Je, Cheti cha ndoa kimetajwa popote kwenye biblia au Quran?

Je, Cheti cha ndoa kimetajwa popote kwenye biblia au Quran?

Ndiyo inalazimishwa ndio maana kweneye kuachana kuna vuta nikuvute.
Kuna utaratibu wa binadamu, mfano wewee mfanyakazi ili una bima ina cover mkeo pia, ili tuthibitishe tunahitaji cheti kujua kama kweli mkeo.
Umekufa wanakuja wanawake wengi kila mmoja anadai ni mkeo, njia rahisi kachet katatueleza nani mke halali.
Na mengineyo ...
Ewaaaaa, hapo sas aumekuja uwanjani.

- je, ni kwanini mtu afunge ndoa na mtu ili kupata haki zisizo za kindoa?

Mfano;
1.) kama ni bima, kwani siwezi kuchagua beneficiaries ninao wataka mimi, in whichcase unahitaji kitambulisho tu cha kukudhibitisha. Uwe mke , usiwe mke, so as long as nimekutaja kama beneficiary, si inatosha? Si unahitaji ID tu?

2.) Kama ni mirathi, kwani siwezi kuchagua beneficiaries wangu,uwe mke , usiwe mke, uwe kaka au usiwe kaka, na inthat case kama nimekutaja si unahitaji ID tu..?

Kwanini benefits zisizo za kindoa ziwe attached na ndoa? Why?
 
Ngoja niwaulize wale wa harusi ya Kana maji yalibadilishwa kuwa
divai niwasikie walichoshuhudia.Walitunukiwa cheti au laa!
 
Ewaaaaa, hapo sas aumekuja uwanjani.

- je, ni kwanini mtu afunge ndoa na mtu ili kupata haki zisizo za kindoa?

Mfano;
1.) kama ni bima, kwani siwezi kuchagua beneficiaries ninao wataka mimi, in whichcase unahitaji kitambulisho tu cha kukudhibitisha. Uwe mke , usiwe mke, so as long as nimekutaja kama beneficiary, si inatosha? Si unahitaji ID tu?

2.) Kama ni mirathi, kwani siwezi kuchagua beneficiaries wangu, na inthat case kama nimekutaja si unahitaji ID tu..?

Kwanini benefits zisizo za kindoa ziwe attached na ndoa? Why?
Ni utaratibu wa dunia tu. Kama ambavyo hukuulizwa kama wataka kuzaliwa au la! Ndivyo na mambo mengone yalivyo.
Ila siku hizi si kuna utaratibu wa watu wanaoana mali za kila mtu zinabaki zake.
Cheti no certificate ya kuthibitisha hawa waliunagama wakawa mwili mmoja hivyo chale changu. Binadamu atajuaje bila kumwonyesha uthibitisho sasa assume ni hakimu?
Na mkuu kama wataka kuoa si unaoa ukiwa wajua consequencies za kuoa, so hayo unakuwa umekubaliana nayo.
 
cheti cha ndoa ni uthibitisho wa kiserikali ili ikitokea tatizo kati ya wanandoa muwe mnatambulika.
ila katika dini siyo lazima bila hata cheti ndoa bado ni halali kama vigezo vya ndoa vimetimia (kiislam)
1.) Tatizo kama lipi?

2.) Ni kwanini sasa wanaofunga ndoa ili kutimiza miongozo ya kidini, wanalazimishwa kutimiza takwa lisilo la kidini?
 
Huwezi ukafunga ndoa kanisani bila cheti. Utoaji wa cheti ni moja ya taratibu za kufunga ndoa.

Cheti ni uthibktisho kuwa umefunga ndoa, so there's no way hutakichukua wakati ushalipia gharama zake
Ni assumption, endapo.., je , itakuwa halali kidini?
 
Umuhimu wa cheti cha ndoa ni pale mke/mume unamtaka na anakukana sio mumewe/mkewe.,

Na huna uthibitisho wowote kwamba mna ndoa.

Jasho litakutoka.
Kama hakutaki, ndoa si haipo at that instant, kwani ndoa inalazimishwa, au ni kitu cha milele? Ndoa inaisha pale mmoja anapokukana, pale pale ndoa inafutika, immediately. Kwani ndoa inalazimishwa, unataka umdhibitishie nani wakati mtu kakukana?
 
Ni utaratibu wa dunia tu. Kama ambavyo hukuulizwa kama wataka kuzaliwa au la! Ndivyo na mambo mengone yalivyo.
Ila siku hizi si kuna utaratibu wa watu wanaoana mali za kila mtu zinabaki zake.
Cheti no certificate ya kuthibitisha hawa waliunagama wakawa mwili mmoja hivyo chale changu. Binadamu atajuaje bila kumwonyesha uthibitisho sasa assume ni hakimu?
Na mkuu kama wataka kuoa si unaoa ukiwa wajua consequencies za kuoa, so hayo unakuwa umekubaliana nayo.
Hahaha, eti ukijua consequences.., 😄😄😄😄, tuishie hapa kwanza. Kuna mrembo flani ananiangalia sana.., nitarudi.., Fuckn Consequences...
 
Hicho cheti ni abrakadabra tu wala hakina maana, kimewekwa tu kama ushahidi wa kugawana mali endapo ndoa itasambaratika kwa namna yeyote ile. Ila hakizuwii ndoa kuvunjika ndio hapo ninaposhangaa umuhimu wake
 
Cheti cha ndoa sio cha dini ni cha serikali
 
Kama hakutaki, ndoa si haipo at that instant, kwani ndoa inalazimishwa, au ni kitu cha milele? Ndoa inaisha pale mmoja anapokukana, pale pale ndoa inafutika, immediately. Kwani ndoa inalazimishwa, unataka umdhibitishie nani wakati mtu kakukana?
Hivi unajuwa athari ya mwanandoa kukukana?
Wakati umesha invest pamoja vitu kadhaa?

Watoto
Mali nk.

Upo radhi kuvipoteza?
 
Back
Top Bottom