Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
How can you measure photons? are massless na ndio zilizofanya yote hayaNdio ni real.
Hizo Organ zote na system zote mwilini mwangu zipo na ninazo in reality.
Hata hizo DNA zinapimika in reality na mimi naweza kujua nina DNA kwa kujipima.
Mimi ni real ndio.
Nimekutoa kwenye Bing Bang sasa nakupeleka kwenye String theory Utanielewa tu hata kama kichwa chako ni kigumu.Ndio ni real.
Hizo Organ zote na system zote mwilini mwangu zipo na ninazo in reality.
Hata hizo DNA zinapimika in reality na mimi naweza kujua nina DNA kwa kujipima.
Mimi ni real ndio.
Kwa kutumia Photodetectors.How can you measure photons? are massless na ndio zilizofanya yote haya
Kwanza hujathibitisha hiyo Bing-bang ilitoka wapi?Nimekutoa kwenye Bing Bang sasa nakupeleka kwenye String theory Utanielewa tu hata kama kichwa chako ni kigumu.
You detect or you measure. Detection ya photons hata macho yetu yanaweza fanya hivyo.Kwa kutumia Photodetectors.
Big bang is a theory mzee. Wala usitake turudi huko maana issue ya universe tumemalizana nayo. Sasa hivi tunaongelea small particles. Ndio maana nikakwambia usome String theoryKwanza hujathibitisha hiyo Bing-bang ilitoka wapi?
Na huko ilipotoka, kulifanyikaje?
Ngona nikupigie vitu vichache vya Physics ili akili ichangamke kidogo.Kwa kutumia Photodetectors.
Electromagnetic radiation.You detect or you measure. Detection ya photons hata macho yetu yanaweza fanya hivyo.
Photons are Electromagnetics waves mzee. They are massless.
Unajua photons zimeundwa na nini?
Yes radiations are waves are not mattersElectromagnetic radiation.
Mwanzoni nilikwambia kabisa,Big bang is a theory mzee. Wala usitake turudi huko maana issue ya universe tumemalizana nayo. Sasa hivi tunaongelea small particles. Ndio maana nikakwambia usome String theory
Also ukiweza usome Quantum Physics.
But hizo radiations zipo ndani ya Universe ndio maana umeweza kuzichunguza na kuzipima.Yes radiations are waves are not matters
Mzee mbona unaandika kama uneducated person? Big bang is a theory of Creation of universe. Wewe huna proof yoyote ya kuwa Universe ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Haya ni maneno tu unaongea hayana proof yoyote.Mwanzoni nilikwambia kabisa,
Universe ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.
Ndio maana umeshindwa kuonyesha hiyo Big-bang ilipotokea.
Huoni sasa hiyo Bing-bang imeanzia kwenye universe ambayo ilikuwepo tangu mwanzo?
Those radiations created universe kwa wa mujibu Science.But hizo radiations zipo ndani ya Universe ndio maana umeweza kuzichunguza na kuzipima.
Sasa huwezi kusema kwamba universe is not everything.
Kwa sababu tayari hizo radiations zipo ndani ya Universe hii hii, uliyopo na tuliyopo wote.
Ndio maana umeweza kuzi dadisi.
Hata wewe Huna proof ya wapi au sehemu gani hiyo Bing-bang ilitokea.Mzee mbona unaandika kama uneducated person? Big bang is a theory of Creation of universe. Wewe huna proof yoyote ya kuwa Universe ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Haya ni maneno tu unaongea hayana proof yoyote.
Can you prove your claim?
Unaanza tena kuleta upumbavu.Hata wewe Huna proof ya wapi au sehemu gani hiyo Bing-bang ilitokea.
Hizo radiations kabla yaku create Universe, Zilikuwa wapi?Those radiations created universe kwa wa mujibu Science.
Sasa unaniulza mimi tena. Unatakiwa sasa wewe ujibu swali hilo. Tueleze Universe ilikuwaje kabla ya kuwa created.Hizo radiations kabla yaku create Universe, Zilikuwa wapi?
Huko zilipokuwa, kulitoka wapi?
Na kulifanyikaje?
Umeshindwa kuonyesha Big-bang ilipotokea, unaanza kuruka ruka tena.Unaanza tena kuleta upumbavu.
Mimi nilishakujibu tangu mwanzoni, Tatizo lako huzingatii.Sasa unaniulza mimi tena. Unatakiwa sasa wewe ujibu swali hilo.
Universe haikuwa created.Tueleze Universe ilikuwaje kabla ya kuwa created.
Mpaka sasa umeshindwa kuonyesha andiko linalosema na lililo kufunza kwamba, Universe is not everything.Ukikubali kuwa Universe is not everything tutajadili kisomi