FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Ni ngumu maana yake itakuwa halali kidini au sio halali kidini?Ni ngumu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ngumu maana yake itakuwa halali kidini au sio halali kidini?Ni ngumu mkuu
chatgpt ni rahisi, inaelewa hadi kiswahili....Sawa, hebu close hiyo end hapa tuone.., maana ukisearch google kwa kiswahili mara nyingi naletwa JF, kwahiyo nimefanya shortcut kuja huku
Ndiyo inalazimishwa ndio maana kweneye kuachana kuna vuta nikuvute.Umdhibitishie nani? Na kwa ajili gani?, kwani ndoa inalazimishwa?
cheti cha ndoa ni umbea tu na ni mazingira ya ss wanaume kutapeliwaNaomba muongozo
Hili siwezi kulisemea, linategemeana. Kwenye biblia, katika kitabu cha Daniel, ziliwahi kuwekwa sheria ambazo zilikuwa zinakinzana na matakwa ya Mungu. Wapo waliotii na wengine kukataa kutii wakiongozwa na Daniel, Shadrack, meshack na Abednego. So hili siwezi kulisemea. Labda uniulize mimi personally.Serikali ikiamuru makanisa na misikiti yaweke sanamu la shetani kwenye nyumba za ibada, watatii?
saihii nikipata binti mzuri na smart nitamtunza sanaaa sanaaUsipompata MTU sahihi
Endapo umefunga ndoa kanisani au msikitini bila cheti, KIDINI hiyo ndoa ni halali?Ukifunga kanisani ndoa ni lazima upewe cheti. There's no way hutapewa, maana gharama zake unazitoa mapema kabisa kabla siku ya ndoa.
Halafu kuhusu uhalali wa ndoa, sijui unaongelea uhalali upi? Uhalalali mbele za Mungu au uhalali kisheria?
Sasa hiyo ni google? Anyway, Ndio nikauliza, ukifunga ndoa kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa KIDINI ni halali?chatgpt ni rahisi, inaelewa hadi kiswahili....
View attachment 2837839
Huku mbeya wapo wengi sana sema nikuunganishe tusaihii nikipata binti mzuri na smart nitamtunza sanaaa sanaa
Si halali mkuuNi ngumu maana yake itakuwa halali kidini au sio halali kidini?
mbeya weusi sana na wafupiHuku mbeya wapo wengi sana sema nikuunganishe tu
Cheti Cha Ndoa so Cha Dini. Ni Takwa la Katiba ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanganyika na ZanzibarCheti cha ndoa ni uhuni tu wa dini
Huwezi ukafunga ndoa kanisani bila cheti. Utoaji wa cheti ni moja ya taratibu za kufunga ndoa.Endapo umefunga ndoa kanisani au msikitini bila cheti, KIDINI hiyo ndoa ni halali?
😂😂😂kumbe upo kusarurasarura.....bas vuta subira utampata umtakaye mkuumbeya weusi sana na wafupi
Naomba muongozo
Ili ufunge ndoa kanisani kuna fedha unailipa mapema kama maandalizi, fedha hizo ni sehemu ya malipo ya cheti cha ndoa. Bila fedha hizo kanisa halitajishughulisha na mpango wa ndoa yakoSasa hiyo ni google? Anyway, Ndio nikauliza, ukifunga ndoa kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa KIDINI ni halali?