Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Je, Binadamu tulikuja duniani kimakosa au ni mipango ya Mungu?

Mkuu si kweli hicho unachosema kwamba Watu (binadamu) tuna share na apes (chipanzee) the same ancestors. Hiii umepata wapi?,[emoji848][emoji848]
Mkuu hii hipo na naiamini ...early apes na binadam wanashare same common anncestor na maandiko mengi yanaonesha hilo na ata ukiwaangalia kwa macho inaweza ikawa sahihi mfano rhesus factors upande wa damu iko proved kuwa ni sawa
 
Mkuu si kweli hicho unachosema kwamba Watu (binadamu) tuna share na apes (chipanzee) the same ancestors. Hiii umepata wapi?,[emoji848][emoji848]
Pitiaa hii picha ya Nyanzapithecus alesi,apes wa miaka ile
aHR0cDovL3d3dy5saXZlc2NpZW5jZS5jb20vaW1hZ2VzL2kvMDAwLzA5NC81NjAvb3JpZ2luYWwvbnlhbnphcGl0aGVjdX...jpg
 
Write your reply...Ni kweli ukisoma biblia kwa mfano inaonesha toka mbingu na nchi vilipoumbwa mpaka sasa imepita miaka kati ya 6,000-10,000 lakini kwa sasa tunatambua kwamba ni miaka bilioni kadhaa hivyo nakubali kwamba Adam siyo binaadamu wa kwanza kuumbwa.

Pengine hiyo bilioni ukii convert ndo 6000-10000 imayoongelewa, kama vile ukisema bilioni kadhaa za kitanzania zilivyo nyingi kwako na kwa wengine ni pesa ya mboga.
 
Mkuu hii hipo na naiamini ...early apes na binadam wanashare same common anncestor na maandiko mengi yanaonesha hilo na ata ukiwaangalia kwa macho inaweza ikawa sahihi mfano rhesus factors upande wa damu iko proved kuwa ni sawa



Si kweli hata kidogo, kwamba tuna share the common ancestors, kama ingalikuwa hivyo basi uwezekano wa watu kuzaa apes (masokwe) au primates (manyani) ungekuwepo au kinyume chake apes na primates wangeweza kuzaa watu, lakini jambo hilo halijawahi kutokea aslan tangu dunia hii iumbwe, kama unao mfano hai lete hapa.

Umezungumzia juu ya Rhesus protein (Rh) iliyomo katika damu ya binadamu na baadhi ya monkeys mfano (Rhesus monkey), napenda ujue hicho siyo kigezo kwamba tuna share the same ancestors kwa sababu wao pia damu zao zina haemoglobin na zetu na za wanyama wengine pia zina haemoglobin kimsingi tuna mambo mengi yanayofanana lakini sio kweli eti tunashare the same ancestors kitu ambacho hata sisi binadamu hatunacho, mfano Wabantu,Wa nilotes,Mongoloid, Hamites nk, hizo ni human races ambazo zina ancestors tofauti na wala huwezi kukuta mbantu kazaa Hamite au mongoloid (wajapani , wachina, wakorea). Ancestors ni wale waanzilishi wa race.
 
Si kweli hata kidogo, kwamba tuna share the common ancestors, kama ingalikuwa hivyo basi uwezekano wa watu kuzaa apes (masokwe) au primates (manyani) ungekuwepo au kinyume chake apes na primates wangeweza kuzaa watu, lakini jambo hilo halijawahi kutokea aslan tangu dunia hii iumbwe, kama unao mfano hai lete hapa.

