Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kafie mbele mbwa takataka wewe🖕🖕Unaandika too manya words. Unaandika uozo.🤮🤮🤮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafie mbele mbwa takataka wewe🖕🖕Unaandika too manya words. Unaandika uozo.🤮🤮🤮
Huna uwezo wa kujadili critical matters. Unajilazimisha tu.Kafie mbele mbwa takataka wewe🖕🖕
Ukiandikiwa hoja unaleta Viroja. Sasa hivi ndio unataka kuleta hoja.Huna uwezo wa kujadili critical matters. Unajilazimisha tu.
Nilikuuliza wewe ni mfuasi wa chama chochote cha siasa?
Wewe ni mtanzania?
Wewe ni mshabiki wa timu yoyote ya mpira?
Hayo yote exists?.
Nikakuuliza unaweza prove existence ya CHADEMA? Unaweza prove existence ya CCM? Unaweza prove existence ya Microsoft?
Je, vipi kuhusu Simba na Yanga? Watu wanaumia timu ikifungwa. Umeshawahi kuiona simba ikicheza? Au umeshawahi kuiona Yanga ikicheza? Mbona huwa namuoma Mayele, Mzamiru na watu wengine wakicheza Simba na Yanga zitacheza lini tuzione. Unaweza prove kisayansi existence ya Simba na Yanga?
Somo hilo Rahisi ni introduction ya kujifunza spiritual issues.
Nilikwambia tangu mwanzo God is not only a name is the concept.
Mungu siyo Mtu awe na jinsia ya kiume au ya kike. Mungu siyo mtu aweze kuokoa watu wanapopitia shida.
Shida, furaha, vita nk ndio totality of existence. Without those existence itakuwa na mapungufu.
Nimekufundisha kuwa Sayansi na Imani ni vitu viwili tofauti. Havipingani but they complement each other.
Kuna idea ipo ya Yin and Yang Kwamba katika kukamilisha jambo huwa kuna vitu viwili viwili.
Mfano: Kuna mwanamke na mwanaume
Kuna mkono wa kushoto na wa kulia
Kuna shavu la kushoto na kulia
Kuna juu na chini
Kuna giza na kuna nuru
Hivi vyote vipo ili kukamilisha existence.
Also kwenye utafiti utaangukia kwenye makundi mawili
Sayansi na Imani
Kwa maelezo haya yote marefu natumaini umeelewa.
ASANTE
By Venus Star
🤣 🤣 🤣 🤣Ukiandikiwa hoja unaleta Viroja. Sasa hivi ndio unataka kuleta hoja.
Sina muda waku argue na wapumbavu.
Kafie mbele mbwa takataka wewe 🖕 🖕
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.🤣 🤣 🤣 🤣
Nimekuuliza umewahi kuona Simba na Yanga?
Umewahi kuiona CCM na CHADEMA?
Umewahi kuiona Microsoft and Google?
They exist on the things which already have existence.Do they exists or not?
Kampuni na akaunti ni hali zinazo kuwa operated na wanadamu.Jibu maswali
Makampuni yanasajiliwa kama Entities je yapo na jinsia gani?
Kwanini Kampuni linakuwa na account bank lakini haliwezi lenyewe kwenda kuchukua hizo pesa?
Spiritual world iko wapi?Jifunze Spiritual world na Iman zinavyofanya kazi.
Umeshawahi kuamini katika dini?Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Dini ni utumwa wa fikra.
Mbingu Haipo.
Heaven is the promise for the poor so that they don't demand happiness on earth.
Mimi ni Kama alivyo huyo uliyemfanya kuwa mungu Sasa tuambie alikuwa Me au KeMtaalamu Jagina, Naona uko vizuri kwenye maswala ya Kifilosofia.
Samahani Mheshimiwa watu humu jamvini wanakuuliza wewe ni ME au KE.
Maana jina lako ni la kike lakini maneno yako ni ya kiume.
