FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Naomba muongozo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheti cha ndoa ni uhuni tu wa diniNaomba muongozo
Yaani nifanye mjadala na google?Ujue nyuzi nyingi suluhisho lake ni rahisi unagoogle tu....
Yaani nifanye mjadala na google?
Sawa, hebu close hiyo end hapa tuone.., maana ukisearch google kwa kiswahili mara nyingi naletwa JF, kwahiyo nimefanya shortcut kuja hukuunaiuliza, ina majibu ya uhakika
kuna vitu havihitaji mjadala ni close ended
Sio wa dini, ni wa serikali. Vyeti vyote vya ndoa vinatolewa na serikali. Dini zinatii mamlaka ya kiserikali.Cheti cha ndoa ni uhuni tu wa dini
Ukifunga ndoa Kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?Sio wa dini, ni wa serikali. Vyeti vyote vya ndoa vinatolewa na serikali. Dini zinatii mamlaka ya kiserikali.
Ukifunga ndoa ya kikristo, kiislam au kiserikali wote mnapata vyeti vinavyofanana.
Lazima watakupa,hawawezi kuikosa 50 ya cheti mkuuUkifunga ndoa Kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?
Usipompata MTU sahihiNdoa ni ndoano
Hapana mkuu. Huo ni utaratibu aliyojiwekea binadamu ili iwe rahisi kuthibitisha kama umefunga ndoa na fulani.Naomba muongozo
Sijui kwa waislamu. Lakini biblia haijataja.Naomba muongozo
Naunga mkono hojaUsipompata MTU sahihi
Ukifunga ndoa bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?Lazima watakupa,hawawezi kuikosa 50 ya cheti mkuu
Umdhibitishie nani? Na kwa ajili gani?, kwani ndoa inalazimishwa?Hapana mkuu. Huo ni utaratibu aliyojiwekea binadamu ili iwe rahisi kuthibitisha kama umefunga ndoa na fulani.
Ni ngumu mkuuUkifunga ndoa bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?
Ukifunga kanisani ndoa ni lazima upewe cheti. There's no way hutapewa, maana gharama zake unazitoa mapema kabisa kabla siku ya ndoa.Ukifunga ndoa Kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?
Serikali ikiamuru makanisa na misikiti yaweke sanamu la shetani kwenye nyumba za ibada, watatii?