sawa,Jiwe alitaka aibe yeye tu na jamaa zake wachache kina Bashite na Saambaya, na mahuaji juuTatizo lako January una uroho sana wa mali za umma.jamaa alikukaba haswa.punguza chuki kwa mtu asiyekuwepo duniani tena
na Yehova nae ni nani kwa kiswahili?Kwa kiswahili Allah ni nani?
Hila humu watu ni vichaa sanaMie alinibusu mara ya mwisho kumbe alikuwa anaenda kuolewa na mwingine[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
"Tanzania niliyoitaka sintaiona".Mtanikumbuka- Hayati JPM mwamba wa Chato.
Ukiwa huelewi kitu better ukae kimya usiexpose ujinga wakoMungu gan na yeye ndio mnadai ndio mungu ??
Sio "hakuna mwenyezi Mungu isipokuwa Allah " ila "hakuna Mungu isipokuwa isipokuwa Allah"yaani hakuna Mungu mwingine wa kuabudiwa isipokuwa AllahHaya mambo ya dini wewe waachie wafia dini, kule kwingine nako kuna kauli mbiu hakuna mwenyezi Mungu isipokuwa Allah.
Haitaji kuwa na mwanamungu gani wenu ambaye anaweza kufanya chochote lakini kashindwa kuwa na mwana?
na mabaya yake piaMkuu tukiweka unafki pembeni hero from Chato anakumbukwa kwa mema yake
Inakuaga hivyo ata mimi mama yangu alifanya hivyo mara ya mwisho yani anatuangalia kwa muda mrefu watoto wake mmoja baada ya mwingine na mwisho wake usiku wa kuamkia siku inayofuata kaondoka.Hakufia hospitalin..
nakumbuka ilikuwa asubuhi nilikuwa nafua nguo zangu za shule, mzee alitoka chumban kwake akasimama mlangoni akawa ananiangalia nikashtuka nikamwambia mbona umeniangalia muda mrefu sana kuna kitu labda ulitaka uniambie akasema hapana babu akaingia ndani akalala. rip babu.
Hicho ulichoongelea ni kifo cha mateso, kama ulivyosema kifo ni fumbo. Anayejua ni mfaji pekee na sio wewe. So keep quiet!Wakati mgumu mno ni ule wakati uhai unatoka - usiombe kitu hicho kikukute. Ukitaka kujua namna utakavyohangaika jaribu kuziba pumzi yako wa dakika kama 3 hivi... au jaribu kujinyonga na kisha ukijitundika mwambie nduguyo awepo hapo ili kabla hujakata roho aikate kamba - then uje utushuhudie uchungu wake.
Kwa kweli kifo ni kitu kichungu mno, na kibaya zaidi ukishazaliwa tu lazima ushuhudie maumivu hayo na baada ya kukata roho hutajua upo wapi, kama ulizaliwa duniani ama laah.
Kifo ni fumbo.