Wanasubiri jibu wajiridhishe.
Ndio.Umeshawahi kuamini katika dini?
Juzi Simba na Yanga zilikuwa zinacheza uliziona? Watu walijaa uwanjani kuziona Simba na Yanga zikicheza.Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.
CCM, CHADEMA, Microsoft na Google sio vitu bali maneno ya kuonyesha kitu fulani na hali fulani ya kitu au vitu.
Ni maneno ya kuonyesha hali fulani ya kitu au vitu vilivyopo tayari.
Ni sawa na maneno kama njaa, hofu, wasiwasi, aibu, kiu n.k
Hayapo yenyewe kama yenyewe physically, ila yapo kwenye kitu na vitu vilivyopo kama binadamu na wanyama.
They exist on the things which already have existence.
They don't exist on their own.
Kampuni na akaunti ni hali zinazo kuwa operated na wanadamu.
Kampuni na Akaunti sio vitu vilivyopo kwenye uhalisia vyenyewe kama vyenyewe, Ni maneno ya kuonyesha hali ya kitu fulani tu.
Spiritual world iko wapi?
Simba na Yanga ni majina ya timu ambazo ni watu.Juzi Simba na Yanga zilikuwa zinacheza uliziona? Watu walijaa uwanjani kuziona Simba na Yanga zikicheza.
ukimkiri Yesu kuwa Bwana na mkombozi wako utaokoka kupitia Yesu kristo mnazareth mkombozi ukimkiri kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako utaenda mbinguni hila usipomkubali mbingu hutaiona pia ukishamkubali kuwa mwokozi wako acha dhambi kaa katika utakatifu acha dhambi kabisa omba toba kaa kwenye utakatifu utaenda mbinguni kwa Baba yetu aliyeziumba mbingu na nchi kwa hiyo kuanzia sasa kubali kumpokea Yesu kuwa Bwana na mkombozi wa maisha yako kwa kuomba toba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika, kuhisika na kupimika.
CCM, CHADEMA, Microsoft na Google sio vitu bali maneno ya kuonyesha kitu fulani na hali fulani ya kitu au vitu.
Ni maneno ya kuonyesha hali fulani ya kitu au vitu vilivyopo tayari.
Sasa unataka CCM na CHADEMA ziwe kama binadamu na wanyama sasa wanyama wataitwaje?Hayapo yenyewe kama yenyewe physically, ila yapo kwenye kitu na vitu vilivyopo kama binadamu na wanyama.
Unaelewa maana ya Entity? Kampuni ni entity inaweza kushitaki na kushitakiwa. Zinakuwa operated na binadamu because binadamu is physical and they are not Phyiscal. Ni sawa na Mashekh, Wachungaji na Maaskofu ni watumishi wa Mungu, because God is not Physical.Kampuni na akaunti ni hali zinazo kuwa operated na wanadamu.
Kampuni na Akaunti sio vitu vilivyopo kwenye uhalisia vyenyewe kama vyenyewe, Ni maneno ya kuonyesha hali ya kitu fulani tu.
Kwani Mungu siyo jina la muumbaji na mtenda maajabu makubwa kwa watu wanyama na vitu vingine? Hata yeye siyo kitu wala vitu. Huwezi ukataka tulete proof ya existence yake kwa kutumia vitu.Simba na Yanga ni majina ya timu ambazo ni watu.
Sio kitu au vitu.
Mtaalamu Jagina, Naona uko vizuri kwenye maswala ya Kifilosofia.
Samahani Mheshimiwa watu humu jamvini wanakuuliza wewe ni ME au KE.
Maana jina lako ni la kike lakini maneno yako ni ya kiume.
Wanasubiri jibu wajiridhishe.
Ndio maana nakwambia huyo Mungu hayupo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika tu.Kwani Mungu siyo jina la muumbaji na mtenda maajabu makubwa kwa watu wanyama na vitu vingine? Hata yeye siyo kitu wala vitu. Huwezi ukataka tulete proof ya existence yake kwa kutumia vitu.
