wananipuuza, wanachukulia poa, pia tunamuona kama jamaa kipa katoka, ila ndio mambo yake yeye yanakamilika
Acha undezi weweOna huyu
Dah, marangu si ndio wale flat ass! Au?Kaoa marangu hivyo hana jinsi zaidi ya kuipenda nchi iliyompa kiburudisho
Ukitoa yeye kuonesha mapenzi na tz, je ana connection na system?wananipuuza, wanachukulia poa, pia tunamuona kama jamaa kipa katoka, ila ndio mambo yake yeye yanakamilika
Undercover unafikiri wanajiexpose hivyo.. Kujiweka mbele ya makamera kiasi hicho.. Jamaa yule yuko real sana na kuishi kwake TZ muda mrefu kunaonekana katika namna anavyozungumza kiswahili fasaha na ndiyo maana pia kawa na mapenzi na TZ. Mbona yuko wazi sana katika hili!! Sema tu kuna nati kama zimekata.
Hiyo operesheni pengine ni ya juzi na yeye amekuwa picked kama asset sababu ya hiyo background unayoongeleaa. Operesheni za kijasusi zinaweza kuanza muda wowote. Hakuna aliyesema alikuja kwa nia ya kijasusi miaka kumi iliyopita. Tunaongelea yanayotokea sasa hivi yanabidi yaangaliwe kwa umakini na watu wa counter-intelligence. Fuatilia stori Elly Cohen ndo utafahamu kwanini hatupaswi kubweteka juu ya bongo zozo. Ujasusi una sura nyingi sana. Ujasusis ni pamoja na kupeleleza muelekeo wa sera za nchi na pengine kuziinfluence kwa kupitia watoa maamuzi. Mfano mwingine angalia spy ring ya warusi iliyokuwa bursted 2010 pale USA. Walikuwa hawatafuti information ambazo ni za siri sana, walikuwa tu wanajipenyeza karibu na watu wenye maamuzi ili kufahamu yanaoyoendelea katika utungaji wa sera.yupo bongo zaidi ya miaka10 mchongo gani huo wa kufukuzia miaka yote hiyo
Sijaelewa mkuu!!!kwahiyo kikombe cha Babu wa Loliondo ni Mataptap?Alikaa muda mrefu ndio akawa na hayo mapenzi na Tanzania.
Ulitaka aanze kuwa na mapenzi hayo lini na kwanini, ili roho yako itulie?!
Hiyo nia yake iliyojificha ulitakiwa uieleze ni ipi kama unaifahamu, sio hisia.
Mna jihisi sana ndio maana, mnakunywa mataptap mkiharisha, mnasema mlinyweshwa sumu.
majibu yanayotolewa unaweza ukaona kabisa level ya mtu ya uelewa wa mambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tanzani kuipeleleza ndo unakuja kuishia uwanja wa taifaa...!! Au anapeleleza mashabiki wa mpiraa...
Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
Inavyoonekana una lack exposure........Wazungu wengi wakija bongo wana admire sana kwa hospitality yetu hivyo utokea wanaipenda sana nchi yetu...huyo Bongozozo shauri ya uchakaramu tu ndo maana anajulikana sana.Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
Kujihisi kubaya sana, labda ndiyo sumu alinyweshwa.Sijaelewa mkuu!!!kwahiyo kikombe cha Babu wa Loliondo ni Mataptap?
Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
Wekeni picha tumuone huyo bongozozo