kuwaoa ndiyo hawa hapa wanaelezwa wawe na sifa zipi hapo juu katika aya.

Kwanza mwanamke asiwe mshirikina mpaka aamini
Pili asiwe mwanamke ambae alishamuoa baba yako tayari na zifa zingine katika aya ila naweka hizi kwa ikhtiswaar

Sasa mtu atakuwa wa ajabu sana kuing'ang'ania aya ambayo imekuja kwa lafdhi ya ujumla wakati zipo ambazo zimekuja kwa lafdhi ya umaalumu kuhsuisha jambo hilo.mfano mtu akang'ang'ana kwamba kwa mujibu wa aya inafaa kumuoa hata mke alomwacha baba na mshirikina kwa sababu aya imetaja tuwaoe wanawake tunaowapenda na wala haikusema mwanamke yupi na yupi tusiwaoe,tutamuambia kuna aya khaaswaa zilizofafanua jambo hilo.

Hiyo ilikuwa ni mifano sasa tuje katika aya ambazo unastadilli nazo.

Kwanza aya zote unazostadili nazo hazikuja kwa lafdhi(tamko)la umaalumu bali zimetaja kwa ujumla na ndyo maana unamuingiza na Nabii Aadamعليه السلام katika ujumla huo,ila sasa kumbuka kama tulivosema kwamba katika aya muna kitu jumla na umaalum.

Aya unazotegemeea zimekuja kwa ujumla ambao lau kusingekuwa na umaalum wa aya zingine kuhusu jambo hilo basi inafaa kustadilli na ujumla huo.

Tuzione kwanza
وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولًا أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ وَاجْتَنِبُوا الطَّاغُوتَ ۖ فَمِنْهُم مَّنْ هَدَى اللَّهُ وَمِنْهُم مَّنْ حَقَّتْ عَلَيْهِ الضَّلَالَةُ ۚ فَسِيرُوا فِي الْأَرْضِ فَانظُرُوا كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الْمُكَذِّبِينَ

(AN NAH'L - 36)
Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani. Basi kati yao wapo alio waongoa Mwenyezi Mungu. Na kati yao wapo ambao ulio wathibitikia upotovu. Basi tembeeni katika ardhi, muangalie ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.


Aya hii imekuja kwa ujumla wala hakutajwa mtume fulani na fulani
Na mfano wa aya hzo zote zimekuja kwa ujumla wake ya kwamba kila uuma ulikuwa na Mtume.

Sasa basi mkuu kwa taarifa yako wale mitume wote waliotajwa katika quran(isipokuwa aadam) wameelezewa kwamba kulikuwa na watu ambao anaishi nao

Mfano Nabii Mussa na Haaaroun aya zinaonyesha alikuwa na kina firauni na wana israel,kwa hvyo mussa walikuwepo qaumu.

Nabii Issa nae tunaona walikuwepo mayahudi
Nabii ibraahim tunaona naye alikuwa na baba yake kuonyesha wapo ambao walimtangulia
Nabii ismaail yupo baba yetu Ibraahim kuonyesha walimtangulia tayari
Nabii is'haaka na Yaakub wametanguliwa na Baba yetu ibraahim
Kadhaalika hata Mtume waMwisho Muhammad (s.a.w)katanguliwa na baba zake kuonyesha wapo waliokuwa kabla yake

Sasa hutakuta aya katika quran inasema kwamba Nabii Adam alitanguliwa na watu kama ilivyo kwa manabii wengine,kama ipo ilete hapa.

BaliBALI WEWE UNATUMIA UJUMLA WA AYA KUMTIA AAADAM KATIKA UJUMLA HUO.

AYA ZINAZOSEMA KILA UUMA ULITUMIWA MJUMBE BASI HAZIKUTAJA NABII MAULUM BALI ZIMEKUSANYA UJUMLA.

Jee aya ipi inamtoa adam katika ujumla huo?

KWANZA KABISA katika kutajiwa mitume na quran Adam ndiye nabii wa kwanza kisha baada ya mda kupita akatumwa Nuhu sasa na kuteremshiwa Wahyi ili awaonye watu wake waache shirki

Sasa hapa UKITAKA UNAWEZA KUNIPA NINI TAFSIRI YA WAHYI.

Asema Allah

إنا أوحينا إليك كما أوحينا إلى نوح والنبيين من بعده وأوحينا إلى إبراهيم وإسماعيل وإسحاق ويعقوب والأسباط وعيسى وأيوب ويونس وهارون وسليمان وآتينا داوود زبورا

[ AN-NISAAI - 163 ]
Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe(muhammad) kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismail na Is-haka na Yaakub na wajukuu zake, na Isa na Ayub na Yunus na Harun na Suleiman, na Daud tukampa Zaburi.