Umezungumzia juu ya Rhesus protein (Rh) iliyomo katika damu ya binadamu na baadhi ya monkeys mfano (Rhesus monkey), napenda ujue hicho siyo kigezo kwamba tuna share the same ancestors kwa sababu wao pia damu zao zina haemoglobin na zetu na za wanyama wengine pia zina haemoglobin kimsingi tuna mambo mengi yanayofanana lakini sio kweli eti tunashare the same ancestors kitu ambacho hata sisi binadamu hatunacho, mfano Wabantu,Wa nilotes,Mongoloid, Hamites nk, hizo ni human races ambazo zina ancestors tofauti na wala huwezi kukuta mbantu kazaa Hamite au mongoloid (wajapani , wachina, wakorea). Ancestors ni wale waanzilishi wa race.
Sipingi ulichokisema ila naona majibu unayo kabisa kuhusu binadamu na early apes kuwa na uwezekano wa kushare some features of same common ancestor
 
Pitiaa hii picha ya Nyanzapithecus alesi,apes wa miaka ile View attachment 855799



Hapo ulipoichukua hicho picha kuna maneno haya ambayo nadhani hujayaona yanayosema:-

"Much remains unknown about the common ancestors of living apes and humans from the critical time when these branches diverged----"

👆🏻Umeona hayo maneno kwamba mambo mengi hayajulikani kuhusu common ancestors wa apes na watu---

Kwa msingi huo wanasansi wanabun8 tu bila hakika.
 
Sipingi ulichokisema ila naona majibu unayo kabisa kuhusu binadamu na early apes kuwa na uwezekano wa kushare some features of same common ancestor


Kuwa na feature zinazofanana siyo kigezo kwamba tuna share the same common ancestors, hapo siyo kweli.
 
Kuwa na feature zinazofanana siyo kigezo kwamba tuna share the same common ancestors, hapo siyo kweli.
Nakupinga ...uwezekano ndo maana wanasema sio kwamba apes ametoka kwa human au human ametoka kwa apes ila wote hao wawili wana lineage moja na wanashare x_tics ambazo ancestor inasemekana ni mmoja ...
 
Nakupinga ...uwezekano ndo maana wanasema sio kwamba apes ametoka kwa human au human ametoka kwa apes ila wote hao wawili wana lineage moja na wanashare x_tics ambazo ancestor inasemekana ni mmoja ...



Mkuu Lyon siyo kweli hata kidogo unachosema, kwa sababu hata "human species" nazo hazina lineage moja sembuse masokwe na manyani yawe na lineage moja na watu???, mfano nimekutolea Wabantu na Mongoloids, wabantu chukua mfano, Msukuma na Mchina unaweza kusema hawa ni lineage moja??, lakini wote hao ni specie moja na ndiyo maana wanaweza kuzaa mtoto chotara.
 
Qur'an ndio kitabu cha Dini nilichojifunza, vyengine kama Bible nimenyapianyapia tu

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Mkuu nilivyosoma post yako sikuelewa,sasa kama umesoma Qurani wenye Qurani waje wakujibu ,lakini ushauri wangu soma kitabu kilichokuwepo kabla ya Quran hutakuwa na maswali kama hayo,kasome biblia.Unajua nimeshangaa eti Adam na Hawa walikuwa mbinguni kwanza kisha walipoasi wakaletwa duniani kumbe umesoma kule.Pole mkuu.
Kasome biblia ukiwa na maswali njoo tutakujibu.
 
Mkuu nilivyosoma post yako sikuelewa,sasa kama umesoma Qurani wenye Qurani waje wakujibu ,lakini ushauri wangu soma kitabu kilichokuwepo kabla ya Quran hutakuwa na maswali kama hayo,kasome biblia.Unajua nimeshangaa eti Adam na Hawa walikuwa mbinguni kwanza kisha walipoasi wakaletwa duniani kumbe umesoma kule.Pole mkuu.
Kasome biblia ukiwa na maswali njoo tutakujibu.



Swali lake ni; je, Adam ndiyo mtu wa kwanza kuumbwa duniani??
 