Human beings created God through assumptions based on things beyond their imaginations.Unarudi huko huko tuliko anzia.
From Venus Star: God is anything which is beyond of your intelligent abilities. Mungu ni kitu chochote kilicho juu ya uwezo wako wa akili
Mtoto wangu mchanga ananiona mimi ni Mungu
Conclusion ni kwamba God is an imagination just an illusion.Huwa unajisikiliza kweli unapoandika au unaandika tu bora liende? Tangu mwanzo ninakueleza God is not just a Name ni Concept. Naona elimu yangu sasa imeanza kukusanua.
Hizo CCM, CHADEMA watu wapo na hisia nazo ni wafuasi wake. Ukishaanza kuelewa vitu hivyo vidogo vidogo utaanaza kuelewa Mungu ni kitu gani.
Hivyo vitu Siyo Physical, bali they exists in different form.
Sasa unataka CCM na CHADEMA ziwe kama binadamu na wanyama sasa wanyama wataitwaje?
Kama nilivyokueleza huwezi ukaigusa CCM wala CHADEMA but zipo na zinashiriki kwenye uchaguzi. Na iliziweze kufanya kasi kunakuwa na wawakilishi wake ambao ni Physical. But CCM and CHADEMA if were Physical tungekuwa tunazipigia kura but are not Phyisical.
Sijui hapa unashindwa kuelewa kitu gani. My be hii elimu is above of your understanding. Unahitaji utulie kwanza kidogo, utafakari kisha utajibu baadae.
Nilikueleza tangu mwazo Dini zinajihusisha na Morals, Values and Ethics Siyo Physical things. And God is not Physical Entity.
Hiyo ya kusema hayupo wala yupo ni ya kwako sasa. Kama ulivyoshindwa kuproove existence ya CHADEMA na CCM.Conclusion ni kwamba God is an imagination just an illusion.
Ndio maana hamuwezi kuthibitisha uwepo wake.
Zingine zote ni stori mnajaribu kupiga kuzunguka zunguka tu.
Huyo Mungu hayupo yeye kama yeye na wala hajawahi kuwepo yeye kama yeye.
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu.
Conclusion ni kwamba God is an imagination just an illusion.
Ambacho huelewi wewe ni kwamba mimi napinga uwepo wa Mungu anaye daiwa kwamba ndiye Monitor na controller wa mienendo yote ya binadamu na viumbe wote ulimwenguni.Hiyo ya kusema hayupo wala yupo ni ya kwako sasa. Kama ulivyoshindwa kuproove existence ya CHADEMA na CCM.
Kama uliyoshindwa ku prove Existence ya Tanzania.
Kutokea mwanzo nimekuambia: God is anything which is beyond of your intelligent abilities. Mungu ni kitu chochote kilicho juu ya uwezo wako wa akili
God is a Concept and not a Being Tatizo lako unataka kulazimisha Mungu awe kiumbe.
Akili sasa zimeanza kukukaa sawa. Sasa kwanini unadai watu wakuwekee proof kutokana na kitu ambacho kipo kwenye akili zao?
Existence of God imetokana na curiosity ya watu na ndio wakaja na concept hiyo.
Ni vyema sasa ukaiheshimu Concept hiyo ya Imaginary God hutakuwa na mawazo tena ya kuuliza maswali.
Ukishaelewa Mungu is Imaginary Utauliza sasa maswali tena ya kutaka proof?
From the beginning nimekuwa nakueleza.
Dini zinajihusisha na Philosophical issues
Sayansi inajihusisha na Physical issues
Nikakupa na Mifano Huwezi ukajibu Maswali ya Chemistry kwa kutumi Ideal za History. Unakumbuka?
Unachelewa sana kuelewa. You are a slow learner
Nadhani kwa sasa somo umelielewa