Je, Cheti cha ndoa kimetajwa popote kwenye biblia au Quran?

Je, Cheti cha ndoa kimetajwa popote kwenye biblia au Quran?

Sio wa dini, ni wa serikali. Vyeti vyote vya ndoa vinatolewa na serikali. Dini zinatii mamlaka ya kiserikali.

Ukifunga ndoa ya kikristo, kiislam au kiserikali wote mnapata vyeti vinavyofanana.
Ukifunga ndoa Kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?

Serikali ikiamuru makanisa na misikiti yaweke sanamu la shetani kwenye nyumba za ibada, watatii?
 
Ukifunga ndoa Kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?

Serikali ikiamuru makanisa na misikiti yaweke sanamu la shetani kwenye nyumba za ibada, watatii?
Ukifunga kanisani ndoa ni lazima upewe cheti. There's no way hutapewa, maana gharama zake unazitoa mapema kabisa kabla siku ya ndoa.

Halafu kuhusu uhalali wa ndoa hiyo kidini, ni kwamba tukio la kutoa cheti cha ndoa ni sehemu ya taratibu za kufungisha ndoa. So kama wewe na mkeo hamtasaini vyeti vyenu, nachelea kusema kuwa tukio la kufunga ndoa hapo litakuwa halijakamilika.
 
Back
Top Bottom