Aya inathibitisha kwamba hata nabii Adam hakupewa wahyi kama manabii waliokuja baada yake kwa sababu Kizazi cha Adam hakikuzama katika shirki bali ilifanyika kosa la kuuwana ambalo ilikuwa ni sababu ya ufisadi.

ALAFU UNATUAMBIA KWAMBA ALIKUWA WA KWANZA KUUMBWA KIROHO?
SASA TUAMBIE HIYO KIROHO NI VIPI SIO UNAVUNGA VUNGA TU ..

Aya ambazo zinathibitisha kuumbwa kwa Nabii adam kuwa mtu wa mwanzo zipo ila sasa tu nina mashaka isije kuwa utasema UNATAKA AYA AMBAYO INASEMA "nabii adam ndiyo mtu wa kwanza"

Aya hiyo ilosema moja kwa moja hivyo haipo kama vile ambavyo hakuna aya ya moja kwa moja ilosema kwamba nabii adam aliwakuta watu kabla yake.
BALI AYA zinaonyesha yeye ndo aliumbwA mwanzo kwa wenye akili ambao wameepukana na uwendawazimu

Allah asimulia
وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي جَاعِلٌ فِي الْأَرْضِ خَلِيفَةً ۖ قَالُوا أَتَجْعَلُ فِيهَا مَن يُفْسِدُ فِيهَا وَيَسْفِكُ الدِّمَاءَ وَنَحْنُ نُسَبِّحُ بِحَمْدِكَ وَنُقَدِّسُ لَكَ ۖ قَالَ إِنِّي أَعْلَمُ مَا لَا تَعْلَمُونَ

(AL - BAQARA - 30)
Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua.

Duniani mwanzo walikuwako majini wakafanya ufisadi,hivyo malaika waliposema kwamba watamwagana damu walikuwa wanafananisha na yale matendo ya majini ila Allah akawajibu kwamba anajua wasoyajua.aya hapo imetaja kwamba Allah alikusudia kumuumba binadamu.

Kisha akasema baada ya kumuumba

وَعَلَّمَ آدَمَ الْأَسْمَاءَ كُلَّهَا ثُمَّ عَرَضَهُمْ عَلَى الْمَلَائِكَةِ فَقَالَ أَنبِئُونِي بِأَسْمَاءِ هَـٰؤُلَاءِ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ

(AL - BAQARA - 31)
Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli.

Kisha akasema katika aya ingine
وَلَقَدْ خَلَقْنَاكُمْ ثُمَّ صَوَّرْنَاكُمْ ثُمَّ قُلْنَا لِلْمَلَائِكَةِ اسْجُدُوا لِآدَمَ فَسَجَدُوا إِلَّا إِبْلِيسَ لَمْ يَكُن مِّنَ السَّاجِدِينَ

[ AL - A'RAAF - 11 ]
Na hakika tulikuumbeni, kisha tukakutieni sura, kisha tukawaambia Malaika: Msujudieni Adam. Basi wakasujudu isipo kuwa Iblisi, hakuwa miongoni mwa walio sujudu.

Aya inaonyesha kwamba Adam aliumbwa akatiwa sura kisha ndipo akawaambia malaika wamsujudie adam

Japo imekuja lafdhi ya jam,u(jumla)kuonyesha na sisi kwamba alituumba na kututia sura lakini wa mwanzo ni Adam ndyo mana akasema kisha akawaambia malaika wamsujudie.

Sasa huyu nabii Adam sasa kuonyesha kwamba adam ndiye ambaye alitakiwa asujudiwe Allah anathibitisha

قَالَ لَمْ أَكُن لِّأَسْجُدَ لِبَشَرٍ خَلَقْتَهُ مِن صَلْصَالٍ مِّنْ حَمَإٍ مَّسْنُونٍ

[ AL - HIJR - 33 ]
Akasema: Haiwi mimi nimsujudie mtu uliye muumba kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yenye sura.

Kumbe unaona kwamba ibilisi alikataa kumsujudia yule aliyeumbwa kwa udongo,sasa huoni hapo ibilisi ndo alikataa kumsujudia Adam?

Kisha akasema tena Allah

وَإِذْ قَالَ رَبُّكَ لِلْمَلَائِكَةِ إِنِّي خَالِقٌ بَشَرًا مِّن صَلْصَالٍ مِّنْ حَمَإٍ مَّسْنُونٍ

[ AL - HIJR - 28 ]
Na Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitamuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.

Bila shaka aya hizi anakusudiwa wa mwanzo kuumbwa aliumbwa kwa udongo.

SASA WEWE ULETE AYA ZINAZOSEMA KWAMBA HUYU HAKUWA WA KWANZA KUUMBWA WAPO WALOMTANGULIA...
Hii bakora imeniingia haswaa 😡 😡
 
Back
Top Bottom