Swali lake ni; je, Adam ndiyo mtu wa kwanza kuumbwa duniani??
Kwenye maelezo yake ya mwanzo kuna mambo ambayo sikubaliani nayo,kwa hiyo siwezi kuchukua sehemu na kuijibu wakati zingine kwangu hazijakaa vizuri.Ndiyo maana nimemshauri akija na source ya info zake ni "biblia " nitamjibu sasa kwa kuwa source ni Quran kwahusika watamjibu.
 
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Mwisho wa hii series ni Miungu kuomba Radhi kwa yale waliyowasababishia wanadamu [emoji16][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wana Intelligence ....
...hili jambo linanichanganya sana juu ya uwepo wetu Duniani....
Nikiangalia vitabu vya Dini zote vinatuambia kwamba, lengo la kuumbwa kwetu Mungu alitaka kiumbe kitakachoweza kuitawala Dunia na vilivyomo ndani yake.
Sasa hapohapo vitabu vya Dini vinatuambia Binaadamu wa kwanza kuumbwa aliwekwa Heden kwa tafsiri rahisi ni sehemu iliyokuwa tulivu yenye Miti, matunda na Bustani za kupendeza zilizopo hukohuko Mbinguni then Adam akaumbiwa mwanamke ili amfariji na wazaane....
.....vitabu vya Dini vikaendelea kutupa historia yetu sisi wanaadamu kwamba baba yetu Adam na Mama yetu Hawa walikosea masharti waliyowekewa kuishi humo kwa kurubuniwa na Malaika mmoja mkosefu aliyekataa kumsujudia Adam basi Adam na Hawa wakatupwa Duniani.
.....sasa maswali yapo hapa...
Kama lengo la Mungu kumuumba mwanaadam kuja kuitawala Dunia kwanini alimweka kwanza Mbinguni na asinge mleta moja kwa moja Duniani mpaka pale alipokosea?...
Inaelezwa kwamba Malaika Ibilisi ndie alie warubuni Adam na Hawa Je ulikuwa ni mpango wa Mungu awajaribu na kupata sababu ya kutuleta Duniani?
Je kwanini Mungu aliona hii ndio njia bora na si kututeremsha kwa Amani na akatuchagulia njia ya kumkosea?
Je kuna mapungufu katika hili juu ya uwepo wa binaadam Duniani. Nawaombeni wana Jamvi tujadilini hili
NAWASILISHA

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Tumejikuta tu kwa hii dunia. Hamna cha mpango wa mungu wala bahati
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Sent using samsung galaxy grand prime pro
 
Tumejikuta tu kwa hii dunia. Hamna cha mpango wa mungu wala bahati
We inaelekea hutaki kujishughulisha na kukijua chanzo chako na mwisho wako

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Kwenye maelezo yake ya mwanzo kuna mambo ambayo sikubaliani nayo,kwa hiyo siwezi kuchukua sehemu na kuijibu wakati zingine kwangu hazijakaa vizuri.Ndiyo maana nimemshauri akija na source ya info zake ni "biblia " nitamjibu sasa kwa kuwa source ni Quran kwahusika watamjibu.
Nipe sourse za ki biblia nijifunze mkuu na kujua ukweli

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
Hili swali gumu sana, tena sana, ila ni rahisi sana ukijua ya kwamba Mungu alipomuumba mwanadamu akiwa roho alimjaribu kwa mambo mengi ikiwemo kumchoma moto ila bado wakabishana, hadi pale alipoinyima nafsi maji ndipo ilikiri na kumkubali Mungu, tukumbuke adamu ndiye wa kwanza kuwa na mwili yaani kapendelewa ajabu hadi malaika wakaona wivu, yeye kapewa nafsi roho mwili, sasa tatizo liko hivi, tumejisahaulisha makubaliano yetu na Mungu tukiwa roho, kabla Adam hajawa na mwili alipewa maagizo mengi sana na aliyakubali yote, kwahyo alipokubali akaletwa katika mwili kwahyo mtu aliyekiri mkiwa wote halafu akiapa na kukuharakisha kumfanyia atakavyo ukimtimizia vyote halafu akakukosea utamfanyaje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom