Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

Unathibitishaje kitu hicho ni God na si kitu kingine chochote kile?

Au umeamua tu, kupachika hilo jina "God" na kutunga definition yako kwamba, Anything beyond man's intelligent is called God?
Nikuongezea tena.
Najua unajua kuna vyama vya siasa. Unajua kuna makampuni.
Unaweza kutuonesha Chadema?
Unaweza Kutuonesha CCM?
Unaweza kutuonesha Demokrasia?

But kuna wafuasi wa vyama hivyo vya siasa wengi tu. Je wanafuata nini sasa? Je wewe ni mfuasi wa chama gani? Je wewe ni mpenzi wa timu gani ya mpira? Je, timu yako ikifungwa unajisikiaje?
Ukishaelewa hayo mambo madogo madogo ndio tutakuja kuongelea kuhusu God
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Ndio maana ninaendelea kueleza. Huwezi ukajibu mswali ya Chemistry kwa kutumia Idea za History.
Nimekuuliza swali kwenye #26 lakini naona unaleta ubishani tu.
Mambo ya Kuthibitisha yanatokea wapi kwenye imani?
Imani inaweza hata kuwa ya UONGO.

Ili tuhakikishe na tujue kwamba imani yako ina Ukweli lazima uithibitishe.

Wewe unaleta imani zako tu bila uthibitisho, Tutahakikishaje na kuthibitishaje ni za kweli?
Ukitaka kuthibitisha kitu nenda kasome sayansi

Imani huwa ina deal na Morals, Values and Ethics? Mbona mzee kichwa chako kigumu sana kuelewa?
Mimi sihitaji imani, Kwa hivyo unavyo niletea imani zako mimi ambaye sina imani lazima nikukosoe.

Mimi sihitaji kuamini kwenye imani yako, Mimi nahitaji kujua kwa uthibitisho, ushahidi na uhakika.
Ukisoma hiyo comment yangu #26 Imeeleza vitu vingi sana.
Sayansi inajibu maswali ya How
But Imani inajibu maswali ya Why
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.

Kwa hivyo unaweza kuamini hata kitu cha uongo na kuunda majibu ya uongo kwa maswali ambayo huna majibu nayo.

Lakini ili tuhakikishe na kuthibitisha majibu yako ni ya kweli lazima kuwepo uhakiki, ushahidi na uthibitisho.

Je unajua maana ya Concept? Halafu wapi mimi nimesema God ni Kiumbe kilichopewa jina?
Nimekueleza Existence of God is a concept derived from the curiosity of human.
Kwa maana hiyo, God is just an assumption created through your curiosity and imaginations.

That God doesn't exist in reality.
Sasa jibu swali langu


What is Nature?
Nature is a physical world, Universe and everything in it.
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
Imani inaweza hata kuwa ya UONGO.

Ili tuhakikishe na tujue kwamba imani yako ina Ukweli lazima uithibitishe.

Wewe unaleta imani zako tu bila uthibitisho, Tutahakikishaje na kuthibitishaje ni za kweli?

Mimi sihitaji imani, Kwa hivyo unavyo niletea imani zako mimi ambaye sina imani lazima nikukosoe.

Mimi sihitaji kuamini kwenye imani yako, Mimi nahitaji kujua kwa uthibitisho, ushahidi na uhakika.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.

Kwa hivyo unaweza kuamini hata kitu cha uongo na kuunda majibu ya uongo kwa maswali ambayo huna majibu nayo.

Lakini ili tuhakikishe na kuthibitisha majibu yako ni ya kweli lazima kuwepo uhakiki, ushahidi na uthibitisho.


Kwa maana hiyo, God is just an assumption created through your curiosity and imaginations.

That God doesn't exist in reality.

Nature is a physical world, Universe and everything in it.
Hebu ngoja sasa niingie kwenye sayansi na watu wengine wapate kujifunza.

Je, umewahi kusoma Physics? Kama umewahi kusoma Physics utakuwa unajua kuhusu Energy

What is Energy? "Energy is the ability to do work"
The law of conservation of energy

Energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.

Sasa wewe mwanasayansi tuambie:

Where does energy come from to exist?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Imani inaweza hata kuwa ya UONGO.

Ili tuhakikishe na tujue kwamba imani yako ina Ukweli lazima uithibitishe.
Sasa unasema imani inaweza kuwa ya uongo hala hapo hapo unasema huamini katika kuamini? Are you serious?
Ungeelewa kuotokea mwazo usingekuwa na mawazo haya.

Nimekueleza:
God is anything which is beyond of your intelligent abilities
Namna gani sasa itakuwa ya uongo? Imani is personal. Ni jambo la mtu binafsi. Akuthibitishie wewe ili iweje?
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hebu ngoja sasa niingie kwenye sayansi na watu wengine wapate kujifunza.

Je, umewahi kusoma Physics? Kama umewahi kusoma Physics utakuwa unajua kuhusu Energy

What is Energy? "Energy is the ability to do work"
The law of conservation of energy

Energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.

Sasa wewe mwanasayansi tuambie:
Kwanza mimi sio mwana sayansi.

Maana hata sayansi yenyewe kuna vitu vingi bado haijavijua na kuvithibitisha.

Pia bado sayansi ina mapungufu yake kwenye nadharia zake.
Where does energy come from to exist?
Energy did not come from somewhere.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimetokea sehemu fulani, Hata hiyo sehemu fulani lazima iwe imetokea sehemu nyingine fulani.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kimetokea sehemu fulani,

Hata Energy haihitaji kuwa imetokea sehemu fulani.
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
Mimi sihitaji imani, Kwa hivyo unavyo niletea imani zako mimi ambaye sina imani lazima nikukosoe.

Mimi sihitaji kuamini kwenye imani yako, Mimi nahitaji kujua kwa uthibitisho, ushahidi na uhakika.
Nadhani bado upo katika kujitafuta. Utakapojipata, utajicheka sana. Nimekueleza unataka maswali ya Chemistry yajibiwe kwa elimu ya History. Utachanganya madesa kijana wangu.

Imani is not Science imani deals with Morals, Values and Ethics Kama huelewi na hapa basi utakuwa na shida kichwani mwako.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Kwanza mimi sio mwana sayansi.

Maana hata sayansi yenyewe kuna vitu vingi bado haijavijua na kuvithibitisha.

Pia bado sayansi ina mapungufu yake kwenye nadharia zake.

Energy did not come from anywhere.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe kimetokea sehemu fulani, Hata hiyo sehemu fulani lazima iwe imetokea sehemu nyingine fulani.

Na kama si lazima kwamba kila kitu kilichopo kimetokea sehemu fulani,

Hata Energy haihitaji kuwa imetokea sehemu fulani.


Sasa kama wewe siyo mwanasayansi kwanini uulize kitu usichokijua? Kwahiyo hapa tunapiga umbea tu.

I am done with you. Napoteza muda wangu bure to deal with a mbumbumbu
Energy did not come from anywhere.
Sijakuuliza kuwa Energy imetokea wapi? Soma swali langu. Nimekuuliza ni namna gani Energy ilitoka na ikawa ipo?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Nadhani bado upo katika kujitafuta. Utakapojipata, utajicheka sana. Nimekueleza unataka maswali ya Chemistry yajibiwe kwa elimu ya History. Utachanganya madesa kijana wangu.

Imani is not Science imani deals with Morals, Values and Ethics Kama huelewi na hapa basi utakuwa na shida kichwani mwako.
Sasa wewe unaleta imani zako kwenye sayansi inayo hitaji uthibitisho na uhakiki?

Huoni kwamba unataka majibu sehemu isiyo husika?

Hakatazwi kuwa na imani yako kuhusu huyo Mungu, ila Ukianza kudai imani yako ina ukweli, lazima uthibitishe hilo.
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
Sasa kama wewe siyo mwanasayansi kwanini uulize kitu usichokijua? Kwahiyo hapa tunapiga umbea tu.

I am done with you. Napoteza muda wangu bure to deal with a mbumbumbu

Sijakuuliza kuwa Energy imetokea wapi? Soma swali langu. Nimekuuliza ni namna gani Energy ilitoka na ikawa ipo?
Energy haikutoka.

Energy ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Sasa wewe unaleta imani zako kwenye sayansi inayo hitaji uthibitisho na uhakiki?

Huoni kwamba unataka majibu sehemu isiyo husika?

Hakatazwi kuwa na imani yako kuhusu huyo Mungu, ila Ukianza kudai imani yako ina ukweli, lazima uthibitishe hilo.
Sayansi and Faith are two thing different. Usilazimishe
 
  • Thanks
Reactions: 511
Sasa na wewe usilete imani zako kwenye sayansi kutaka ikupe majibu.
Nani ameleta Imani kwenye sayansi? Wapi nimeleta Imani kwenye sayansi. Usinilishe maneno.

From the beginning nimekueleza Sayansi na Imani ni vitu viwili tofauti.

Science deals with Physical things.
Faith Deals with Philosophical issues.

Somo la God is not Science subject is a Faith subject.

Sasa unataka topic ya Chemistry uijibu kwenye History?

You are Stupid
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Nani ameleta Imani kwenye sayansi? Wapi nimeleta Imani kwenye sayansi. Usinilishe maneno.

From the beginning nimekueleza Sayansi na Imani ni vitu viwili tofauti.

Science deals with Physical things.
Faith Deals with Philosophical issues.

Somo la God is not Science subject is a Faith subject.

Sasa unataka topic ya Chemistry uijibu kwenye History?

You are Stupid
You are just throwing tantrums.

Sasa kama unajua sayansi na imani haviendeani, Kwa nini unaleta habari za huyo Mungu na unajua sihitaji majibu ya kiimani?
 
  • Masikitiko
Reactions: 511
You are just throwing tantrums.

Sasa kama unajua sayansi na imani haviendeani, Kwa nini unaleta habari za huyo Mungu na unajua sihitaji majibu ya kiimani?
Unapenda ubishani wa kipumbavu. 🤣 🤣 🤣 Nenda shule kijana. Ukielimishwa elimika. Toa utando wako kichwani mwako.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Umesema hujui sayansi. Sina muda wa kujadiliana na wewe. Maana nikiweka hapa calculations za physics tutapoteana tu. Sitaki umbea mimi
Kuweka calculations za sayansi za nini?

Kwenye ni nini?

Mada inahusu Mungu na wewe unasema Mungu ni imani, Halafu unataka kuweka calculations za sayansi kwenye imani?

Huoni unachanganya vitu?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Unapenda ubishani wa kipumbavu. 🤣 🤣 🤣 Nenda shule kijana. Ukielimishwa elimika. Toa utando wako kichwani mwako.
Wewe ndio Mpumbavu unasema Mungu ni imani, Halafu hapohapo unaleta habari za sayansi zisizo hitaji imani.

Wewe ndio kichwa maji.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Wewe ndio Mpumbavu unasema Mungu ni imani, Halafu hapohapo unaleta habari za sayansi zisizo hitaji imani.

Wewe ndio kichwa maji.
Mzee uelewaa wako ni wa chini mno. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Pamoja na kukupatia free education bado unaleta ubishi wa kijinga tu. Unadhani watu wanao amini uwepo wa Mungu ni wajinga halafu wewe ndiye mwelevu kuwazidi wao.

Unaleta ubishi bila hata justification. Ukiulizwa maswali unakibia.

Nimekuuliza maswali mengi halafu hujajibu hata moja. 🤣🤣🤣🤣

Stupid
 
  • Kicheko
Reactions: 511
ukimkiri Yesu kuwa Bwana na mkombozi wako utaokoka kupitia Yesu kristo mnazareth mkombozi ukimkiri kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako utaenda mbinguni hila usipomkubali mbingu hutaiona pia ukishamkubali kuwa mwokozi wako acha dhambi kaa katika utakatifu acha dhambi kabisa omba toba kaa kwenye utakatifu utaenda mbinguni kwa Baba yetu aliyeziumba mbingu na nchi kwa hiyo kuanzia sasa kubali kumpokea Yesu kuwa Bwana na mkombozi wa maisha yako kwa kuomba toba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Je na kile kizazi kabla Bwana Yesu hajazaliwa wao wamkiri Nani sasa Ile Iwe njia ya wokovu wao?
 
Back
Top Bottom