min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Au aulize AI sku hiz mambo ni simple tu.unaiuliza, ina majibu ya uhakika
kuna vitu havihitaji mjadala ni close ended
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au aulize AI sku hiz mambo ni simple tu.unaiuliza, ina majibu ya uhakika
kuna vitu havihitaji mjadala ni close ended
Nmependa[emoji3526]Imetajwa posa tu unajing'olea mke.....hizo zingine ni nyongeza mkuu....jiongeze
Una kikomo mkataba huo?Ni mkataba kwa wale walioamua kuishi pamoja
ingekuwa ndoana wanandoa wasingeachanaNdoa ni ndoano
Eheee mkuu hapo kwenye kimila huwa inakuaje mpaka kinasajiliwa kiserikali?cheti sio cha dini wewe, ni cha serikali, hata ukifunga kimila kitasajiliwa na serikali, labda dini ya kiislam wanavyo vyao na hupeleka serikalini kopi kusajiliwa
Shida wanapatikana ukishaoa mkuu,huku nje atakulaghai kwa kujinyenyekeza ili aipate ndoa....akiipata asipobadili tabia ndiyo huyo namzungumziaMtu sahihi yukoje au ana sifa zipi?
Siwez thibitisha mkuuKwahiyo biblia na Quran ni miongozo potofu sivyo?
Yeah,sureEehe comfortability is the key
vya waislam wanaviita shahada kuipata ni elfu hamsini na kwa wakristo wanaviita vyeti hivyo hivyo kuipata ni elfu ishirini kwa sasa. Hivyo vyeti vinatoka serikaliniSijui kwa waislamu. Lakini biblia haijataja.
Wakristo wanatoa cheti kwa kutii matakwa ya kiserikali, na vyeti hivyo wanavichukua serikalini. Hawatengenezi wao.
Duh akili kisoda muda mwingine sio lazima kuleta uzi kama huu wakati ungeenda kuongea na viongozi wa dini wangekupa majibu. Akili ndogo sana aseeUkifunga ndoa Kanisani au msikitini bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?
Serikali ikiamuru makanisa na misikiti yaweke sanamu la shetani kwenye nyumba za ibada, watatii?
Ndoa sio msahafu au biblia unaachana nae.Shida wanapatikana ukishaoa mkuu,huku nje atakulaghai kwa kujinyenyekeza ili aipate ndoa....akiipata asipobadili tabia ndiyo huyo namzungumzia
wapoLabda umtengeneze wewe mwenyewe.
hahhahaacheti cha ndoa, mpango kabambe wa kumfilisi ME
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Kwanini hati ya Talaka walipomuuliza Yesu ni halali kutoa hati ya talaka?Naomba muongozo
Kwani ukioa kimila unapewa Cheti cha Ndoa?Ukifunga ndoa bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?
kiongozi wa kimila anayefungisha ndoa hiyo anajaza cheti na yeye pia awe anatambulika serikaliniEheee mkuu hapo kwenye kimila huwa inakuaje mpaka kinasajiliwa kiserikali?
Ivo yaanNdoa sio msahafu au biblia unaachana nae.
Mkuu,hukitaki cheti?Ukifunga ndoa bila cheti, hiyo ndoa ni halali kidini?