Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha waeleze wapenda vya bure waelewe,maana kawa akija kila kituo cha TV, Redio kinamgombania, mara anaalika waandishi wa habari,,Muogope sana mtu anaevuta tenshen ya watu, tena kwa gharama zake. Lazima mtalipia tu, kivipi? Mimi sijui
Hakuna kitu hapo mapenzi yake kwenye soka yamezidi tu,alikuwepo pia afcon egypt...labda yongeza anatafuta umaarufu pia.Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
KWeli una jicho la kijasusi. Bongozozo ni kama anatengeneza cover story. Soon ata gain access na watu waliopo mahali sensitive. Na ni kitu kimeanza kutokea tayari. Na wafuatao ndo itakuwa next point of contact maana hawa ndo weakest link kama kweli jamaa yupo kimkakati: Kigwangala, Mwakyembe, Makonda.Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
Hii mijitu ya akili hii nayo ipo na sisi JF? Hapo ndo roho huwa inaniuma sana.
Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.
Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?
Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
Utafiti wa Havard University uliitimisha kwamba "Africans are predisposed to be less intelligent"
Mwandishi wa haya maandishi anathibitisha utafiti wa Havard kwa vitendo kwamba ni kweli.